Kwa wazee wa sanaa ya mapigano

Kingsman

Member
Aug 8, 2017
84
202
Osss!!!

Hebu leo tuangalie aina ya mapigano ambayo hutumika katika Majeshi tofauti tofauti (Military martial arts)

1/Tuanzie nyumbani (JWTZ)
Hawa hutumia aina ya mapigano yajulikanayo kama “COMBAT KARATE” hii husisha “misimamo au stances” na “combinations” tofauti tofauti..

Aina hii ya mapigano humfanya mpambanaji kuwa na uwezo wa kupambana na adui mwenye silaha kuanzia kisu fimbo hadi mwenye silaha za moto,,,,,
Dhumun lake haswa ikiwa ni “kuvunja na kuua” ndo maana hapa nchini haifundishwi kwingine zaidi kwenye idara za ulinzi na usalama..

View attachment 721811


2/ Israel...Hawa wenzetu hutumia aina ya mapigano ya kijeshi yajulikanayo kama “KRAV MAGA” aina hii ya mapigano iliundwa baada ya utafiti na kutengeneza mbinu amabazo mpambanaji atazitumia wakati wa hatari kifo au maisha ivyo basi ikaanza kufundishwa katika idara za usalama nchini Israel na pia katika kitengo cha jeshi na makomando wake..

View attachment 721812

3/ China hawa hutumia kitu kinaitwa “JUN SHI SANDA” aina ya mapigano yalikua maalum kwa ajili ya jeshi la watu wa China ambapo humwezesha askari uwezo wa kujilinda bila kua na silaha yeyote!!!
aina hii huusisha
i/Mapigo ya juu(upper body strikes)
ii/Mapigo ya chini(lower body strikes)
iii/Mitupo (Throws)
iv/ Roba na Mibano(locks)
v/silaha(weapons combat)

kineze-armata-shaolin-658x452.jpeg


4/ Urusi kwa mzee Puttin uko kuna kitu kinaitwa “MILITARY COMBAT SAMBO”
Ambapo na yenyewe hutumiwa na Majeshi ya Urusi na Vikosi maalumu( makomandoo) na Idara za kijajusi za urusi pale ambapo mtu anahitaji kujitetea huku akiwa hana silaha yoyote...

images+%286%29.jpeg


5/ U.S.A kwa Mzee Trump hawa hutumia aina ijulikanayo kama ( HAND TO HAND COMBAT)
Hii hufundishwa katika vikosi tofauti vya Jeshi la Marekani,,, na pia hutumiwa na Usalama wa Taifa wa Marekan( Us Secret Service) na Pia katika Shirika la kijajusi la Marekani (CIA) na katika Idara zingine kama FBI na idara zingine za Ulinzi na usalama..
hii umwezesha askari kutumia mapigo ayo Adhimu kumuondoa adui ndani ya mda mchache..
(Nataka kuweka kitabu cha Jeshi la Marekani hapa cha mapigano lakin naona inanigomea)

images+%287%29.jpeg


Itaendelea....
 
Osss!!!

Hebu leo tuangalie aina ya mapigano ambayo hutumika katika Majeshi tofauti tofauti (Military martial arts)

1/Tuanzie nyumbani (JWTZ)
Hawa hutumia aina ya mapigano yajulikanayo kama “COMBAT KARATE” hii husisha “misimamo au stances” na “combinations” tofauti tofauti..

Aina hii ya mapigano humfanya mpambanaji kuwa na uwezo wa kupambana na adui mwenye silaha kuanzia kisu fimbo hadi mwenye silaha za moto,,,,,
Dhumun lake haswa ikiwa ni “kuvunja na kuua” ndo maana hapa nchini haifundishwi kwingine zaidi kwenye idara za ulinzi na usalama..

View attachment 721811


2/ Israel...Hawa wenzetu hutumia aina ya mapigano ya kijeshi yajulikanayo kama “KRAV MAGA” aina hii ya mapigano iliundwa baada ya utafiti na kutengeneza mbinu amabazo mpambanaji atazitumia wakati wa hatari kifo au maisha ivyo basi ikaanza kufundishwa katika idara za usalama nchini Israel na pia katika kitengo cha jeshi na makomando wake..

View attachment 721812

3/ China hawa hutumia kitu kinaitwa “JUN SHI SANDA” aina ya mapigano yalikua maalum kwa ajili ya jeshi la watu wa China ambapo humwezesha askari uwezo wa kujilinda bila kua na silaha yeyote!!!
aina hii huusisha
i/Mapigo ya juu(upper body strikes)
ii/Mapigo ya chini(lower body strikes)
iii/Mitupo (Throws)
iv/ Roba na Mibano(locks)
v/silaha(weapons combat)

View attachment 721813

4/ Urusi kwa mzee Puttin uko kuna kitu kinaitwa “MILITARY COMBAT SAMBO”
Ambapo na yenyewe hutumiwa na Majeshi ya Urusi na Vikosi maalumu( makomandoo) na Idara za kijajusi za urusi pale ambapo mtu anahitaji kujitetea huku akiwa hana silaha yoyote...

View attachment 721814

5/ U.S.A kwa Mzee Trump hawa hutumia aina ijulikanayo kama ( HAND TO HAND COMBAT)
Hii hufundishwa katika vikosi tofauti vya Jeshi la Marekani,,, na pia hutumiwa na Usalama wa Taifa wa Marekan( Us Secret Service) na Pia katika Shirika la kijajusi la Marekani (CIA) na katika Idara zingine kama FBI na idara zingine za Ulinzi na usalama..
hii umwezesha askari kutumia mapigo ayo Adhimu kumuondoa adui ndani ya mda mchache..
(Nataka kuweka kitabu cha Jeshi la Marekani hapa cha mapigano lakin naona inanigomea)

View attachment 721815

Itaendelea....
Umetisha mazee,lakini naonaga kama Karate hutumiwa na majeshi mengi duniani kuliko Kung Fu
 
Umetisha mazee,lakini naonaga kama Karate hutumiwa na majeshi mengi duniani kuliko Kung Fu
Katika Majeshi ni kweli Karate inatumika sana!! Aina hizi za mapigano ni wamemyambua mbinu(techniques) ambazo zipo ndani ya karate katika kitu kinaitwa WAZA (techniques au mbinu) na kuchukua zile za muhimu za kujilinda na kisha kuziadopt kwenye sanaa zao..

lakin msingi mzima wa aya mambo ni lazima ujifunze KARATE kama kweli unataka uje uwe fundi wa ivi vitu!! Mkuu
 
Katika Majeshi ni kweli Karate inatumika sana!! Aina hizi za mapigano ni wamemyambua mbinu(techniques) ambazo zipo ndani ya karate katika kitu kinaitwa WAZA (techniques au mbinu) na kuchukua zile za muhimu za kujilinda na kisha kuziadopt kwenye sanaa zao..

lakin msingi mzima wa aya mambo ni lazima ujifunze KARATE kama kweli unataka uje uwe fundi wa ivi vitu!! Mkuu
Oss!
 
Katika Majeshi ni kweli Karate inatumika sana!! Aina hizi za mapigano ni wamemyambua mbinu(techniques) ambazo zipo ndani ya karate katika kitu kinaitwa WAZA (techniques au mbinu) na kuchukua zile za muhimu za kujilinda na kisha kuziadopt kwenye sanaa zao..

lakin msingi mzima wa aya mambo ni lazima ujifunze KARATE kama kweli unataka uje uwe fundi wa ivi vitu!! Mkuu
Mkuu nahitaji kujua tofauti iliyopo baina ya shorinji kenpo ,okinawa karate na shotokan karate.
 
hivi karate na kungfu ipi ni kali zaidi
Mkuu Hili ni swali ambalo kila mtu hupenda kufahamu iko ivi

Miaka ya nyuma sana katika visiwa vya OKINAWA huko Japan,,visiwa ivi vilikua karibu sana na nchi ya China ambapo watu wa china walikua na mbinu zao za kimapigano (Kung Fu),,,
sasa watu wa Okinawa wa Japan kutokana na ukaribu wa Jiografia wakaanza kua exposed na Chinesse Kung fu na kisha baada ya kuiona,,kuisoma,,kujifunza sasa wakaja kutengeneza style yao ya kimapigano ambayo ilifundishwa kwa Siri katika visiwa vya okinawa ikiwa imetokana na Aina ile ya mapigano ya watu wa china(Kung Fu) Aina iyo ikaja kujulikana kama KARATE!!

Ivyo basi KUNG FU ni kongwe zaidi ikiwa na Aina mbalimbali za michezo..
LAKINI swala ipi bora inategemeana na Mtumiaji kila mtu hupenda kile kinachompendeza..
 
Safi sana.

Sasa mbinu ipi bora kabisa hapo kwa vita vya kuviziana kama guilera war..
Kila Jeshi lina Mbinu yake ya kupambana hususani pale inapohitajika nguvu ambayo haiusiani na silaha kwa sababu utamshtua adui(alertness) ivyo itakupasa utumie mapigo ambayo kila nchi kupita jeshi ina aina yake ya kumuondoa adui kimya kimya..

So far kwa Tanzania ndani ya jeshi letu (JWTZ/TPDF) ni COMBAT KARATE
 
Katika Majeshi ni kweli Karate inatumika sana!! Aina hizi za mapigano ni wamemyambua mbinu(techniques) ambazo zipo ndani ya karate katika kitu kinaitwa WAZA (techniques au mbinu) na kuchukua zile za muhimu za kujilinda na kisha kuziadopt kwenye sanaa zao..

lakin msingi mzima wa aya mambo ni lazima ujifunze KARATE kama kweli unataka uje uwe fundi wa ivi vitu!! Mkuu
sio siri mimi ni KARATEKA,nafuatiliaga vizuri tu hitoria za martial arts.
 
Mkuu Hili ni swali ambalo kila mtu hupenda kufahamu iko ivi

Miaka ya nyuma sana katika visiwa vya OKINAWA huko Japan,,visiwa ivi vilikua karibu sana na nchi ya China ambapo watu wa china walikua na mbinu zao za kimapigano (Kung Fu),,,
sasa watu wa Okinawa wa Japan kutokana na ukaribu wa Jiografia wakaanza kua exposed na Chinesse Kung fu na kisha baada ya kuiona,,kuisoma,,kujifunza sasa wakaja kutengeneza style yao ya kimapigano ambayo ilifundishwa kwa Siri katika visiwa vya okinawa ikiwa imetokana na Aina ile ya mapigano ya watu wa china(Kung Fu) Aina iyo ikaja kujulikana kama KARATE!!

Ivyo basi KUNG FU ni kongwe zaidi ikiwa na Aina mbalimbali za michezo..
LAKINI swala ipi bora inategemeana na Mtumiaji kila mtu hupenda kile kinachompendeza..
asante mimi sio mpiganaji ila naona kama kung fu ina mambo mengi na makali zaidi,na wu shu- ni nini mkuu.
 
Mkuu nahitaji kujua tofauti iliyopo baina ya shorinji kenpo ,okinawa karate na shotokan karate.
Sidhani kama inaitwa Shorinji kenpo,nadhani inaitwa "Shaolin kempo" hii ni moja ya staili za Kichina za Kung Fu,Okinawa ni Kisiwa kimojawapo huko Japan ambapo ndiko ilikovumbuliwa staili ya mapigano, mojawapo ni Goju Ryu Karate,Shotokan karate ni aina nyingine ya staili ya mapambano,nadhani hii inatoka maeneo mengine ya Japan.Lakini haina maana kuwa kila mahala inapovumbuliwa staili fulani lazima waite jina la mahala hapo.Lakini zote ni staili za kujilnda kwa mikono mitupu yaani KARATE. karate ni neno la kijapani likimaanisha kujilinda kwa mikon mitupu yaani bila silaha,ingawa silaha za jadi zilikuja kutumika baadae.
 
asante mimi sio mpiganaji ila naona kama kung fu ina mambo mengi na makali zaidi,na wu shu- ni nini mkuu.
Sio kweli kweli kwamba Kung Fu ina mambo makali zaidi.Kung FU na Karate ni majina yanayomaanisha jia za kujilinda,hivyo imebeba staili nyingi za kichina za kujilinda,ndani ya Kung Fu ina aina tofauti.Ni kama vile ukisikia Kitu MUZIKI,muziki una staili nyingi,kuna Reggae,rhumba,salsa,taarabu,R&b,singeli n.k Kung Fu na Wachina na Karate ni Wajapan,kuna Taekwondo Wakorea,Muay Thai Wathailand n.k
 
Sio kweli kweli kwamba Kung Fu ina mambo makali zaidi.Kung FU na Karate ni majina yanayomaanisha jia za kujilinda,hivyo imebeba staili nyingi za kichina za kujilinda,ndani ya Kung Fu ina aina tofauti.Ni kama vile ukisikia Kitu MUZIKI,muziki una staili nyingi,kuna Reggae,rhumba,salsa,taarabu,R&b,singeli n.k Kung Fu na Wachina na Karate ni Wajapan,kuna Taekwondo Wakorea,Muay Thai Wathailand n.k
poa
 
Back
Top Bottom