Kwa watumiaji wa simu za Redmi /Xiomi

Kwa watumiaji wa simu za Redmi /Xiomi

Wakuu simu yangu ya Redmi 10C "inastack" sana, Shida inaweza kuwa nini?

Simu hii nimeinunua mwezi wa saba mwaka jana , hata haijamaliza mwaka.

Matumizi yangu ni ya kawaida sana, wala huwa sichezi game kwenye hii simu ila sometimes inastack hadi nakosa raha nayo.

Kwa watumiaji wa hizi simu naombeni msaada , chanzo ni nini?
Update kwa mwezi mara moja
 
Mkuu miui nature yake ina feature nyingi ila ni nzito, hardware wise hio simu ipo vizuri,

Fuata ushauri uliopewa juu trim hio os kadri utakavyoweza toa bloatware na takataka zote usizotumia, ukienda setting kwenye resource ram kiasi gani inatumika na kiasi gani ipo free?
 
Hiyo simu ilikuwa na processor duni ndo maana ikawa slow, siwezi sifia kitu kibovu hata niwe nimekitengeneza mwenyewe ntakubali mapungufu
Hata Redmi 9C inatumia processor ya chini tena AnTuTu score zake ni kama tu ya Samsung Galaxy A13 lakini sio slow kama Samsung Galaxy A13
 
Wakuu simu yangu ya Redmi 10C "inastack" sana, Shida inaweza kuwa nini?

Simu hii nimeinunua mwezi wa saba mwaka jana , hata haijamaliza mwaka.

Matumizi yangu ni ya kawaida sana, wala huwa sichezi game kwenye hii simu ila sometimes inastack hadi nakosa raha nayo.

Kwa watumiaji wa hizi simu naombeni msaada , chanzo ni nini?
Huwenda uliupdate mzee
 
Kwa simu za Mchina hiyo ni kawaida sana, hiyo ndio imechoka hapo.
 
Fuata ushauri wa wadau ila kampuni ya simu siyo sababu ya moja kwa moja simu kuwa slow (labda tu kama ni vifaa vya bei rahisi vimetumika). Mimi natumia Samsung Galaxy A Series toka 2020 na sijawahi kupata tatizo lolote. Ila nimeshuhudia Galaxy A Series yenye tatizo kama hilo na tatizo ilikuwa simu ilitumika kipindi kirefu bila kuzimwa.

Hapo tatizo inaweza kuwa software au hardware. RAM/ROM, OS. Kudondosha simu nayo inaleta athari kwenye hardware parts ambazo zikiharibika zinaweza kuathiri ufanyaji kazi wa simu.
 
Kwa simu za Mchina hiyo ni kawaida sana, hiyo ndio imechoka hapo.
Ila wabongo bhana
Kwani humu JF kila matatizo ya simu yanayoletwa ni ya simu za Mchina tu? Au nikuletee thread za namna hii ambazo matatizo haya yamewatokea watumiaji wa simu zisizo za China?
Kuna watu wanatumia Chinese phones kwa miaka sasa na hawajapata matatizo haya.
Simu kustack bila matumizi makubwa tena ndani ya muda mfupi hivi sio kawaida, acheni kupotosha watu
 
Guys hv kubadili font kwenye msg na dial ndo haiwezekani kwa simu hz za xiomi?cc Reuben Challe
Inawezekana mkuu
Mimi nabadili fonts kila wiki
Screenshot_2023-05-31-14-31-45-675_com.google.android.apps.messaging.jpg

Ila Google caller ndio haibadiliki fonts. Kwenye message app fonts zinabadilishika
 
Huku ndo imebadilika ila kwenye msg hapo juu[emoji115] haijabadilika
Screenshot_2023-05-31-15-20-45-391_com.android.settings.jpg
 
Basi sijui ni kwa nini, huenda ni restrictions kutoka kwa Google caller na Google Message
Kwangu mimi hadi kwenye message app fonts zinabadilika Ila Google caller ndio inakataa
Unabadilishia wapi fonts? maana na mm nshatafuta sehemu ya kubadilishia sioni. Ipo kwenye settings sehem gani?
 
Unabadilishia wapi fonts? maana na mm nshatafuta sehemu ya kubadilishia sioni. Ipo kwenye settings sehem gani?
Ingia kwenye Theme app halafu search "Fonts"
Zitakuja chache, tap walipoandika more
Zitakuja nyingi zaidi, chagua moja kisha udownload hiyo font, nyingi ni less than 1MB
Ukidownload then tap Apply
Simu itakuomba ui-reboot ili uweze kuaccess font hiyo

Hii ndio font ninayoipenda
Screenshot_2023-05-31-18-37-10-357_com.miui.home.jpg
 
Yangu haina shida. Inapiga kazi fresh tu.
 
Back
Top Bottom