Kwa watumiaji wa Aliexpress tukutane hapa

pascal luoga

JF-Expert Member
Feb 23, 2019
232
257
Heri ya sikukuu ya Eid wapendwa.

Ishu kubwa nilikuwa naomba wenye ujuzi wanieleweshe, kuhusu mambo haya;

1. Ni kampuni gani nzur kwa shipping na wanaoenda na wakati ama kusave time?

2. Niliingia nikajaribu kufany kama nanunua kwa jumla cha ajabu nikakuta kitu kinauzwa mfano 20000/=tsh. Shipping 6000/=tsh. Lakini cha ajabu ukinunua vitu hivyo vya tsh 20000/= ununua 10 ama viwe 10 nilitegemea bei ya shipping iongezeke lakini cha ajabu unanunua vitu vingi lakini shipping bei haipandi ni ile ile 6000/= je! Kuna ukweli hapa ama uhalali nahofia kupoteza ela yangu.

3. Mfano Aliexpress standard shipping. Shipping yao ni 23-43 days inawezekana mizigo kufika kabla ya siku hizo 23? Maana weng husema kwamba mizigo huchukua siku 15 tu Mara nyingi?

Msaada juu ya hayo WAKUU?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
AliExpress wanauza vitu jumla?

Mkuu hembu cheki Ni wapi hao Ni AliExpress au Alibaba? Najua Ni kampuni dada but moja Ni retail na nyingine Ni wholesale.
Sasa Kama Ni Alibaba wao wanauza kwa jumla so ukinunua kimoja wanakutumia Kama sample with the same transport cost. Ukiangalia vizuri utaona Bei ya shipping inawekwa kwa kuzingatia uzito na volume ambao uko kwenye madaraja, let say 0.1-2 kg shipping Ni Kama hiyo 6,000 ikidi hapo utaona Bei zinabadilika.

About period to delivery, AliExpress standard shipping kabla ya Corona walikuwa wanafikisha mzigo baada ya siku nane na kuendelea, hiyo 23-40 Ni business term just in case.

Tatizo linakuja baada ya COVID 19 outbreak, shipping inaweza kuchukua hata miezi mitatu utaona hata ukishanunua kabla hujakamilisha muamala wanaku alert kabisa kuwa shipping time inaweza kudelay Sana kutokana na Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AliExpress wanauza vitu jumla?

Mkuu hembu cheki Ni wapi hao Ni AliExpress au Alibaba? Najua Ni kampuni dada but moja Ni retail na nyingine Ni wholesale.
Sasa Kama Ni Alibaba wao wanauza kwa jumla so ukinunua kimoja wanakutumia Kama sample with the same transport cost. Ukiangalia vizuri utaona Bei ya shipping inawekwa kwa kuzingatia uzito na volume ambao uko kwenye madaraja, let say 0.1-2 kg shipping Ni Kama hiyo 6,000 ikidi hapo utaona Bei zinabadilika.

About period to delivery, AliExpress standard shipping kabla ya Corona walikuwa wanafikisha mzigo baada ya siku nane na kuendelea, hiyo 23-40 Ni business term just in case.

Tatizo linakuja baada ya COVID 19 outbreak, shipping inaweza kuchukua hata miezi mitatu utaona hata ukishanunua kabla hujakamilisha muamala wanaku alert kabisa kuwa shipping time inaweza kudelay Sana kutokana na Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Alibaba ndio wanauza jumla. Alafu Aliexpress me huwa napata kwa rejareja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naama sio bei ya jumla ila Quantity. Kwamba mfano unataka kununua earphone kuna sehem ya quantity unachagua idadi ila si kwa bei ya jumla bei ni ile ile, ila nnachotaka kufahamu ni kwann baadhi ya bidhaa hata quantity ukiweka 10, shipping fee inakuwa ni ileile haipand?
AliExpress wanauza vitu jumla?

Mkuu hembu cheki Ni wapi hao Ni AliExpress au Alibaba? Najua Ni kampuni dada but moja Ni retail na nyingine Ni wholesale.
Sasa Kama Ni Alibaba wao wanauza kwa jumla so ukinunua kimoja wanakutumia Kama sample with the same transport cost. Ukiangalia vizuri utaona Bei ya shipping inawekwa kwa kuzingatia uzito na volume ambao uko kwenye madaraja, let say 0.1-2 kg shipping Ni Kama hiyo 6,000 ikidi hapo utaona Bei zinabadilika.

About period to delivery, AliExpress standard shipping kabla ya Corona walikuwa wanafikisha mzigo baada ya siku nane na kuendelea, hiyo 23-40 Ni business term just in case.

Tatizo linakuja baada ya COVID 19 outbreak, shipping inaweza kuchukua hata miezi mitatu utaona hata ukishanunua kabla hujakamilisha muamala wanaku alert kabisa kuwa shipping time inaweza kudelay Sana kutokana na Corona

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AliExpress wanauza vitu jumla?

Mkuu hembu cheki Ni wapi hao Ni AliExpress au Alibaba? Najua Ni kampuni dada but moja Ni retail na nyingine Ni wholesale.
Sasa Kama Ni Alibaba wao wanauza kwa jumla so ukinunua kimoja wanakutumia Kama sample with the same transport cost. Ukiangalia vizuri utaona Bei ya shipping inawekwa kwa kuzingatia uzito na volume ambao uko kwenye madaraja, let say 0.1-2 kg shipping Ni Kama hiyo 6,000 ikidi hapo utaona Bei zinabadilika.

About period to delivery, AliExpress standard shipping kabla ya Corona walikuwa wanafikisha mzigo baada ya siku nane na kuendelea, hiyo 23-40 Ni business term just in case.

Tatizo linakuja baada ya COVID 19 outbreak, shipping inaweza kuchukua hata miezi mitatu utaona hata ukishanunua kabla hujakamilisha muamala wanaku alert kabisa kuwa shipping time inaweza kudelay Sana kutokana na Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapokelea wapi mzigo ukishafika hapa bongo au unaupataje hususani kwa wale walio nje ya Dsm?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa sana kakaaaa
Boss tumia logic ndogo. Ukienda kunua sukari kilo moja utawekewa kwenye mfuko mmoja na ukinunua kilo mbili bado utaweka kwenye mfuko mmoja sio mifuko miwili. So package inakua moja kwa bei hiyo ya elfu 6.

Exceptional inakuja pale mzigo unapozidi uzito ulioweka. Mfano jamaa hapo juu katoa mfano 0.1 - 2 Kg. Ni elfu 6. Soo hata kama utanunua earphones 100 lakini zipo within a range ya uzito huo utalipia elfu 6 kama ita zidi lets 2+ kg ndo utapewa bei nyingine.

Nadhani umeelewa

Au mnasemaje mods

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapokelea wapi mzigo ukishafika hapa bongo au unaupataje hususani kwa wale walio nje ya Dsm?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, mzigo mara nyingi wanatumia shirika la posta.

Hivyo basi, andika anuani ya posta iliyo karibu nawe.

Lakini pia, hata kama hauna sanduku la posta, bado mzigo utaupata, maana mzigo wako utapelekwa kwenye posta offisce iliyo karibu na wewe kulingana na address uliyoweka.

Watu wa posta watakupigia simu kukujuza kuwa una mzigo wako.

Nenda na kitambulisho cha mpiga kura, lessini au cha Taifa..

Kuna gharama nadhani ni around Tshs. 2,300 hivi.

Karibu..
 
Katika kipindi hiki sikushauri kufanya online shopping whether ni Aliexpress, Alibaba, eBay, Amazon or any. Sababu ya Corona shipping fees zimepanda mara 2-3, mfano unakuta items inauzwa 8.99 $ lakini shipping cost 69.99-120$ hatari, tena Amazon ndo hakufai kabisa!
 
Mkuu, mzigo mara nyingi wanatumia shirika la posta.

Hivyo basi, andika anuani ya posta iliyo karibu nawe.

Lakini pia, hata kama hauna sanduku la posta, bado mzigo utaupata, maana mzigo wako utapelekwa kwenye posta offisce iliyo karibu na wewe kulingana na address uliyoweka.

Watu wa posta watakupigia simu kukujuza kuwa una mzigo wako.

Nenda na kitambulisho cha mpiga kura, lessini au cha Taifa..

Kuna gharama nadhani ni around Tshs. 2,300 hivi.

Karibu..
Shirika la posta,hilihili linalotumia SLP?,,
Kwani DHL ilikufaga?
 
Back
Top Bottom