econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,766
- 21,763
Trump mwaka Jana alishinda kwa figisu. Zile mail votes ndizo zilitumika kufanya mchezo. Haiwezekani Kila kura inayooigwa kwa posta ni ya Biden. Pia uwepo was Corona ulichangia. Bila hivyo Biden ni mwepesi kwa Trump. Trump alikuwa anapambana na media na intelligence Kila mtu aligang up kumuondoa Trump. Mimi namkubali Trump maana anapiga Vita ushoga. Leo marekani in waziri shoga, Tena siku ya kuapishwa alinyonywa denda na mumu wake mbele ya camera. Long live trumpRepublican ina watu wengi sana wanaoweza kum challenge Rais Biden na ikiwezekana kumshinda, mmojawapo ni aliyekuwa Makamu wa Trump, Mike Pence.
Kwa mwaka 2024 chama hiki endapo kitamsimamisha tena Trump wategemee anguko kubwa kuzidi hata la mwaka jana. Trump hafai tena kuwa Rais.