Kwa watumiaji wa FB

Kwa watumiaji wa FB

HUKO INSTAGRAM KUANZIA JANA KUMEWAKA KILA POST YOYOTE UTAKAYO GUSA HAIJALOSHI INAHUSIHANA NA NINI UKIFUNGUA COMMENT 99% WATU WOTE UNAKUTA WAMECOMENT "NO REFORM NO ELECTION" HATA KAMA POST ZA KANGA MOKO WATU WAMECOMENT "NO REFORM NO ELECTION"...😅😅

PILI WAMEANZISHA OPERATIONS YA KU UNFOLLOW NA KUREPORT PAGE ZA MACHAWA WOTE KUANZIA STEVEN MENGELE NA WENGINE WOTE MPAKA SASA MILLAD AYO KAPOTEZA FOLLOWERS LAKI 3 MPAKA JIONI ATABAKI NA FOLLOWERS 3 MAANA WATU WANA SPEED HUKO...😅😅

FACEBOOK TUSIBAKI NYUMBA TU UNFOLLOW NA REPORT MACHAWA WOTE ILI WAWE NA AKILI SASA.....

USICOMENT NENO LOLOTE TOFAUTI NA "NO REFORM NO ELECTION"...✌✌

NimenakiliView attachment 3359020
Ni upuuzi tu. Mtu mmoja ana account 20 hivyo hilo si tatizo ila wanapoteza muda. Wapiga kura wapi wametulia wanasubiri siku ya uchaguzi ifike. Wataenda kupiga kura vizuri.
Wasusiaji waendelee kususia maana ni hali ya kila mtu (demokrasia) kuamua mwenyewe kupiga kura kuchagua Serikali waitakayo, au acha kupiga kura ili wengine wakuchagulie Serikali itakayo kuongoza.
Ukitaka kuzuia wengine wasiende kupiga kura, vyombo vya Usalama vitafanya kazi yake
 
Ni upuuzi tu. Mtu mmoja ana account 20 hivyo hilo si tatizo ila wanapoteza muda. Wapiga kura wapi wametulia wanasubiri siku ya uchaguzi ifike. Wataenda kupiga kura vizuri.
Wasusiaji waendelee kususia maana ni hali ya kila mtu (demokrasia) kuamua mwenyewe kupiga kura kuchagua Serikali waitakayo, au acha kupiga kura ili wengine wakuchagulie Serikali itakayo kuongoza.
Ukitaka kuzuia wengine wasiende kupiga kura, vyombo vya Usalama vitafanya kazi yake
 
We mganga usituharibie sikukuu 🐼
🗳️ What Would a Truly Independent INEC Look Like_.jpeg
 
HUKO INSTAGRAM KUANZIA JANA KUMEWAKA KILA POST YOYOTE UTAKAYO GUSA HAIJALOSHI INAHUSIHANA NA NINI UKIFUNGUA COMMENT 99% WATU WOTE UNAKUTA WAMECOMENT "NO REFORM NO ELECTION" HATA KAMA POST ZA KANGA MOKO WATU WAMECOMENT "NO REFORM NO ELECTION"...😅😅

PILI WAMEANZISHA OPERATIONS YA KU UNFOLLOW NA KUREPORT PAGE ZA MACHAWA WOTE KUANZIA STEVEN MENGELE NA WENGINE WOTE MPAKA SASA MILLAD AYO KAPOTEZA FOLLOWERS LAKI 3 MPAKA JIONI ATABAKI NA FOLLOWERS 3 MAANA WATU WANA SPEED HUKO...😅😅

FACEBOOK TUSIBAKI NYUMBA TU UNFOLLOW NA REPORT MACHAWA WOTE ILI WAWE NA AKILI SASA.....

USICOMENT NENO LOLOTE TOFAUTI NA "NO REFORM NO ELECTION"...✌✌

NimenakiliView attachment 3359020
 

Attachments

  • FB_IMG_1749139137988.jpg
    FB_IMG_1749139137988.jpg
    34.5 KB · Views: 7
HUKO INSTAGRAM KUANZIA JANA KUMEWAKA KILA POST YOYOTE UTAKAYO GUSA HAIJALOSHI INAHUSIHANA NA NINI UKIFUNGUA COMMENT 99% WATU WOTE UNAKUTA WAMECOMENT "NO REFORM NO ELECTION" HATA KAMA POST ZA KANGA MOKO WATU WAMECOMENT "NO REFORM NO ELECTION"...😅😅

PILI WAMEANZISHA OPERATIONS YA KU UNFOLLOW NA KUREPORT PAGE ZA MACHAWA WOTE KUANZIA STEVEN MENGELE NA WENGINE WOTE MPAKA SASA MILLAD AYO KAPOTEZA FOLLOWERS LAKI 3 MPAKA JIONI ATABAKI NA FOLLOWERS 3 MAANA WATU WANA SPEED HUKO...😅😅

FACEBOOK TUSIBAKI NYUMBA TU UNFOLLOW NA REPORT MACHAWA WOTE ILI WAWE NA AKILI SASA.....

USICOMENT NENO LOLOTE TOFAUTI NA "NO REFORM NO ELECTION"...✌✌

NimenakiliView attachment 3359020
unasemaje eti gentleman?🐒
 
HUKO INSTAGRAM KUANZIA JANA KUMEWAKA KILA POST YOYOTE UTAKAYO GUSA HAIJALOSHI INAHUSIHANA NA NINI UKIFUNGUA COMMENT 99% WATU WOTE UNAKUTA WAMECOMENT "NO REFORM NO ELECTION" HATA KAMA POST ZA KANGA MOKO WATU WAMECOMENT "NO REFORM NO ELECTION"...😅😅

PILI WAMEANZISHA OPERATIONS YA KU UNFOLLOW NA KUREPORT PAGE ZA MACHAWA WOTE KUANZIA STEVEN MENGELE NA WENGINE WOTE MPAKA SASA MILLAD AYO KAPOTEZA FOLLOWERS LAKI 3 MPAKA JIONI ATABAKI NA FOLLOWERS 3 MAANA WATU WANA SPEED HUKO...😅😅

FACEBOOK TUSIBAKI NYUMBA TU UNFOLLOW NA REPORT MACHAWA WOTE ILI WAWE NA AKILI SASA.....

USICOMENT NENO LOLOTE TOFAUTI NA "NO REFORM NO ELECTION"...✌✌

NimenakiliView attachment 3359020
Isiishie comment tu iwe mpaka kuweka mpango wa kuitangaza mtaani live kwa namna ya amani
 
NO REFORM NO ELECTION
 

Attachments

  • 1747656684574.png
    1747656684574.png
    347.9 KB · Views: 6
Yes, unamfollow mtu ambaye hatoi maoni yoyote kuhusu madhila mnayopitia kama taifa ili iweje wakati anafaidika na kumfollow kwako si heri tufollow wale ambao wana nasaba na tunachokipigania !?
 
Back
Top Bottom