code my language
Member
- May 2, 2023
- 31
- 49
Ndo unasem umetumia 4A je 4A 5g version uliwah kutumia je 4XL? ilikuwa haikai chaji ulijarib 3axl kweny series za 3 nayo haikukaa chaji labda nikupe pole sana labda ww hizo infinix ndio unazipenda ila hupendi sim bora usimwamshe alielalaMimi nataka simu inayokaa chaji haijalishi itakua brand gani
Hata samsung alitokea huko huko siku hiz wanajitahid iphone nae alitokea uko uko sim zao zilikuwa kam fridge ila ni moja ya brand bora sana kwaiy sim kukaa na chaji haimanish ni bora na kutokukaa haimaanish sio bora pixels wako kweny mapinduz taratib naona wanabadilik ukifuatilia kuanzia sim yao ya kwanza ya pixel na pixel XL mwaka 2016 zilikuwa hazikai chaji kabisa ila ukizifuatilia utaona mabadiliko mdogo mdog mtazikubal tu siku moja
haya uliwah kujarib pixel 5 ziko 5 plain na 5A hizo zote ni kiboko hasa 5A umejarib 6 huku ni moto mwingin ninachaji mara moja kwa siku 6 plain 6pro na 6a(huyu ni mtoto mweny mambo ya kikubwa) 

