Sahihi kabisa kakamshana jr usemacho ni sahihi, wazazi sisi wa umri wetu huu, tumekuwa busy na maisha ili familia iishi vizuri eti! lakini kiuhalisia kadiri unavyokaa mbali na watoto ndivyo ukaribu nao unavyopotea...
kwa mfano hii mitindo ya kupeleka watoto shule za kulala kuanzia chekechea, kwangu haiingii akilikini kabisa.....
Pia baada ya kumpa maziwa amuweke begani na kumsugua mgongoni na kufanya acheue maziwa. Inatoa gas.Usisahau na ile ya kumuweka mtoto begani na kumsugua( masaging )mgongoni
Hivi vyote hasa AC hutoa ubaridi wa kutengeneza/bandia! Mwili wa mtoto mfumo wake wa hewa bado unakuwa haujakomaa hivyo kuweza kumletea athari kubwa za nimonia kifua nkWakuu Kwa watu wanao ishi mikoa yenye joto ina shauriwa sio vizuri kuwasha Ac au feni sehemu ya kulala mtoto je kuna madhara gani iwapo uki washa hivyo vifaa na umri gani sahihi wa mtoto kuwashiwa ac au feni ??
Posuta! Kasimba hawajambo? Mwa lala ule?nimeyasoma nikaona ni mawaidha mazuri kwa malezi ya mtoto kwani kizuri ni vema tukapeana dini zote hakuna cha ziada Zaidi ya kutufundisha upendo tukilitambua hilo wala hatutachukiana bali tutachukua mazuri ya kila upande kwa lengo la kutujenga na kuwa jamii bora bila kujali tofauti ya dini zetu
Hivi vyote hasa AC hutoa ubaridi wa kutengeneza/bandia! Mwili wa mtoto mfumo wake wa hewa bado unakuwa haujakomaa hivyo kuweza kumletea athari kubwa za nimonia kifua nk
Feni nayo kama chumba sio kisafi sana hutimua vumbi na kumfanya mtoto alivute na kupata athari
Kwakweli ikibidi usiwashe kabisa hata kwa mtu mzima....na kama ukiwasha iwe low kabisa
hii ya kitunguu saumu unakifanyaje kwa mtoto wa mwezi mmoja na nusu?Kwa mfano kitunguu saumu ni tiba kwa mtoto anayelia na kushtuka usiku, Kijiko cha asali ni tiba kwa mtoto anayekohoa mfululizo (ukiacha kifua na mafua), Vitu kama mahirizi ya kiunoni na mkononi havimsaidii mtoto, Muda mwingi kumvalisha mtoto nguo nyingi humsababishia nimonia n.k.