Kwaheri mchepuko Wangu

Kwaheri mchepuko Wangu

We wa ajabu kweli, lengo la mchepuko ni kupata faraja sasa kama unapata karaha...
Wang'ang'ania nini au unajiona kwa kuwa na mmachame basi nawe utakua unavutia watalii kisa huyo demu anaharufu ya mlima Kilimanjaro
 
We wa ajabu kweli, lengo la mchepuko ni kupata faraja sasa kama unapata karaha...
Wang'ang'ania nini au unajiona kwa kuwa na mmachame basi nawe utakua unavutia watalii kisa huyo demu anaharufu ya mlima Kilimanjaro
Duuuu! Kubwa lao nime kuelewa mkuu.

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
..ukimwi, jeneza, sanda, shimo la kaburi vinakuhusu. Kikubwa hakikisha unaandika mirathi kabisa.
 
Tulia ule na wenzako maana hata nawewe una wako
Huoni aibu kwa haya unayoandika? hebu tulia na familia yako, utajisikiaje mkeo naye akiomba ushauri facebook naye kuna kijana anampenda sema anambana sana karibia utashtuka?
 
Naomba kuuliza eti kaka ilikuaje ukajikuta humpendi mkeo? Umekaa nae kwa muda gani? Au hukuwahi kumpenda mkeo?
 
Wakuu poleni kwa majukumu. Kabla hujafa hujaumbika ( unaweza pia kukumbuka). Miaka mitatu (3) iliyopita nilitokea kumpenda mdada mmoja wa kimachame kama mchepuko (maana nimeona na Nina familia). Tuliishi kwa amani na utulivu Mimi na huyo mchepuko...bila kuathiri Huduma za msingi za familia yangu. Cha kushangaza kila muda unavyo kwenda anaongeza wivu na Mimi kiasi ambacho kuna muda ana ninunia na kuona eti naegamia kwenye familia tu. Nikaanza kushtuka...! Miez 2 iliyo pita tuli gombana kidogo akanitumia Ujumbe wa kuniacha , nika kuomba radhi yakaisha.

Jana nili kwenda Ku mpick maeneo ya mbuyuni pale Morocco, nilipo fika kituoni nika park , hayupo abadai yuko ofisini anakuja. Aka nikalisha sana. Ulikuwa muda wa SAA 12 hivi. Akaja....nilivyo muuliza kwanini amechelewa na pale hakuna parking aka ninunia. Mpaka muda huu kanyamaza na Jana hukupokea simu ..anasema hutaki kuongea. NIWE MUWAZI nampenda huyu binti...ila naona kama ana ni mistreat. Mwenge ushauri wowote naomba plz. Ila Nina nia ya kumuacha rasmi.

Ni hayo tu .

siamini kama bado kuna watu wanahangaika tena na waume za watu ........sijawahi kuwaza kudate na mume wa mtu hata kwanza sina mzuka nao
 
Achana na michepuko angalia familia yako na huo mchepuko ujue kabisa huumiliki peke yako
 
hivi utajiskiaje dada yako akiwa anatembea na mume wa mtu ,au binti yako au mama yako

nitamtangaza kijiji kizima ...ikishindikana naenda kwa padri kwa siri namsemea padri amuite amkanye ...sitamvumilia hata kidogo hakika undugu hapo lazima uvunjike tuuu
 
Ushasema unataka kumuacha sasa unataka ushauri wa nn na ni mchepuko?
 
Back
Top Bottom