Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

JamiiForums1864717411.jpg
 
Kwa experience binafsi
Watoto wengi husumbua hasa mida ya usiku mpaka miezi 3, baada ya miezi mitatu anaanza kuwa mpole, mcheshi.
Mtoto akiwa analia chini ya miezi 3 jitahid mbebe huku ukimuimbia, mtoto hulala kwa haraka.

Ni vizuri mama anayenyonyesha kula mapapai na maji mengi, hii humsaidia mtoto kupata choo kiurahisi, pia kuchezesha miguu ya mtoto kama vile anaendesha baiskeli inamsaidia kupata choo na kupunguza gas tumboni.

Ikitokea mtoto ame sweat mbadilishe nguo haraka hii husaidia kumuepusha na pheunomia.
Usimpe mtoto chini ya miaka 2 uji wa ulezi maana unaziba choo, utamtesa mtoto.
 
Kwa experience binafsi
Watoto wengi husumbua hasa mida ya usiku mpaka miezi 3, baada ya miezi mitatu anaanza kuwa mpole, mcheshi.
Mtoto akiwa analia chini ya miezi 3 jitahid mbebe huku ukimuimbia, mtoto hulala kwa haraka.

Ni vizuri mama anayenyonyesha kula mapapai na maji mengi, hii humsaidia mtoto kupata choo kiurahisi, pia kuchezesha miguu ya mtoto kama vile anaendesha baiskeli inamsaidia kupata choo na kupunguza gas tumboni.

Ikitokea mtoto ame sweat mbadilishe nguo haraka hii husaidia kumuepusha na pheunomia.
Usimpe mtoto chini ya miaka 2 uji wa ulezi maana unaziba choo, utamtesa mtoto.
Ikitokea mtoto ame sweat mbadilishe nguo haraka hii husaidia kumuepusha na pheunomia.
Usimpe mtoto chini ya miaka 2 uji wa ulezi maana unaziba choo, utamtesa mtoto
 
Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki.

Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii maalum ya watoto.

Kumlea mtoto tangu kutungwa kwa mimba mpaka kuzaliwa na hatimaye kulelewa mpaka kuvuka kile kipindi cha hatari si jambo dogo.

Changamoto ni nyingi hasa na zingine hatujui jinsi ya kuzitatua lakini tukiwa na hii mada hapa jukwaani tutashirikishana na kujuzana mengi kwa haraka na uhakika zaidi.

Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo havihitaji daktari au ufumbuzi wake ni kama huduma ya kwanza kabla hujapata usaidizi mwingine. HII NI TOFAUTI NA JF DOCTOR.

Kwa mfano, ufanyeje;

  • Mtoto anapolialia
  • Mtoto anapopata gesi tumboni
  • Mtoto anapopaliwa kila akila chochote
  • Mtoto anaposhtuka shtuka usiku na kulia sana nk k

Hatari zimnyemeleazo mtoto;
  • Umeme
  • Maji
  • Moto
  • Mwanga wa Tv
  • Simu, mawimbi yake
  • Vyombo na vitu mbalimbali
  • Madawa na vipodozi nk nk

Hii ni mada pana yenye mambo mengi mno.

Kwa mfano kitunguu saumu ni tiba kwa mtoto anayelia na kushtuka usiku, Kijiko cha asali ni tiba kwa mtoto anayekohoa mfululizo (ukiacha kifua na mafua), Vitu kama mahirizi ya kiunoni na mkononi havimsaidii mtoto, Muda mwingi kumvalisha mtoto nguo nyingi humsababishia nimonia n.k.

Mambo ni mengi...

IKIWAPENDEZA ITAKUWA NI MADA MAALUMU YA WATOTO..

Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha..!
Nimeipenda sana kaka , siku nikioa nikapata mtoto basi nitajitaidi kuutembelea huu uzi.
 
Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki.

Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii maalum ya watoto.

Kumlea mtoto tangu kutungwa kwa mimba mpaka kuzaliwa na hatimaye kulelewa mpaka kuvuka kile kipindi cha hatari si jambo dogo.

Changamoto ni nyingi hasa na zingine hatujui jinsi ya kuzitatua lakini tukiwa na hii mada hapa jukwaani tutashirikishana na kujuzana mengi kwa haraka na uhakika zaidi.

Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo havihitaji daktari au ufumbuzi wake ni kama huduma ya kwanza kabla hujapata usaidizi mwingine. HII NI TOFAUTI NA JF DOCTOR.

Kwa mfano, ufanyeje;

  • Mtoto anapolialia
  • Mtoto anapopata gesi tumboni
  • Mtoto anapopaliwa kila akila chochote
  • Mtoto anaposhtuka shtuka usiku na kulia sana nk k

Hatari zimnyemeleazo mtoto;
  • Umeme
  • Maji
  • Moto
  • Mwanga wa Tv
  • Simu, mawimbi yake
  • Vyombo na vitu mbalimbali
  • Madawa na vipodozi nk nk

Hii ni mada pana yenye mambo mengi mno.

Kwa mfano kitunguu saumu ni tiba kwa mtoto anayelia na kushtuka usiku, Kijiko cha asali ni tiba kwa mtoto anayekohoa mfululizo (ukiacha kifua na mafua), Vitu kama mahirizi ya kiunoni na mkononi havimsaidii mtoto, Muda mwingi kumvalisha mtoto nguo nyingi humsababishia nimonia n.k.

Mambo ni mengi...

IKIWAPENDEZA ITAKUWA NI MADA MAALUMU YA WATOTO..

Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha..!
Kwanza hongera kwa uzii huu. Mwanangu wa miezi miwili hua anashituka shituka akiwa usingizini na kulia. Kitunguu swaumu unasaga punje ngapi
 
Back
Top Bottom