Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie endeleen kulala tu na kutusimanga wana udsm eti wahuni na tunaotumiwa na wana siasa bt tunajua nini tunakipgania hapa.
mkuu mko sahihi sana..tatizo liko wapi kwa vyuo vingine??
huko kwingne wanafunzi labda wameridhka,zaman Sua nao walikuaga ni wagomaji wazuri tu bt siku hz wao wamenywea mazima.
mkubwa kunji litaendelea ama?
mkubwa kunji litaendelea ama?
Nyie endeleen kulala tu na kutusimanga wana udsm eti wahuni na tunaotumiwa na wana siasa bt tunajua nini tunakipgania hapa.
mkubwa kunji litaendelea ama?
mkubwa kunji litaendelea ama?
kunji ni non stop mkuu,j3 linaendelezwa ka kawaida hadi kieleweke,haiwezekani wadogo zetu washndwe kusoma elimu ya juu eti kisa Jk ameamua!!tunashangaa udom,ardhi na Sua mko kimya jaman,nyie ndo wapambanaji wenzetu ambao mnajua madhara ya kukosa bumu yakoje.
kunji ni non stop mkuu,j3 linaendelezwa ka kawaida hadi kieleweke,haiwezekani wadogo zetu washndwe kusoma elimu ya juu eti kisa Jk ameamua!!tunashangaa udom,ardhi na Sua mko kimya jaman,nyie ndo wapambanaji wenzetu ambao mnajua madhara ya kukosa bumu yakoje.
ifm......chuo cha matozi na masista na wauza sura unafikili wanaweza kuandamana.......