Kwa watalaamu wa Geographia tu

Kwa watalaamu wa Geographia tu

Mkuu unabisha una hoja? Na ukiambiwa dunia sio duara si ndo utazimia kabisa
Mkuu suala la dunia kulizunguka jua nimelifatilia kwa kiwango fulani lakini hakuna evidence iliyo consistent kiasi kwamba ikakuacha bila maswali.Evidence maarufu ni parralax of stars ambayo nayo mtu aki argue nyota ndio zinazunguka sayari hapohapo inakufa.

All in all hio issue yako issue ya pili ya kuamini dunia sio duara sitaki hata kuizungumzia maaina evidence karibia zote zina prove dunia ni oblete sphere there is no way out to make the earth not being a sphere.
 
Theory ya kipuuzi Sana hii. It is the sun which goes around the word.

Mkuu unabisha una hoja? Na ukiambiwa dunia sio duara si ndo utazimia kabisa
Sawa,
Dunia haizunguki Jua, bali Jua huzunguka Dunia,
Sawa Dunia sio Duara,

Sasa hilo Jua linalozunguka Dunia, linazungukaje kitu kisicho duara?
 
Kuna hii kitu wanasema dunia ina mizunguko miwili
1.rotation[rotates on its own axis]
2.revolution[revolves around the earth via eliptical orbit]
Sasa swali ni je mizunguko yote hiyo inatokea kwa wakati mmoja au kila mzunguko inatokea kwa muda wake
..submitted...
Wewe hii Jogorafia ulifundishwa wapi kwamba revolution is when the earth revolves around the earth?
 
Yote hutokea kwa wakati mmoja isipokuwa hupishana kwenye kukamilisha mzunguko. Rotation inakamilisha mzunguko kwa masaa 24 na revolution inakamilisha mzunguko kwa siku 365¼ = siku 365 na masaa 6.
Et dunia inasiku 365 na robo, inamana kuna siku roboo???? Hiyoo robo inakujaje ilehali kuwa siku ina masaa 24 na hakuna siku inaishiaga masaa 21,sasa izo siku robo mnazosema zinatoka wapi????

Ukihesabu siku kwenye calender ya mwaka huwezi kutana na iyoo robo, sasa nyie hio robo mnatoaga wapii
 
Sayansi ninaiamini sana , ila dunia kujizungusha na kuzunguka jua vipi maji ya bahari hayamwagiki ? Mtasema gravititional force na centripetal force ila ni kweli asilimia 100 ? Kumbuka copernicous revolution
 
Et dunia inasiku 365 na robo, inamana kuna siku roboo???? Hiyoo robo inakujaje ilehali kuwa siku ina masaa 24 na hakuna siku inaishiaga masaa 21,sasa izo siku robo mnazosema zinatoka wapi????

Ukihesabu siku kwenye calender ya mwaka huwezi kutana na iyoo robo, sasa nyie hio robo mnatoaga wapii
Nimekuambia ni masaa 6 ndio hiyo robo siku, kwenye karenda huwa haioneshwi ila umewekwa utaratibu kila baada ya miaka minne huongezwa siku moja katika mwaka wa nne ili kufidia ile robo ya miaka minne na kupata siku 366. Ndio maana kila baada ya miaka minne tunapata mwaka mrefu mmoja eg 2000, 2004, 2008,2012 &2016. Karibu kwa maswali zaidi.
 
Kuna hii kitu wanasema dunia ina mizunguko miwili
1.rotation[rotates on its own axis]
2.revolution[revolves around the earth via eliptical orbit]
Sasa swali ni je mizunguko yote hiyo inatokea kwa wakati mmoja au kila mzunguko inatokea kwa muda wake
..submitted...
Yoshua 10

12 Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori
mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya
macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya
juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama
katika bonde la Aiyaloni.
13 Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia,
Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha
jipatiliza juu ya adui zao.

Joshua aliomba, Mungu akajibu kwa
kusimamisha mzunguko wa matufe hayo siku
ikachelewa kuisha hata pale vita vilipomalizika.

Kwa kupitia andiko hili yawezekana jua lina zunguka dunia na sio vinginevyo,

ila ukisoma astronomy sayansi sio hiyo geografia ya kitoto tena, inasema kila kitu kilichopo angani kinazunguka around the center mass of the solar system, na jua lenyewe imebi proved kuwa linazunguka nalo na speed yake ni ( The Sun's orbital speed around the Galaxy: ~200 km/s (720,000 km/h, 450,000 mph)

Kwa hiyo hiyo theory yako
Sawa,
Dunia haizunguki Jua, bali Jua huzunguka Dunia,
Sawa Dunia sio Duara,

Sasa hilo Jua linalozunguka Dunia, linazungukaje kitu kisicho duara?

Yoshua 10

12 Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori
mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya
macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya
juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama
katika bonde la Aiyaloni.
13 Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia,
Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha
jipatiliza juu ya adui zao.

Joshua aliomba, Mungu akajibu kwa
kusimamisha mzunguko wa matufe hayo siku
ikachelewa kuisha hata pale vita vilipomalizika.

Kwa kupitia andiko hili yawezekana jua lina zunguka dunia na sio vinginevyo,

ila ukisoma astronomy sayansi sio hiyo geografia ya kitoto tena, inasema kila kitu kilichopo angani kinazunguka around the center mass of the solar system, na jua lenyewe imebi proved kuwa linazunguka nalo na speed yake ni ( The Sun's orbital speed around the Galaxy: ~200 km/s (720,000 km/h, 450,000 mph)
 
Sayansi ninaiamini sana , ila dunia kujizungusha na kuzunguka jua vipi maji ya bahari hayamwagiki ? Mtasema gravititional force na centripetal force ila ni kweli asilimia 100 ? Kumbuka copernicous revolution

Kama Joshua alimwomba Mungu akalisimanisha jua alafu mchana ukaongezeka basi yawezekana kabisa jua ndilo huwa linaizunguka dunia kitupa ucku na mchana, na hivyo basi jua linaizunguka dunia kwa siku 365(1/4) hiyo robo, ilioko hopo ndio iliongezeka mara tu baada ya jua kusimamishwa,
 
Kuna hii kitu wanasema dunia ina mizunguko miwili
1.rotation[rotates on its own axis]
2.revolution[revolves around the earth via eliptical orbit]
Sasa swali ni je mizunguko yote hiyo inatokea kwa wakati mmoja au kila mzunguko inatokea kwa muda wake
..submitted...
Umekosa cha kupost au....? Maelezo yako hapo juu yanaonesha kabisa unauliza unachokijua japo Na. 2 umejichanganya
 
Kama Joshua alimwomba Mungu akalisimanisha jua alafu mchana ukaongezeka basi yawezekana kabisa jua ndilo huwa linaizunguka dunia kitupa ucku na mchana, na hivyo basi jua linaizunguka dunia kwa siku 365(1/4) hiyo robo, ilioko hopo ndio iliongezeka mara tu baada ya jua kusimamishwa,
Jua linazunguka na Dunia inazunguka.
 
Back
Top Bottom