Kwa yanayoendelea Marekani, Trump uenda akagombea na kushinda tena

Japo haters wa Trump hawataki kukiri, Ila ukweli biden amefeli Sana.

Marekani Kuna mfumko mkubwa Sana wa bei, kuliko kipindi Cha Trump, kwenye border Biden ndo ameboronga kabisa.

Chini ya Trump Marekani ilitengeneza most secured border, yaani uhamiaji wa hovyo ulipungua mno, Trump alidhibiti kweli uhamiaji.

Jinsi Biden alivyojiondoa Afghanistan ni kituko. Kwenye mitandao watu wanammiss Sana Trump, na ukifatilia sahivi mikutano anayoitisha Trump ya Save America jamaa bado anakubalika Sana.

Kwenye Republicans hakuna wa kum-difeat Trump, kazi itabaki kwa wananchi

Vyovyote itavyokuwa sawa tu,,,mabeberu hawa2saidii chochote.
 
2016 hawakujua umbovu wake kwasasa wanamjua sanaa yule nikama kichaa hamna mspanids au Black America au latini America wakumpa kura kumbuka hao minority race wako 60% katika wapiga kura, kwahiyo ni vingumu kupitisha labda kama republican party wanajianda kupoteza uchanguzi.
Kwani hujasikia kuna possibility ya kumchagua makumu mwanamke wa hispanic au Africa ili kuvutia hayo makund... lolote laweza kutokes
 
We unabwabwajwa tu eti Pence
Kwa taarifa yako huyo Pence ndiye aliyefanya Trump achagulike mwaka 2016.

Wamarekani hawakuwa na Imani na huyo mwehu wako hadi baada ya uteuzi wa mgombea umakamu ndipo hata kura za ushawishi zikapatikana.

Ndiyo maana nakwambia wewe hujui lolote kuhusu siasa za Marekani na ni vyema ukawa mtazamaji ti.
 
We kiazi acha kujifanya unajua Obama alipata 65m 2008 na 2012 alipata 63m namaanisha popular vote so mwaka 2008 na 2012 Ni sawa?
Tatizo lako unalinganisha vitu visivyoendana mbumbumbu wewe,

Popular votes za Obama kupanda na kushuka kulitokana na aina ya wagombea aliokutana nao kwa nyakati hizo tofauti.

Challange ya McCain mwaka 2008 huwezi kuilinganisha na ya Mitt Romney mwaka 2012.
Walau wagombea wangebaki walewale wa mwaka 2008 tungesema Obama alifeli ndiyo maana kura zake zilipungua.

Mwanasiasa machachari kama Romney utamlinganishaje na McCain? Ifike mahala ujitambue basi Mkuu!.
 
Tatizo lako unalinganisha vitu visivyoendana mbumbumbu wewe,

Popular votes za Obama kupanda na kushuka kulitokana na aina ya wagombea aliokutana nao kwa nyakati hizo tofauti.

Challange ya McCain mwaka 2008 huwezi kuilinganisha na ya Mitt Romney mwaka 2012.
Walau wagombea wangebaki walewale wa mwaka 2008 tungesema Obama alifeli ndiyo maana kura zake zilipungua.

Mwanasiasa machachari kama Romney utamlinganishaje na McCain? Ifike mahala ujitambue basi Mkuu!.
Na wewe unambishia bure jamaa amekupa facts na figure umekimbilia kwa mgombea, Kama Trump hapendwi why kura zake zilipanda zaidi ya 9m
 
Kwa taarifa yako huyo Pence ndiye aliyefanya Trump achagulike mwaka 2016.

Wamarekani hawakuwa na Imani na huyo mwehu wako hadi baada ya uteuzi wa mgombea umakamu ndipo hata kura za ushawishi zikapatikana.

Ndiyo maana nakwambia wewe hujui lolote kuhusu siasa za Marekani na ni vyema ukawa mtazamaji ti.
Unambishia bure mkuu Trump alipataje nomination ya Republican Kama alikuwa hakubaliki,, sahivi mikutano yake ni shida maelfu kwa maelfu wanaudhulia mikutano yake, so wanaletwa Pence,
 
Kwani hujasikia kuna possibility ya kumchagua makumu mwanamke wa hispanic au Africa ili kuvutia hayo makund... lolote laweza kutokes
Mkuu Kuna watu wanabisha kuwa Trump anakubalika Sana Tena sana
 
Sio rahisi kama unavo fikiria republican party, hawawezi kifanya kosa la kumrudisha trump, hao wanao mtaka trump ndo wale wazungu utra-nationalists wabaguzi ila idadi yao ni ndogo hawawezi kishinda uchanguzi.
Mkuu ni republican delegates ndio wanaamua kwenye kura za kuchagua atakayegombea kwenye chama chao. Na delegates wengi republican wanamuunga mkono Trump. Kumbuka pia wakati Trump akigombea kuwa urais watu wengi walidharau hivihivi lakini jamaa akachanja mbuga.
 
Mkuu ni republican delegates ndio wanaamua kwenye kura za kuchagua atakayegombea kwenye chama chao. Na delegates wengi republican wanamuunga mkono Trump. Kumbuka pia wakati Trump akigombea kuwa urais watu wengi walidharau hivihivi lakini jamaa akachanja mbuga.
Jamaa anabisha tu Ila Trump anakubalika sana
 
Biden kama ndiye angekuwa Trump basi angesemwa sana. Jamaa kafail sana sema kwkauwa ni kipenzi cha fake news huwezi kusikia.
Sijui nini kimetokea US, hata siasa zao zimekaa kaa ovyo siku hizi.
US ya Clinton na Bush ilikuwa noma bwana.
Siku hizi imekuwa US ya kulalamika kwa kila kitu anachofanya China
Mbona hamuelezi alichofeli? Wishful thinking
 
Mkuu Kuna watu wanabisha kuwa Trump anakubalika Sana Tena sana
Wajinga tu hao... kila mtu anamuogopa Trump ndani na nje ya chama. Yule ndo aliifanya marekani iheshimike... watu walikuwa wanafunguliwa akili...
 
Mbona hamuelezi alichofeli? Wishful thinking
Mfano mmoja ni jinsi alivyoondoa majeshi Afghanistan exit plan ilienda kombo na irisk maisha ya wafanyakazi wengi wa Marekani.
Mradi wake wa miundombinu, kati ya dollar tilion 2 zimepitishwa dollar tillion 1 tu.
Mengine fuatilia mwenyewe
 
Unambishia bure mkuu Trump alipataje nomination ya Republican Kama alikuwa hakubaliki,, sahivi mikutano yake ni shida maelfu kwa maelfu wanaudhulia mikutano yake, so wanaletwa Pence,
Alipata kwa sababu upande wa pili walikuwa na Mwanamke,
Na yeye ndiye alionekana ana unafuu miongoni mwa Republican wa mwaka huo waliokuwa wametia nia.

Kujaza watu wala si tiketi ya kusema anakubalika,wengine wanakuja kusikiliza na kuburudika kwa comedy zake tu na wala si kwamba wanakuja kisa wanataka awe Rais wao tena.
 
Alipata kwa sababu upande wa pili walikuwa na Mwanamke,
Na yeye ndiye alionekana ana unafuu miongoni mwa Republican wa mwaka huo waliokuwa wametia nia.

Kujaza watu wala si tiketi ya kusema anakubalika,wengine wanakuja kusikiliza na kuburudika kwa comedy zake tu na wala si kwamba wanakuja kisa wanataka awe Rais wao tena.
So ndo husibishe hakuna vya nafuu Trump ana ungwa mkono saaaaaana
 
Japo haters wa Trump hawataki kukiri, Ila ukweli biden amefeli Sana.

Marekani Kuna mfumko mkubwa Sana wa bei, kuliko kipindi Cha Trump, kwenye border Biden ndo ameboronga kabisa.

Chini ya Trump Marekani ilitengeneza most secured border, yaani uhamiaji wa hovyo ulipungua mno, Trump alidhibiti kweli uhamiaji.

Jinsi Biden alivyojiondoa Afghanistan ni kituko. Kwenye mitandao watu wanammiss Sana Trump, na ukifatilia sahivi mikutano anayoitisha Trump ya Save America jamaa bado anakubalika Sana.

Kwenye Republicans hakuna wa kum-difeat Trump, kazi itabaki kwa wananchi
Trump anarudi kwenye urais tena
 
Back
Top Bottom