Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,967
- 32,265
Madame B kwanza heshima yako, hakuna kitu kizuri kama kushare hubby, unakuwa stress free! mi hata nikiondoka mwezi najua Yummy na BADILI TABIA wanahudumia kama kawaida! lol,
Asante cacico,
Ila mda mwingine mitala ni nzuri sana endapo wenzio mnaelewana.
Haya bhana namtakia kila la kheri,japo nina wasiwasi na Asprin wenu, maana si wewe, Yummy wala BADILI TABIA mwenye dalili ya :mimba:
Tuelezeni kwa urefu au mme wenu anaogopa budget itaongezeka?
Eti!!
Last edited by a moderator: