Kwa watakao piga Kura ya hapana tu

Kwa watakao piga Kura ya hapana tu

Its something to be serious tuyajue mambumbu na machumia tumbo kweupee ikibidi yazuiliwe kupiga kura. Back to my side ni HAPANAAAAA
 
Hatuwezi kuwa sawa kifikra . Mimi binafsi pamoja na familia yangu tumedhamiria kupiga kura ya hapana kwa katiba iliyopendekezwa tukiwa na sababu maalumu.

Sasa tumekubaliana kushawishi marafiki ndugu, jamaa na marafiki kuipinga katiba hiyo ndani ya kijiji chetu.

Tunao uwezo kwa miaka mitano iliyopita tulijenga ushawishi na akachaguliwa mwenyekiti wa kijiji wa chadema , mwaka uliofuatia wa 2010 tukapigana tukapata diwani wa chadema.

Tutapigana kuhakikisha kura za hapana zinakuwa za kutosha hata kama kura za ndiyo nchi nzima zitashinda lakini hapa kwetu haitawezekani.

Kama utapiga kura ya hapana tuunge mkono kwa kuandika tu neno hapana , ili tulinganishe na wale wa ndio wepi watakuwa wengi.

NAWASHAURI mods wasimamie upigaji wa kura hii ya hapana pamoja na thread ya kura ya ndio itakayofunguliwa na wadau wa ndio ili tulinganishe matokeo yake kabla ya siku ya upigaji kura.

KARIBUNI WADAU.

hapana
 
Sorry kama ntakuwa nimetumia lugha kali kidogo,ila najitahid kupunguza ukali wa maneno. Napata Shaka na fikra zako kudhan kuwa wingi wa kura ya hapana au ndio ya kwenye jammii forum ambayo ni watu wenye laptop na cm za android pekee ndo wanaweza kukoment, waliobaki wakakoment wapi? Hapana ya kwenye jmii forum haiwez kutoa taswira halis , hata hivyo nadhani una element au chembechembe za kibaguz kwa mbali, kwann usiweke thread zote za kura ya hpana na ndio? Kwa hilo napata shaka na uwezo wako kuongoza endapo utakuwa kiongoz mkubwa ,unaweza kuligawa taifa kwa vitu vidogo tu
 
Hatuwezi kuwa sawa kifikra . Mimi binafsi pamoja na familia yangu tumedhamiria kupiga kura ya hapana kwa katiba iliyopendekezwa tukiwa na sababu maalumu.

Sasa tumekubaliana kushawishi marafiki ndugu, jamaa na marafiki kuipinga katiba hiyo ndani ya kijiji chetu.

Tunao uwezo kwa miaka mitano iliyopita tulijenga ushawishi na akachaguliwa mwenyekiti wa kijiji wa chadema , mwaka uliofuatia wa 2010 tukapigana tukapata diwani wa chadema.

Tutapigana kuhakikisha kura za hapana zinakuwa za kutosha hata kama kura za ndiyo nchi nzima zitashinda lakini hapa kwetu haitawezekani.

Kama utapiga kura ya hapana tuunge mkono kwa kuandika tu neno hapana , ili tulinganishe na wale wa ndio wepi watakuwa wengi.

NAWASHAURI mods wasimamie upigaji wa kura hii ya hapana pamoja na thread ya kura ya ndio itakayofunguliwa na wadau wa ndio ili tulinganishe matokeo yake kabla ya siku ya upigaji kura.

KARIBUNI WADAU.

Kura ya HAPANA mimi na familia yangu ya jamii inayonizunguka
 
Sorry kama ntakuwa nimetumia lugha kali kidogo,ila najitahid kupunguza ukali wa maneno. Napata Shaka na fikra zako kudhan kuwa wingi wa kura ya hapana au ndio ya kwenye jammii forum ambayo ni watu wenye laptop na cm za android pekee ndo wanaweza kukoment, waliobaki wakakoment wapi? Hapana ya kwenye jmii forum haiwez kutoa taswira halis , hata hivyo nadhani una element au chembechembe za kibaguz kwa mbali, kwann usiweke thread zote za kura ya hpana na ndio? Kwa hilo napata shaka na uwezo wako kuongoza endapo utakuwa kiongoz mkubwa ,unaweza kuligawa taifa kwa vitu vidogo tu

Huyu jamaa ni kiongozi mzuri kwani kama unataka kubadili jamii aza na familia kisha spread the word to the society, halafu usiwe mnafiki kwa kigezo cha uongozi bora, if is no just bold it with up cases. Lazima wewe utakuwa ccm ambano ni wanafiki, sorry to say but message sent
 
Huyu jamaa ni kiongozi mzuri kwani kama unataka kubadili jamii aza na familia kisha spread the word to the society, halafu usiwe mnafiki kwa kigezo cha uongozi bora, if is no just bold it with up cases. Lazima wewe utakuwa ccm ambano ni wanafiki, sorry to say but message sent

Ahsante
 
Hatuwezi kuwa sawa kifikra . Mimi binafsi pamoja na familia yangu tumedhamiria kupiga kura ya hapana kwa katiba iliyopendekezwa tukiwa na sababu maalumu.

Sasa tumekubaliana kushawishi marafiki ndugu, jamaa na marafiki kuipinga katiba hiyo ndani ya kijiji chetu.

Tunao uwezo kwa miaka mitano iliyopita tulijenga ushawishi na akachaguliwa mwenyekiti wa kijiji wa chadema , mwaka uliofuatia wa 2010 tukapigana tukapata diwani wa chadema.

Tutapigana kuhakikisha kura za hapana zinakuwa za kutosha hata kama kura za ndiyo nchi nzima zitashinda lakini hapa kwetu haitawezekani.

Kama utapiga kura ya hapana tuunge mkono kwa kuandika tu neno hapana , ili tulinganishe na wale wa ndio wepi watakuwa wengi.

NAWASHAURI mods wasimamie upigaji wa kura hii ya hapana pamoja na thread ya kura ya ndio itakayofunguliwa na wadau wa ndio ili tulinganishe matokeo yake kabla ya siku ya upigaji kura.

KARIBUNI WADAU.

Mimi niko tayari kabisa ila nnawasiwasi na Sitta, Chenge, na nyinyimu , kama wamegiduwa zile 500 za BMK hivi si watauwa kabisa za watanzania.
 
Big noooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Hatuwezi kuwa sawa kifikra . Mimi binafsi pamoja na familia yangu tumedhamiria kupiga kura ya hapana kwa katiba iliyopendekezwa tukiwa na sababu maalumu.

Sasa tumekubaliana kushawishi marafiki ndugu, jamaa na marafiki kuipinga katiba hiyo ndani ya kijiji chetu.

Tunao uwezo kwa miaka mitano iliyopita tulijenga ushawishi na akachaguliwa mwenyekiti wa kijiji wa chadema , mwaka uliofuatia wa 2010 tukapigana tukapata diwani wa chadema.

Tutapigana kuhakikisha kura za hapana zinakuwa za kutosha hata kama kura za ndiyo nchi nzima zitashinda lakini hapa kwetu haitawezekani.

Kama utapiga kura ya hapana tuunge mkono kwa kuandika tu neno hapana , ili tulinganishe na wale wa ndio wepi watakuwa wengi.

NAWASHAURI mods wasimamie upigaji wa kura hii ya hapana pamoja na thread ya kura ya ndio itakayofunguliwa na wadau wa ndio ili tulinganishe matokeo yake kabla ya siku ya upigaji kura.

KARIBUNI WADAU.

Watakaosimamia zoezi la kupiga kura, kuhesabu na kutangaza matokeo ni CCM halafu hapo unategemea nini ndugu yangu?
 
Back
Top Bottom