Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Mshana jr, habari yako mkuu, naomba kujuzwa kuhusu hili.
Nini madhara ya chango kwa wanawake ? Je kuna uwezekano mwanamke mwenye chango anaweza asishike mimba, au mimba akishika inaweza kutoka?

Nijuze tafadhari, natangulisha shukurani.
 
Mshana jr, habari yako mkuu, naomba kujuzwa kuhusu hili.
Nini madhara ya chango kwa wanawake ? Je kuna uwezekano mwanamke mwenye chango anaweza asishike mimba, au mimba akishika inaweza kutoka?

Nijuze tafadhari, natangulisha shukurani.
Chango huwapata mara nyingi wanawake ambao hawajazaa bado na sometimes hushauriwa kubeba mimba ili hilo tatizo liishe..... Kwahiyo sio kweli kwamba hawezi kushika mimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
minute_endmalaria.jpg
tukumbashane hata hili pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chango huwapata mara nyingi wanawake ambao hawajazaa bado na sometimes hushauriwa kubeba mimba ili hilo tatizo liishe..... Kwahiyo sio kweli kwamba hawezi kushika mimba

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu mpenzi wangu anaujauzito wa kama wiki moja lakini muda mwingne tumbo linakuwa linamuuma kwa kumchoma choma. Na aliwahi kunambia kuwa ana tatizo la chango, je chango haiwezi kuleta madhara kwa mwanamke mjamzito? Na Kama kuna madhara, yanaweza kuwa ni yapi??

Maana huwa nasikia mwanamke mwenye chango hata akibeba mimba, mimba yake haitodumu itaharibika siku si nyingi, kuna ukweli wowote katika hili??
 
Huyu mpenzi wangu anaujauzito wa kama wiki moja lakini muda mwingne tumbo linakuwa linamuuma kwa kumchoma choma. Na aliwahi kunambia kuwa ana tatizo la chango, je chango haiwezi kuleta madhara kwa mwanamke mjamzito? Na Kama kuna madhara, yanaweza kuwa ni yapi??

Maana huwa nasikia mwanamke mwenye chango hata akibeba mimba, mimba yake haitodumu itaharibika siku si nyingi, kuna ukweli wowote katika hili??
Siku hizi tech imekua nakushauri kuepuka guess works na mambo ya wahenga mwende hospital akapate ushauri na vipimo sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba niwashirikishe hili pia, ambalo tumejaribu kulifanyia majaribio kwa karibia siku 90 hivi..
Ni hili la watoto kushtuka usiku na kukosa usingizi.

Kwenye mada ya tiba ya chumvi tumeona jinsi ilivyowasaidia wengi kupata usingizi, hivyo basi tukafanya hayo majaribio na yakawa na matokeo chanya. Kwenye maji ya kumeogeshea mtoto weka kiasi kidogo cha chumvi kisha mwogeshe, ishu ya kushtuka shtuka itakoma.

NB. hii haipingani na zile nyingine za ndimu nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mshana mtoto wangu amefikisha umri wa mwaka Mmoja ila bada hasimami. Je inachukua muda gani mtoto kusimama na kutembea? Naweza kutumia vitu gani ili viweze kumsadia kufikia stage hiyo kwa urahisi zaid?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mshana mtoto wangu amefikisha umri wa mwaka Mmoja ila bada hasimami. Je inachukua muda gani mtoto kusimama na kutembea? Naweza kutumia vitu gani ili viweze kumsadia kufikia stage hiyo kwa urahisi zaid?

Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali wengine huwahi na wengine huchelewa kidogo, Kama hana tatizo lolote la kiafya usiogope

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom