Kwa wataalam wa Umeme

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,716
12,075
Nina digital stabilizer ya tropical Power, wakati mwingine inaonyesha "Input ni 218V,,Output = 231V"

Inawezekanaje hii?
 
Mimi sioni kama kuna tatizo lolote. Yawezekana output yake ni 230V na haiwezi kuwa accurately. Hivi ikiwa 229V au 231V bado inakaribiana kabisa. Usihofu. Wakati mwingine inategemeana na vifaa vilivyounganishwa katika stabilizer hiyo.
 
Nakubaliana na jibu la GM7. Stabilizer yako imekua set at 230V na umeme unaoingia ni 218V unakua stabilized to 231V ambayo ni sawa 230 kama alivyosema GM
 
Mimi sioni kama kuna tatizo lolote. Yawezekana output yake ni 230V na haiwezi kuwa accurately. Hivi ikiwa 229V au 231V bado inakaribiana kabisa. Usihofu. Wakati mwingine inategemeana na vifaa vilivyounganishwa katika stabilizer hiyo.

Mkuu,, sasa kama yenyewe imepokea mfano 200v kutokea kwenye sacketi, inatoa wapi 220v kutumiwa na vifaa nilivyoconnect.Hizo 20v zinatoka wp?
 
Si ndio maana ya voltage stabilizer? Umeme ukishuka au ukipanda, kwa kiwango cha hiyo stabilizer, iuweke sawa. Sioni tatizo hapo.
 
Voltage Stabilizer, Tafsiri rahisi:
voltage, ni kiwango cha umeme
stabilizer, inatokana na neno stable, kinachosababisha kuwa stable
stable ni sifa ya kutulia, kutobadilikabadilika.

Voltage Stabilizer upande mmoja inapokea umeme wa kiwango kinachowezakubadilika toka kwenye line,
upande wa pili inatoa umeme wa kiwango fulani kwenda kwenye matumizi.

Hivyo,
Voltage Stabilizer ni chombo kilichokusudiwa kutoa kwa ajili ya matumizi, umeme wa kiwango kisichobadilika 'stable' hata kama kiwango cha umeme toka kwenye line kitakuwa kinapanda na kushuka ovyo ovyo.
Kitu cha kujali ni kuwa Voltage Stabilizer itoe umeme wa kiwango kinachohitajiwa na chombo unachotumia (mfano 230V). Iwapo line voltage itapanda zaidi ya kiwango hiki, stabilizer itashusha itoke 230V, na ikishuka (mfano 200V), stabilizer itafidia itoke 230V.
Ndani ya Stabilizer kuna auto transformer (steps up or down) kufanikisha hilo.
Iwapo hiyo uliyonayo ni Digital maana yake ni kwamba digital circuit ndiyo inaiongoza transformer wakti gani wa kupandisha na kwa kiasi gani na wakati gani wa kushusha na kwa kiasi gani.

Hata hivyo,
TV za siku hizi zimetengezewa Auto voltage circuit (check name plate nyuma ya TV yako karibu na mahali pa kuchomeka waya wa umeme).
Iwapo utakuta maandishi mfano wa haya, 190~260V AC, ina maana kuwa umeme wa Tanesco ukishuka hadi 190V, TV yako itaendelea kufanya kazi na ukipanda hadi 260V bado hakutakuwa na tatizo.

Kwa hiyo kimsingi chombo chako hakihitaji stabilizer bali kinahitaji Surge Protector, chombo cha kujihami dhidi ya umeme unaosababisha madhara. Bei yake ni ndogo kuliko ile ya stabilizer, jipatie Protector na hifadhi Stabilizer kwa matumizi yenye huo uhitaji.

Asante kwa kuhitaji kueleweshwa, nakaribisha maswali mengine kuhusu vyombo vinavyotumia umeme.
 
Voltage Stabilizer, Tafsiri rahisi:
voltage, ni kiwango cha umeme
stabilizer, inatokana na neno stable, kinachosababisha kuwa stable
stable ni sifa ya kutulia, kutobadilikabadilika.

Voltage Stabilizer upande mmoja inapokea umeme wa kiwango kinachowezakubadilika toka kwenye line,
upande wa pili inatoa umeme wa kiwango fulani kwenda kwenye matumizi.

Hivyo,
Voltage Stabilizer ni chombo kilichokusudiwa kutoa kwa ajili ya matumizi, umeme wa kiwango kisichobadilika 'stable' hata kama kiwango cha umeme toka kwenye line kitakuwa kinapanda na kushuka ovyo ovyo.
Kitu cha kujali ni kuwa Voltage Stabilizer itoe umeme wa kiwango kinachohitajiwa na chombo unachotumia (mfano 230V). Iwapo line voltage itapanda zaidi ya kiwango hiki, stabilizer itashusha itoke 230V, na ikishuka (mfano 200V), stabilizer itafidia itoke 230V.
Ndani ya Stabilizer kuna auto transformer (steps up or down) kufanikisha hilo.
Iwapo hiyo uliyonayo ni Digital maana yake ni kwamba digital circuit ndiyo inaiongoza transformer wakti gani wa kupandisha na kwa kiasi gani na wakati gani wa kushusha na kwa kiasi gani.

Hata hivyo,
TV za siku hizi zimetengezewa Auto voltage circuit (check name plate nyuma ya TV yako karibu na mahali pa kuchomeka waya wa umeme).
Iwapo utakuta maandishi mfano wa haya, 190~260V AC, ina maana kuwa umeme wa Tanesco ukishuka hadi 190V, TV yako itaendelea kufanya kazi na ukipanda hadi 260V bado hakutakuwa na tatizo.

Kwa hiyo kimsingi chombo chako hakihitaji stabilizer bali kinahitaji Surge Protector, chombo cha kujihami dhidi ya umeme unaosababisha madhara. Bei yake ni ndogo kuliko ile ya stabilizer, jipatie Protector na hifadhi Stabilizer kwa matumizi yenye huo uhitaji.

Asante kwa kuhitaji kueleweshwa, nakaribisha maswali mengine kuhusu vyombo vinavyotumia umeme.

mkuu mimi ninahitaji kujua mchanganyiko uliyotumika kuiwezesha tube light kuwaka. Maana hizi taa huwa zina element mbili.yaani mwanzo na mwisho.ila katika utendaji wake taa huonekana yote imewaka.pia hizi taa kunawakati huwa zinagoma kuwaka zinakuwa zina blink tu.ila ukipima kipimo kinakuonyesha kuwa ni nzima.
 
Hicho kifaa chako sio stabilizer ila ni regulator, stabilizer huwa inafanya output kuwa stable, ila regulator yenyewe ina uwezo wa kuongeza umeme ukiwa mdogo na kupunguza umeme ukiwa mkubwa!!
 
mkuu mimi ninahitaji kujua mchanganyiko uliyotumika kuiwezesha tube light kuwaka. Maana hizi taa huwa zina element mbili.yaani mwanzo na mwisho.ila katika utendaji wake taa huonekana yote imewaka.pia hizi taa kunawakati huwa zinagoma kuwaka zinakuwa zina blink tu.ila ukipima kipimo kinakuonyesha kuwa ni nzima.

Kwanza gonga hii link hapa chini uipitie halafu ikibidi urudi kwa ufafanuzi.
Regards!

HowStuffWorks "How Fluorescent Lamps Work"
 
Hicho kifaa chako sio stabilizer ila ni regulator, stabilizer huwa inafanya output kuwa stable, ila regulator yenyewe ina uwezo wa kuongeza umeme ukiwa mdogo na kupunguza umeme ukiwa mkubwa!!

Kuna haja ya kujua na kutofautisha twist za lugha za kibiashara na zile za kitaaluma.
:smile-big:
 
ya kichina hiyo mkuu be careful

Watu wengine mna obsession na china wakatii hapa bongo au africa hata kakiwa wanda ka vifungo au hata tooth stick hakuna.

Sasa si bora hao wachina. Na duniani nchi gani haitumii bidhaa za china?

Punguzeni siasa
 
ya kichina hiyo mkuu be careful

Wachina wana madaraja tofauti ya bidhaa zao, hiyo Stabilizer kama ingekuwa made in China for Europe/USA angeweza kuinunua? usilalamikie China kwani inakupa kitu kulingana na pesa yako, The more is Cheap the more is fragile, impermanent, poorly made, temporary, undependable,
 
Hicho kifaa chako sio stabilizer ila ni regulator, stabilizer huwa inafanya output kuwa stable, ila regulator yenyewe ina uwezo wa kuongeza umeme ukiwa mdogo na kupunguza umeme ukiwa mkubwa!!

Uko sawa kaka ! ni voltage regulator, dc-dc converters ambazo inaweza kuwa buck converter, buck-boost au boost converter ambazo ni types za switching regulators. buck-boost ina step up and down lkn ina invert output voltage. ila SEPIC yenyewe ina punguza au kuongeza umeme bila ku invert output voltage. Kwenye hizi regulator inaweza kuweka zener diode ili ku stabilize output voltage. Ukitaka knowledge zaidi fuatilia power electronics. Boost converter zinatumika pia katika Maximum power point tracking (MPPT). Zinakuwa embedded ili kuhakikisha source either solar PV cells, TEG, Fuel cells, etc zina give maximum power
 
Voltage Stabilizer, Tafsiri rahisi:
voltage, ni kiwango cha umeme
stabilizer, inatokana na neno stable, kinachosababisha kuwa stable
stable ni sifa ya kutulia, kutobadilikabadilika.

Voltage Stabilizer upande mmoja inapokea umeme wa kiwango kinachowezakubadilika toka kwenye line,
upande wa pili inatoa umeme wa kiwango fulani kwenda kwenye matumizi.

Hivyo,
Voltage Stabilizer ni chombo kilichokusudiwa kutoa kwa ajili ya matumizi, umeme wa kiwango kisichobadilika 'stable' hata kama kiwango cha umeme toka kwenye line kitakuwa kinapanda na kushuka ovyo ovyo.
Kitu cha kujali ni kuwa Voltage Stabilizer itoe umeme wa kiwango kinachohitajiwa na chombo unachotumia (mfano 230V). Iwapo line voltage itapanda zaidi ya kiwango hiki, stabilizer itashusha itoke 230V, na ikishuka (mfano 200V), stabilizer itafidia itoke 230V.
Ndani ya Stabilizer kuna auto transformer (steps up or down) kufanikisha hilo.
Iwapo hiyo uliyonayo ni Digital maana yake ni kwamba digital circuit ndiyo inaiongoza transformer wakti gani wa kupandisha na kwa kiasi gani na wakati gani wa kushusha na kwa kiasi gani.

Hata hivyo,
TV za siku hizi zimetengezewa Auto voltage circuit (check name plate nyuma ya TV yako karibu na mahali pa kuchomeka waya wa umeme).
Iwapo utakuta maandishi mfano wa haya, 190~260V AC, ina maana kuwa umeme wa Tanesco ukishuka hadi 190V, TV yako itaendelea kufanya kazi na ukipanda hadi 260V bado hakutakuwa na tatizo.

Kwa hiyo kimsingi chombo chako hakihitaji stabilizer bali kinahitaji Surge Protector, chombo cha kujihami dhidi ya umeme unaosababisha madhara. Bei yake ni ndogo kuliko ile ya stabilizer, jipatie Protector na hifadhi Stabilizer kwa matumizi yenye huo uhitaji.

Asante kwa kuhitaji kueleweshwa, nakaribisha maswali mengine kuhusu vyombo vinavyotumia umeme.
hongera kwa maelezo mazuri,ila mimi nina maswali 2
1.nijuavyo mimi kazi ya saketi breka,ile inayokaa karibu na main switch ndani ya nyumba ni kuzuia shoti ya umeme mkondo geu au altenating current ,sasa kwa nini vitu mfano Tv,redio ndani vinaungua bila circuit breaker kujua/kudetect ?
2.kuna jambo moja huwa nalifahamu kinadharia tu ila practically niliwahi kujaribu lakini niliishia njiani ni hivi "krichoff" alisema katika saketi yeyote nyaya za umeme mbili au zaidi zinapokutana katika pointi moja(node).basi pointi hiyo inakuwa neutral,yaani haina umeme!!
"in any closed circuit/loop/mesh the summation of currents let say i1 +i2+i3=0" and "the summation of potential difference at that particular point v1+v2+v3 also is equal to zero,jambo ambalo kinadharia nalikubali kabisa..Sasa swali langu ni kwamba je unaweza kushika kwa mikono mitupu sehemu kama junction box bila madhara?,binafsi nshawahi kuunganisha live na neutral ktk switch halafu nikataka niguse junction yake lakini nilisita kidogo baada ya kuona cheche kwa mbaali..kwa hiyo bado nina contradiction kati ya nilichokisoma na nilichokiona..kama una ufahamu na mambo haya nifafanulie
 
hongera kwa maelezo mazuri,ila mimi nina maswali 2
1.nijuavyo mimi kazi ya saketi breka,ile inayokaa karibu na main switch ndani ya nyumba ni kuzuia shoti ya umeme mkondo geu au altenating current ,sasa kwa nini vitu mfano Tv,redio ndani vinaungua bila circuit breaker kujua/kudetect ?
2.kuna jambo moja huwa nalifahamu kinadharia tu ila practically niliwahi kujaribu lakini niliishia njiani ni hivi "krichoff" alisema katika saketi yeyote nyaya za umeme mbili au zaidi zinapokutana katika pointi moja(node).basi pointi hiyo inakuwa neutral,yaani haina umeme!!
"in any closed circuit/loop/mesh the summation of currents let say i1 +i2+i3=0" and "the summation of potential difference at that particular point v1+v2+v3 also is equal to zero,jambo ambalo kinadharia nalikubali kabisa..Sasa swali langu ni kwamba je unaweza kushika kwa mikono mitupu sehemu kama junction box bila madhara?,binafsi nshawahi kuunganisha live na neutral ktk switch halafu nikataka niguse junction yake lakini nilisita kidogo baada ya kuona cheche kwa mbaali..kwa hiyo bado nina contradiction kati ya nilichokisoma na nilichokiona..kama una ufahamu na mambo haya nifafanulie

Labda nikusaidei hilo swali la kwanza, Ukijaribu kufungua hiyo wanayoita Socket break uone waya wake utashangaa it is all about 4mm, sasa mpk uje ukatike Redio Tv zimeshakwenda, sasa Tanesco wanakomalia sana Earth Leakage Socket Break na hawakuwekei umeme mpk uiweke baada ya kuona hizo za kwao ni hewa, yenyewe ikihisi tu kuna hitilafu inazima.

Kuhusu swali la pili umenikumbusha mbali sana nikiwa 2nd year, ni kweli kwenye closed circuit yeyote current =0 but kwa practical sijawahi jaribu, wewe ulikuwa na moyo kuunganisha live na neutral bila mzinga!!!
 
Back
Top Bottom