Kwaheri mchepuko Wangu

Kwaheri mchepuko Wangu

Ki ukwel kinachotokea hapo ni mazoea yaliyoptliza akiwa na confidence kwamba huwez kupindua kwake...
ushauri wa kwanza piga chin mchepuko lea ndoa yako
ushaur wa pili na naamin ndio utauelewa mpe likzo isyo na malipo huo mchepuko ushike adabu ukiona hakuna mabadiliko jua kashapatikana mshika mapembe mwengine ambaye anampa jeur so ukiona hilo rudi namba moja hapo juu.
 
Ungesoma engineering usingeli kuwa una BWABWAJA katika uandishi wako....

Sio "nimeona na nina familia" sema "nimeoa na nina familia"

Sio "nikakuomba radhi" sema "nikamuomba radhi"

Sio "abadai yuko ofisini" sema "anadai yuko ofisini"

Sio hukupokea simu" sema "hakupokea simu"

Sio "hutaki kuongea" sema "hataki kuongea"

Sio "Mwenge ushauri wowote" sema "Mwenye ushauri wowote"

Mlikua wapi kusoma Engineering.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Ivi engineer sio 'nshomile' kweli?
 
Ki ukwel kinachotokea hapo ni mazoea yaliyoptliza akiwa na confidence kwamba huwez kupindua kwake...
ushauri wa kwanza piga chin mchepuko lea ndoa yako
ushaur wa pili na naamin ndio utauelewa mpe likzo isyo na malipo huo mchepuko ushike adabu ukiona hakuna mabadiliko jua kashapatikana mshika mapembe mwengine ambaye anampa jeur so ukiona hilo rudi namba moja hapo juu.
Thanx. Yote mawili nime elewa
 
Wakuu poleni kwa majukumu. Kabla hujafa hujaumbika ( unaweza pia kukumbuka). Miaka mitatu (3) iliyopita nilitokea kumpenda mdada mmoja wa kimachame kama mchepuko (maana nimeona na Nina familia). Tuliishi kwa amani na utulivu Mimi na huyo mchepuko...bila kuathiri Huduma za msingi za familia yangu. Cha kushangaza kila muda unavyo kwenda anaongeza wivu na Mimi kiasi ambacho kuna muda ana ninunia na kuona eti naegamia kwenye familia tu. Nikaanza kushtuka...! Miez 2 iliyo pita tuli gombana kidogo akanitumia Ujumbe wa kuniacha , nika kuomba radhi yakaisha.

Jana nili kwenda Ku mpick maeneo ya mbuyuni pale Morocco, nilipo fika kituoni nika park , hayupo abadai yuko ofisini anakuja. Aka nikalisha sana. Ulikuwa muda wa SAA 12 hivi. Akaja....nilivyo muuliza kwanini amechelewa na pale hakuna parking aka ninunia. Mpaka muda huu kanyamaza na Jana hukupokea simu ..anasema hutaki kuongea. NIWE MUWAZI nampenda huyu binti...ila naona kama ana ni mistreat. Mwenge ushauri wowote naomba plz. Ila Nina nia ya kumuacha rasmi.

Ni hayo tu .
Mkuu mbona haujitambui?
Heading - maamuzi yamefanyika,
Content - bhlaa bhlaa nyingi na kutaka ushauri.
Hayo mambo yanahitaji ujasiri mkubwa na uvumilivu. Usiyumbe wala kuyumbishwa. Ukishindwa waachie Wenyewe wee rudi kuitunza family.

Family haitaji sononeko toka kw mchepuko, usije iletea family yako Nuksi.

Michepuko mingine balaaa.....
 
achana na hiyo itakugharimu soon or later.. kuwa mwanaume si kudinda na kuchomeka kwenye kila uke.. mwanaume anayejielewa anayeheshimu familia yake na kuangalia future ya familia yake kimaendeleo, HAKUNA MWANAUME ALIYEWEKEZA KWENYE MBUNYE AKAFANIKIWA ZAIDI WANAKUPOTEZEA MUDA.. REFER TO KING SOLOMON.......... familia yako kwanza mkuu... embu kaa mwezi bila kuchepuka bila kutongoza mwanagalie mkeo alivyoumbika mpe nafasi yake mtoe out uone kama hutafurahia maisha
wanawake wanashauri utadhani nao wakiolewa hawachepuki duh
 
Mkuu mbona haujitambui?
Heading - maamuzi yamefanyika,
Contents - bhlaa bhlaa nyingi na kutaka ushauri.
Hayo mambo yanahitaji ujasiri mkubwa na uvumilivu. Usiyumbe wala kuyumbishwa. Ukishindwa waachie Wenyewe wee rudi kuitunza family.

Family haitaji sononeko toka kw mchepuko, usije iletea family yako Nuksi.

Michepuko mingine balaaa.....
Nime kuelewa mkuu
 
Mkuu mbona haujitambui?
Heading - maamuzi yamefanyika,
Contents - bhlaa bhlaa nyingi na kutaka ushauri.
Hayo mambo yanahitaji ujasiri mkubwa na uvumilivu. Usiyumbe wala kuyumbishwa. Ukishindwa waachie Wenyewe wee rudi kuitunza family.

Family haitaji sononeko toka kw mchepuko, usije iletea family yako Nuksi.

Michepuko mingine balaaa.....
Nime kuelewa mkuu. But it happens some times kuto jitambua. Thanx
 
Ungesoma engineering usingeli kuwa una BWABWAJA katika uandishi wako....

Sio "nimeona na nina familia" sema "nimeoa na nina familia"

Sio "nikakuomba radhi" sema "nikamuomba radhi"

Sio "abadai yuko ofisini" sema "anadai yuko ofisini"

Sio hukupokea simu" sema "hakupokea simu"

Sio "hutaki kuongea" sema "hataki kuongea"

Sio "Mwenge ushauri wowote" sema "Mwenye ushauri wowote"

Mlikua wapi kusoma Engineering.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Nimecheka bila kutegemea.
 
Kama umesoma Engineering basi wewe ni jipu, nini maana ya sio?
Ungesoma engineering usingeli kuwa una BWABWAJA katika uandishi wako....

Sio "nimeona na nina familia" sema "nimeoa na nina familia"

Sio "nikakuomba radhi" sema "nikamuomba radhi"

Sio "abadai yuko ofisini" sema "anadai yuko ofisini"

Sio hukupokea simu" sema "hakupokea simu"

Sio "hutaki kuongea" sema "hataki kuongea"

Sio "Mwenge ushauri wowote" sema "Mwenye ushauri wowote"

Mlikua wapi kusoma Engineering.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Nime kuelewa mkuu. But it happens some times kuto jitambua. Thanx
Mkuu hongera sana kw ujasiri wa kutokeza hapa hadharani.. Ni kujitambua huko.
Mungu azide kukupa ujasiri wa kusahau kadhia ya Gharama uliotumia kw Mchepuko ili uanze upya.
Ni kwel udhaifu haukosekani kwa hawa Viumbe waliojaliwa ulimbwende, Mungu ameumba, tamaa iwepo, hakuna ubishi ktk hilo.
Jambo muhimu ni uvumilivu na ujali kwako binafsi na kw Family pia.
 
Ndg yangu mtoa mada kuna kanuni za kuchepuka umezikiuka ndio maana unapata matatizo. Kwanza huyo dada sio mchepuko hiyo ni nyumba ndogo yako ambayo unaionea wivu na unataka kuimiliki peke yako kitu ambacho ni kinyume na utaratibu wa uchepukaji maana ukitaka kuwa alone hapo na mdada atataka akumiliki ndio pale unapotelekeza familia au kushtukiwa na mkeo. Ukitaka kuchepuka tafuta mtu mwenye jamaa (ila asiwe ameolewa) ili kama akiwa anahitaji tulizo anamtafuta jamaa yake na wewe unamega kipindi mnapopata nafasi, kumiliki demu peke yako wakati una mke lazima huyo demu atazingua kwa kuwa hutakuwa unamtimizia mahitaji yake ya kimwili haswa usiku wakati huko na mkeo. Natamani nikupe somo refu ila muda ndio hauruhusu
 
Back
Top Bottom