sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Naomba kujua ni reliable kiasi gani... Sjawahi tumia hii kitu, nna safari ambayo ntajitahidi kuja kuchukuliwa na taxi kutoka kitunda hadi ubungo terminal asubuhi sana.. Je naweza kuiamini uber kwa maana ya ku request uber mapema asubuhi na ikafika kwa wakati maana nisije nikakaa nasubiri uber hadi nikaachwa na basi... Nauli zenyewe ndo kama mjuavyo..
Asanteni.
Asanteni.