Kwa Wataalamu wa Kodi, Hivi "Exemption" ya Kwenye Gari hua inakufaga/kuisha?

Lady Ra

JF-Expert Member
Mar 23, 2014
879
988
Wadau kwema?

Naombeni msaada wenu, kuna Rafiki yangu anataka kununua Gari lakini muuzaji alilingiza nchini kwa Exemption. Muuzaji anasema kua kadiri gari inavyozidi kutumika hapa nchini basi amount ya Exemption nayo inazidi kupungua sababu "Market Value" ya gari nayo inashuka.

Ni gari iliyokaa hapa nchini zaidi ya Miaka mitano, na huyo rafiki yangu anataka kuinunua ili kumsaidia Muuzaji ambae ni mtu wanafahamiana na amekwama kifedha. Kwa vile anataka kubadili Umiliki akishainunua, je atalazimika kulipa Exemption fully vile vile kama ilivyosamehewa? au itakua imepungua?

Msaada wenu kwa Wajuzi please.
 
Wadau kwema?

Naombeni msaada wenu, kuna Rafiki yangu anataka kununua Gari lakini muuzaji alilingiza nchini kwa Exemption. Muuzaji anasema kua kadiri gari inavyozidi kutumika hapa nchini basi amount ya Exemption nayo inazidi kupungua sababu "Market Value" ya gari nayo inashuka.

Ni gari iliyokaa hapa nchini zaidi ya Miaka mitano, na huyo rafiki yangu anataka kuinunua ili kumsaidia Muuzaji ambae ni mtu wanafahamiana na amekwama kifedha. Kwa vile anataka kubadili Umiliki akishainunua, je atalazimika kulipa Exemption fully vile vile kama ilivyosamehewa? au itakua imepungua?

Msaada wenu kwa Wajuzi please.
Aende TRA, watamkadiria anadaiwa shs ngapi kutokana na uzee wa gari
 
Kwenye gari hakuna exemption mkuu usidanganyikie...
Kwa maana exempt maana yake hailipiwi kodi.. magari yote ya binafsi lazima yalipiwe kodi..
Kodi zake ziko zifuatazo..
1. Gari yenye CC 1000-2000 unalipia tsh 500,000 likiwa ni la chini ya miaka mitano
Na 250000 likiwa lina umri zaidi ya miaka 5..
2. CC 2000-3000 ni Tsh 1000,000 chini ya miaka 5 na 500000 juu ya miaka 5.
3. Cc zaidi ya 30000 unalipia 1500,000 chini ya miaka 5 na 750,000 juu ya miaka 5...

Pia kuna nyongeza hapa chini..
Magari yote yanayosajiliwa kwa ajili ya biashara basi yatalazimika kulipia ada ya uchakavu yaani depreciation fees.. according to its tones..
 
Zaidi ya hapo ni kwamba kodi ipo kila mwaka... so jipange na hakuna janja janja.. magari pekee yenye exemption ni kama ifuatavyo..
Ya serikali yote..
Donors funds yote..
Mabalozi wa nchi mbali mbali..
 
Kwenye gari hakuna exemption mkuu usidanganyikie...
Kwa maana exempt maana yake hailipiwi kodi.. magari yote ya binafsi lazima yalipiwe kodi..
Kodi zake ziko zifuatazo..
1. Gari yenye CC 1000-2000 unalipia tsh 500,000 likiwa ni la chini ya miaka mitano
Na 250000 likiwa lina umri zaidi ya miaka 5..
2. CC 2000-3000 ni Tsh 1000,000 chini ya miaka 5 na 500000 juu ya miaka 5.
3. Cc zaidi ya 30000 unalipia 1500,000 chini ya miaka 5 na 750,000 juu ya miaka 5...

Pia kuna nyongeza hapa chini..
Magari yote yanayosajiliwa kwa ajili ya biashara basi yatalazimika kulipia ada ya uchakavu yaani depreciation fees.. according to its tones..
Mkuu nadhani huelewi, labda uulize tu,
Kwenye Uingizaji wa Magari "Exempt" ilikuwepo hasa kwenye Taasisi za Dini, Miradi Maalumu, Balozi za Nje, Watumishi wa serikali etc. Na kodi zake ziko based on TRA estimates za Magari (Customs Value), haziko fixed kama ulivyoandika hapo.

Hizi kodi zinaundwa na IMPORT DUTY, EXCISE DUTY, AGED EXCISE DUTY & VAT. Sasa sina uhakika hapa Exemption inakuaga kwenye element ipi hapa
 
maelezo yako hayajakamilika,kama huyo rafiki yako alinunua kwa jamaa mwingine maana yake huyo jamaa yako alisha lipa-labda utuambie unanunua moja kwa moja kutoka taasisi jamaa alizozitaja hapo juu
 
Mkuu nadhani huelewi, labda uulize tu,
Kwenye Uingizaji wa Magari "Exempt" ilikuwepo hasa kwenye Taasisi za Dini, Miradi Maalumu, Balozi za Nje, Watumishi wa serikali etc. Na kodi zake ziko based on TRA estimates za Magari (Customs Value), haziko fixed kama ulivyoandika hapo.

Hizi kodi zinaundwa na IMPORT DUTY, EXCISE DUTY, AGED EXCISE DUTY & VAT. Sasa sina uhakika hapa Exemption inakuaga kwenye element ipi hapa
hamna exemption kwa magari yanayonunuliwa na watumishi wa serikali-magari yote binafsi hayana exemption
 
Kwenye gari hakuna exemption mkuu usidanganyikie...
Kwa maana exempt maana yake hailipiwi kodi.. magari yote ya binafsi lazima yalipiwe kodi..
Kodi zake ziko zifuatazo..
1. Gari yenye CC 1000-2000 unalipia tsh 500,000 likiwa ni la chini ya miaka mitano
Na 250000 likiwa lina umri zaidi ya miaka 5..
2. CC 2000-3000 ni Tsh 1000,000 chini ya miaka 5 na 500000 juu ya miaka 5.
3. Cc zaidi ya 30000 unalipia 1500,000 chini ya miaka 5 na 750,000 juu ya miaka 5...

Pia kuna nyongeza hapa chini..
Magari yote yanayosajiliwa kwa ajili ya biashara basi yatalazimika kulipia ada ya uchakavu yaani depreciation fees.. according to its tones..
gharama ni mara 6 hadi 7 zaidi ya ulizozitaja hapo bado huja include IMPORT DUTY, EXCISE DUTY, AGED EXCISE DUTY & VAT
 
Ni gari iliyokaa hapa nchini zaidi ya Miaka mitano, na huyo rafiki yangu anataka kuinunua ili kumsaidia Muuzaji ambae ni mtu wanafahamiana na amekwama kifedha. Kwa vile anataka kubadili Umiliki akishainunua, je atalazimika kulipa Exemption fully vile vile kama ilivyosamehewa? au itakua imepungua?
Gari cc ngapi?.. Kama nafikiri ulichofikiri basi kadiria kati ya 125 lak - 750 lak malipo yake!.
 
Zaidi ya hapo ni kwamba kodi ipo kila mwaka... so jipange na hakuna janja janja.. magari pekee yenye exemption ni kama ifuatavyo..
Ya serikali yote..
Donors funds yote..
Mabalozi wa nchi mbali mbali..
Uko nchi gani mkuu??
Mbona unachemkaa??
Hii kodi ya kila mwaka ilishaondolewaga, ikawa absorbed kwenye mafuta
 
hamna exemption kwa magari yanayonunuliwa na watumishi wa serikali-magari yote binafsi hayana exemption
Wewe unazungumzia sasa, mleta mada kasema gari ina zaidi ya miaka mitano.
By the way nami nimesema ILIKUWEPO
 
Sema mwenye kutaka kujua ni wewe,usimsingizie rafiki yako. Exemption inakufa pale mwenye gari anapoliuza kwa mtu mwingine.
JF bana,
Naipenda kwelikweli, maana kuna watu wa kila aina.
Hivi nikitaka kununua mimi gari hili kuna ubaya/hasara/madhara/effects gani mpka nianze kusingizia rafiki??\
Sasa akiliuza wakati miaka kibao ishaenda, bado mnunuzi atalipia upya??
 
maelezo yako hayajakamilika,kama huyo rafiki yako alinunua kwa jamaa mwingine maana yake huyo jamaa yako alisha lipa-labda utuambie unanunua moja kwa moja kutoka taasisi jamaa alizozitaja hapo juu
Alie import sie rafiki yangu, na ndie aliekua na Exemption, Sasa anataka kumuuzia huyo Rafiki yangu.
Mwenye Gari anasema hakulipa exemption, ila rafiki yangu anataka akinunua abadili ownership, je atahitajika kulipia ile exempted tax even gari ishakaa sana?
 
Back
Top Bottom