Mkuu naona umekuwa upande wangu,na hata wakati wa mjadala huu wengi walisema jibu ni is kwa kuwa anayeongelewa hapo ni mtu mmoja ambaye ni king
Sent using Jamii Forums mobile app
He (the king) is here with his wives. Kuna haja ya kutaja sababu hapa? Mimi nina kiherehere tu, sasa wataalamu wenyewe wameamua kupita tu bila kukujibu, wameogopa watashusha status zaoWakuu hamjambo,msaada wenu kwa hili swali
Naomba msaada wenu juu ya swali hili,kama mjuavyo kingereza ni nyama ya tembo,hivyo kwa Mimi peke yangu nimeshindwa kupata muafaka wa lipi ni jibu sahihi
THE KING AND HIS WIVES__________________HERE
(ARE/IS. ( )
Toa sababu kwa hoja/ chaguo lako yaani kwanini jibu ni is/are?
Sent using Jamii Forums mobile app
Is ndio jibu sahihi hapoWakuu hamjambo, msaada wenu kwa hili swali
Naomba msaada wenu juu ya swali hili, kama mjuavyo kingereza ni nyama ya tembo, hivyo kwa Mimi peke yangu nimeshindwa kupata muafaka wa lipi ni jibu sahihi
THE KING AND HIS WIVES__________________HERE
(ARE/IS. ( )
Toa sababu kwa hoja/ chaguo lako yaani kwanini jibu ni is/are?
Sent using Jamii Forums mobile app
Is ndio jibu sahihi hapo
King ni mtu mkubwa sana na amembatana tu na mkewe
So sentensi inamuhusu king, mkewe ni kiambata tu
Hapo jibu ni Is,kwa sababu inamrudia king,ambaye ndio subject.Wakuu hamjambo, msaada wenu kwa hili swali
Naomba msaada wenu juu ya swali hili, kama mjuavyo kingereza ni nyama ya tembo, hivyo kwa Mimi peke yangu nimeshindwa kupata muafaka wa lipi ni jibu sahihi
THE KING AND HIS WIVES__________________HERE
(ARE/IS. ( )
Toa sababu kwa hoja/ chaguo lako yaani kwanini jibu ni is/are?
Sent using Jamii Forums mobile app