Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

mshana jr usemacho ni sahihi, wazazi sisi wa umri wetu huu, tumekuwa busy na maisha ili familia iishi vizuri eti! lakini kiuhalisia kadiri unavyokaa mbali na watoto ndivyo ukaribu nao unavyopotea...
kwa mfano hii mitindo ya kupeleka watoto shule za kulala kuanzia chekechea, kwangu haiingii akilikini kabisa.....
Sahihi kabisa kaka
 
Wakuu Kwa watu wanao ishi mikoa yenye joto ina shauriwa sio vizuri kuwasha Ac au feni sehemu ya kulala mtoto je kuna madhara gani iwapo uki washa hivyo vifaa na umri gani sahihi wa mtoto kuwashiwa ac au feni ??
 
Wakuu Kwa watu wanao ishi mikoa yenye joto ina shauriwa sio vizuri kuwasha Ac au feni sehemu ya kulala mtoto je kuna madhara gani iwapo uki washa hivyo vifaa na umri gani sahihi wa mtoto kuwashiwa ac au feni ??
Hivi vyote hasa AC hutoa ubaridi wa kutengeneza/bandia! Mwili wa mtoto mfumo wake wa hewa bado unakuwa haujakomaa hivyo kuweza kumletea athari kubwa za nimonia kifua nk
Feni nayo kama chumba sio kisafi sana hutimua vumbi na kumfanya mtoto alivute na kupata athari
 
nimeyasoma nikaona ni mawaidha mazuri kwa malezi ya mtoto kwani kizuri ni vema tukapeana dini zote hakuna cha ziada Zaidi ya kutufundisha upendo tukilitambua hilo wala hatutachukiana bali tutachukua mazuri ya kila upande kwa lengo la kutujenga na kuwa jamii bora bila kujali tofauti ya dini zetu
Posuta! Kasimba hawajambo? Mwa lala ule?
 
Hivi vyote hasa AC hutoa ubaridi wa kutengeneza/bandia! Mwili wa mtoto mfumo wake wa hewa bado unakuwa haujakomaa hivyo kuweza kumletea athari kubwa za nimonia kifua nk
Feni nayo kama chumba sio kisafi sana hutimua vumbi na kumfanya mtoto alivute na kupata athari

Asante sana mkuu Kwa elimu hii,je umri sahihi wa kuwasha feni au Ac kwenye chumba anacho lala mtoto ni upi ???
 
Wazazi tuepuke kutenda tendo la ndoa tukiwa na watoto wachanga/wadogo vyumbani.
Tunalala na wanetu vitandani na tunafanya tendo tukidhani vitoto vimelala.
Vinaona. (Ile picha ya kale katoto kaliko lazwa na kanakata kiuno)
 
Kwa mfano kitunguu saumu ni tiba kwa mtoto anayelia na kushtuka usiku, Kijiko cha asali ni tiba kwa mtoto anayekohoa mfululizo (ukiacha kifua na mafua), Vitu kama mahirizi ya kiunoni na mkononi havimsaidii mtoto, Muda mwingi kumvalisha mtoto nguo nyingi humsababishia nimonia n.k.
hii ya kitunguu saumu unakifanyaje kwa mtoto wa mwezi mmoja na nusu?
 
147 Reactions
Reply
Back
Top Bottom