Tuwaunge au tuwapinge tutajijua wenyewe wananchi tuko kama matahira madaktari wanasema hospitali hawana hata tochi za kuchunguzia masikio,machine za x-ray hazifanyi kazi gozi za kufungia vidonda hazitoshi dawa za kuzuia wanawake wasimwage damu baada ya kujifungua hazipo,nyuzi za kushonea hakuna vitambaa vya kufunga midomo yao au gloves za wao kusambaza maambukizi kati ya mgonjwa na mgonjwa hakuna sisi hatuoni na lwetu tufeeee tu ,hatujielewi hatujui wanachokisema ni shauri yetu mpaka hapo tutakapojitambua tutajua wanamaanisha nini