Kwa watumiaji wa simu za Redmi /Xiomi

Kwa watumiaji wa simu za Redmi /Xiomi

Nimetumia simu hizo najua nachoandika, software ya xiomi mbovu bora hata ya infinix haiko na matatizo kama hiyo
Hapana sio kweli nilikuwa natumia Infinix sasahivi ninatumia Redmi ya bei rahisi tu, aisee naona improvement kubwa sana, huwezi kunirudisha tena huko Infinix [emoji28][emoji28]

Wewe huijui software ya Infinix vizuri, tumia simu zao ndio uje kuandika tena hapa, Infinix ni utumbo labda uwe muuzaji wa Infinix halafu unatafuta wateja [emoji22][emoji22]
 
Nimetumia simu hizo najua nachoandika, software ya xiomi mbovu bora hata ya infinix haiko na matatizo kama hiyo
Hizi agenda zako nimeshazichoka aisee [emoji28][emoji28]
Sibishii mtu tena. Acha Xiaomi tutumie sisi tuliozielewa. We achana nazo maana zitakusumbua tu akili yako
 
Amelalamika kuwa simu yake inastack. Mbona watu kibao wamelalamika kuhusu Samsung Galaxy A13 kuwa slow? Kwani ina maana software ya One UI ni mbaya?
Kutetea kitu kibovu utatumia nguvu nyingi sana ila ukweli unaujua moyoni
 
Kutetea kitu kibovu utatumia nguvu nyingi sana ila ukweli unaujua moyoni
Hujajibu swali mkuu, kuhusu case ya Samsung Galaxy A13
Mbona unakimbilia methali, nahau na vitendawili [emoji38][emoji38]
 
Hujajibu swali mkuu, kuhusu case ya Samsung Galaxy A13
Mbona unakimbilia methali, nahau na vitendawili [emoji38][emoji38]
Hiyo simu ilikuwa na processor duni ndo maana ikawa slow, siwezi sifia kitu kibovu hata niwe nimekitengeneza mwenyewe ntakubali mapungufu
 
Back
Top Bottom