Kwa wasio oa wala kuolewa.

Kwa wasio oa wala kuolewa.

kisilo

Senior Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
121
Reaction score
30
Kunafaida 7 za kuishi bila mpenzi.
Nazo ni;....
(1)Unaweza kulala mda uutakao.

(2)Hujali unavyo onekana/kujishtukia.

(3)Hakuna sms wala call zisizo zalazima usiku wa manane.

(4)Unaweza kuongea na mtu yeyote kwa mda wowote.

(5)Utaishi maisha marefu bila ya kubughudhiwa.

(6)Utaepukana na fitina za watu.

na mwisho (7)Utaepukana na ugomvi usio wa lazima.

ushauli;lakini kama huwezi usizini oa kabisa utafanikiwa.
nawasilisha kwenu wana mkeka.
 
Barua ya Mtakatifu kisilo kwa wana JF.. Mlango wa kwanza mstari 1 - 7.
Na wote tuseme...
 
Last edited by a moderator:
Mmmh hazina application yoyote huwezi ukawa rough eti sababu sina mpenzi.

Kulala mapema sio sababu ya kutokuwa na mpenzi bali ni uamuzi tu unaweza kuwa na mpenzi na bado ukalala mapema.

Fitina zipo hata kam huna mpenzi.

Sijaona la maana kwa sasa

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kwangu faida kubwa za kutoolew ni zifuatazo!!!!!!!

1.Kula vya bure vya wale wabishi hata uwaambie una mtu mara 200 wanaamini wananafasi tuuu, hadi ukivikwa pete ndo wanakubali GAME OVER!!!!!!!
2. Rahisi sana kupata msaada haswaa kazini, kutoka kwa watu wenye hidden agenda!!!!!!!!
3. Life is full of oppoetunities and promises, unaweza hata kuibua mume waziri atiiii!!! (Never say never!!!!!) Ila ukiolewa GAME OVER kama umepata umepata kama umepatikana umepatikana.
4. You control your life, hata ukiamka vibaya unaweza kutikia Dubai au Mascat Kimaisha na hudaiwi na mtu.
 
Kwangu faida kubwa za kutoolew ni zifuatazo!!!!!!!

1.Kula vya bure vya wale wabishi hata uwaambie una mtu mara 200 wanaamini wananafasi tuuu, hadi ukivikwa pete ndo wanakubali GAME OVER!!!!!!!
2. Rahisi sana kupata msaada haswaa kazini, kutoka kwa watu wenye hidden agenda!!!!!!!!
3. Life is full of oppoetunities and promises, unaweza hata kuibua mume waziri atiiii!!! (Never say never!!!!!) Ila ukiolewa GAME OVER kama umepata umepata kama umepatikana umepatikana.
4. You control your life, hata ukiamka vibaya unaweza kutikia Dubai au Mascat Kimaisha na hudaiwi na mtu.

Kila mla cha mwenzake na chake huliwa.upo hapo.
 
Kila mla cha mwenzake na chake huliwa.upo hapo.

SIPO KABISAAAAA!!!!!!!!!!! Aku bibi weeee si wametaka wenyewe!!!!!!! Kwani niliwaombaaaaa? Wajing ndio Waliwao!!!!!!!!!! Na CHAKUOKOTA SI CHA KUIBA, MWENYE MALI NI MJINGA!!!!!!!!!! Si maneno yangu mimi bali WAHENGA wenyewe waliyasema!!!!!!!!
 
Mmmh hazina application yoyote huwezi ukawa rough eti sababu sina mpenzi.

Kulala mapema sio sababu ya kutokuwa na mpenzi bali ni uamuzi tu unaweza kuwa na mpenzi na bado ukalala mapema.

Fitina zipo hata kam huna mpenzi.

Sijaona la maana kwa sasa

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Ukita kulala mala sms au kapiga simu,nimekumiss,umekula nini.ukimkatia simu utasiikia ulikuwa nanani??
 
SIPO KABISAAAAA!!!!!!!!!!! Aku bibi weeee si wametaka wenyewe!!!!!!! Kwani niliwaombaaaaa? Wajing ndio Waliwao!!!!!!!!!! Na CHAKUOKOTA SI CHA KUIBA, MWENYE MALI NI MJINGA!!!!!!!!!! Si maneno yangu mimi bali WAHENGA wenyewe waliyasema!!!!!!!!

Wakikupa nawe ukipokea tu!!!eheeeeeee!!!lazima uwapetu.hakuna cha bure.
 
Wakikupa nawe ukipokea tu!!!eheeeeeee!!!lazima uwapetu.hakuna cha bure.

Vya bure vya kupewa vipo vingi tu!!!!!!!!!!!!!! Kwani tumekubaliana kuna malipo? Kwa mkataba upi? Vya bure vya kuomba ndo hamna!!!!!!! Mi siombi ila nikipewa NALAAAA!!!!!!!! JST A PLAY OF SKILLS!!!!!!!!!!!!!! Vya bure vitamu sanaaaaaa! Kuliko hata unga wa sembe!!!!!!!!!!!
 
Kisilo hujaweka ushihidi wa kiutafiti zaidi ya mawazo yako. Naona kama unajiridhisha kuwa unayafurahia hayo mateso. Nijuavyo mtu pweke ni uvundo hata uvundo huo auite manukato na uturi. Maisha single ni zahama ingawa tunayapigia upatu. I am trying to imagine jibaba la miaka zaidi ya 30 linaishi kisela ua jimama la umri huo likiitwa nunga. Hakuna anayeweza kufaidi hali hii otherwise awe mtoto si riziki.
 
Vya bure vya kupewa vipo vingi tu!!!!!!!!!!!!!! Kwani tumekubaliana kuna malipo? Kwa mkataba upi? Vya bure vya kuomba ndo hamna!!!!!!! Mi siombi ila nikipewa NALAAAA!!!!!!!! JST A PLAY OF SKILLS!!!!!!!!!!!!!! Vya bure vitamu sanaaaaaa! Kuliko hata unga wa sembe!!!!!!!!!!!

Ok njoo uchukue The boss kakupa ofer ya nigtdrees.
 
Ok njoo uchukue The boss kakupa ofer ya nigtdrees.

Atume kwa DHL itanifikaaa tu asiwe na shaka, na nitaa ivaa mwenyew, sitompa beki tatu, mwambie aondoe shaka
 
Kisilo hujaweka ushihidi wa kiutafiti zaidi ya mawazo yako. Naona kama unajiridhisha kuwa unayafurahia hayo mateso. Nijuavyo mtu pweke ni uvundo hata uvundo huo auite manukato na uturi. Maisha single ni zahama ingawa tunayapigia upatu. I am trying to imagine jibaba la miaka zaidi ya 30 linaishi kisela ua jimama la umri huo likiitwa nunga. Hakuna anayeweza kufaidi hali hii otherwise awe mtoto si riziki.

Baba ushauri wako nnn kwavijana? waendeleze kuonjana,au watulie mpaka watakapo oana ndipo wafaye yale ma****zi.saidia vijana maana wewe ni babaetu.
 
1.Ukiwa single raha sana huwezi kufulia..!!

2.Unaweza kumput any1 under ur controll, with No Strings Attached!

3.Waweza kula bata utakavyotaka,ukalala popote.
 
Atume kwa DHL itanifikaaa tu asiwe na shaka, na nitaa ivaa mwenyew, sitompa beki tatu, mwambie aondoe shaka

Atajuaje ikikutosha raha yazawadi mpeane mkono wa asante. au unaonaje?
 
Back
Top Bottom