Kunafaida 7 za kuishi bila mpenzi.
Nazo ni;....
(1)Unaweza kulala mda uutakao.
(2)Hujali unavyo onekana/kujishtukia.
(3)Hakuna sms wala call zisizo zalazima usiku wa manane.
(4)Unaweza kuongea na mtu yeyote kwa mda wowote.
(5)Utaishi maisha marefu bila ya kubughudhiwa.
(6)Utaepukana na fitina za watu.
na mwisho (7)Utaepukana na ugomvi usio wa lazima.
ushauli;lakini kama huwezi usizini oa kabisa utafanikiwa.
nawasilisha kwenu wana mkeka.
Nazo ni;....
(1)Unaweza kulala mda uutakao.
(2)Hujali unavyo onekana/kujishtukia.
(3)Hakuna sms wala call zisizo zalazima usiku wa manane.
(4)Unaweza kuongea na mtu yeyote kwa mda wowote.
(5)Utaishi maisha marefu bila ya kubughudhiwa.
(6)Utaepukana na fitina za watu.
na mwisho (7)Utaepukana na ugomvi usio wa lazima.
ushauli;lakini kama huwezi usizini oa kabisa utafanikiwa.
nawasilisha kwenu wana mkeka.