Da_Hustler
Member
- Jun 24, 2025
- 7
- 7
Wapenda katika bwana salam kwa jina la bwana wetu yesu kristo!!
Ukihisi hujakua kihisia, au huwezi kushkilia Mihemko, au re avaluate mapokeo yako Logically tafadhali pita nimelileta kwenu kwasababu binafsi limenishinda!!
Nimekuwa na mwanafunzi wa Bible kwa muda sasa karibu miaka mitano au sita, na nimtu mkubwa sana kwenye ulimwengu wa uslam duniani, sitawatajia yeye ni nan wala sitapost voice notes zake kwa sababu lugha tunayozungumza mm na yeye ina weza isiwe rafiki sana kwa baadhi ya watu,hasa wafuasi wa Elen G white, Kwa Mujibu wa Wake Elen G. White ni muandishi tu na yale ni maoni yake na sio Ufunuo wa Roho (Nabii wa Uongo)
1. Unabii Usiotimia - Alitabiri Yesu atarudi kabla ya 1851(Early Writings, uk. 58), lakini haikutokea. Roho wa Mungu anakosea?
2. Alisema Jerusalemu haitajengwa tena (Early Writings, uk. 75), lakini leo iko hai.
3.Mafundisho Yanayopingana na Biblia
- Damu ya Yesu haitoshi kwa msamaha(Early Writings, uk. 260) ↔ Luka 16:19-31
Yesu alishindwa na mawazo ya Shetani (Spiritual Gifts, Vol. 1, uk. 25) ↔ Yohana 16:33
4.Kudai Ufunuo Mpya Baada ya Biblia
- Alisema Mungu alimpa ujumbe wa mwisho (Testimonies, Vol. 5, uk. 67), ↔
Ufunuo 22:18-19 inakataza kuongeza Neno la Mungu.
Jitahidi sana utakapo leta majibu ya maswali ya leo usilete na mihemko yako, mapokeo, nk jitahidi majibu yako yawe strict Biblical na yawe based on English Bible au Arabic maana ndio lugha anazojua, pia jitahidi sana majibu yako yawe na ushahidi kibiblia na sio vinginevyo,
Sijui wenzangu kama dini ya utajiti ni dhambi bado waumini ila mm nimeasi huko kitambo, so mwarabu kaniishu an open challenge ya maswali matano na a reward ya 10 million Kuwait Dinar roughly hizi ni zaidi ya Billion 70,
Long story shot: Last month alitamani kubatizwa na Alifly kwenda sijui wapi ila waligoma kumbatiza kwa kigezo cha hawamjui na wake zake wanne wandoa alionao, alihoji yafuatayo:
1. Mwanzo mpaka ufunuo ni wapi Mungu aliagiza awena mke mmoja? 2 Samweli 12:8
[8]nami nikakupa nyumba ya bwana wako, na wake za bwana wako kifuani mwako; nikakupa nyumba ya Israeli na ya Yuda; na kama hayo yangalikuwa machache, ningalikuongezea mambo kadha wa kadha.
And I gave thee thy master's house, and thy master's wives into thy bosom, and gave thee the house of Israel and of Judah; and if that had been too little, I would moreover have given unto thee such and such things.
Hadithi ya Ibrahim na sara, na Hagai wote tunaijua, Hadithi ya Israel(Yakobo) sio hadithi ngeni pia maskioni kwa wengi wetu pia?
Anaelewa kuwa maaskofu na mashemasi ndio wanaoagizwa kuwa na mke mmoja1 Timotheo 3:2
[2]Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
A bishop then must be blameless, the husband of one wife, vigilant, sober, of good behaviour, given to hospitality, apt to teach; yeye hawazi kuwa na hataki kuwa, So andiko la yeye kuwa lazima awe na mke mmoja Mungu aliagiza wapi?
2 Mungu anachukia kuachana
Malaki 2:16
[16]Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
For the LORD, the God of Israel, saith that he hateth putting away: for one covereth violence with his garment, saith the LORD of hosts: therefore take heed to your spirit, that ye deal not treacherously.
(Vipi kuhusu wake atrlekeze na watoto na familia zake?)
3.The guy anakunywa Wine na baraza husika walimkondem kuwa mlevi!!
SO Swali lake ni:biblia ina mafungu 208 ya kuhusu wine na hakuna moja la marufuku, Kwa mujibu wa biblia Yesu pia alitengeneza na kunywa Wine Luka 7:34
[34]Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi.
The Son of man is come eating and drinking; and ye say, Behold a gluttonous man, and a winebibber, a friend of publicans and sinners!
Turudi harusini Kana Yohana 2:9
[9]Naye mkuu wa meza alipoyaonja yale maji yaliyopata kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini watumishi walijua, wale walioyateka yale maji), yule mkuu wa meza alimwita bwana arusi,
When the ruler of the feast had tasted the water that was made wine, and knew not whence it was: (but the servants which drew the water knew😉 the governor of the feast called the bridegroom,
Habari ya Paul akimwambia Timotheo 1 Timotheo 5:23
[23]Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Drink no longer water, but use a little wine for thy stomach's sake and thine often infirmities.
(Japo Mswahili mmoja alitudanganya hii inayozungumzwa ni dawa kitu ambacho ni tofauti sana na hoja ya matendo ya mitume:Matendo ya Mitume 2:13
[13]Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.
Others mocking said, These men are full of new wine. (Technically Hulewi dawa) Mwanzo 19, na 27 A blessing Mwanzo 27:28
[28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu,
Na ya manono ya nchi,
Na wingi wa nafaka na mvinyo.
Therefore God give thee of the dew of heaven, and the fatness of the earth, and plenty of corn and wine: zitakuwa support kuwa hoja ya mvinyo ni dawa Sio kweli)
3.Habari ya pete na Jewelries za wake zake
Biblia ina usahidi mwingi wa habari ya watu kuvishana pete Tuanzie kwenye ndoa ya Isaka kwa Rebecca : Mwanzo 24:22
[22]Ikawa, ngamia walipokwisha kunywa, yule mtu akatwaa pete ya dhahabu, uzani wake ulikuwa nusu shekeli, na vikuku viwili kwa mikono yake, uzani wake ulikuwa shekeli kumi za dhahabu,
And it came to pass, as the camels had done drinking, that the man took a golden earring of half a shekel weight, and two bracelets for her hands of ten shekels weight of gold;
Hereni: Kutoka 32:3
[3]Watu wote wakazivunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao, wakamletea Haruni.
And all the people brake off the golden earrings which were in their ears, and brought them unto Aaron.
Ezekieli 16:12
[12]Nikatia hazama puani mwako, na pete masikioni mwako, na taji nzuri juu ya kichwa chako.
And I put a jewel on thy forehead, and earrings in thine ears, and a beautiful crown upon thine head.
The list grows Luka 15 mwana mpotevu we both know the story, na hata mfano wa maonyo thidi ya upendeleo Yakobo 2:2
[2]Maana akiingia katika sinagogi lenu mtu mwenye pete ya dhahabu na mavazi mazuri; kisha akiingia na maskini, mwenye mavazi mabovu;
For if there come unto your assembly a man with a gold ring, in goodly apparel, and there come in also a poor man in vile raiment;
Habari ya mikufu mwanzo 16 na Ezekiel 41 inaweza eleza hichi.
Swali la msingi Andiko la mtu asivike pete mkewe au Mchumba harusini na asivae jewels zake Mungu alikataza kitabu gani?
Lastly ni hoja ya Muziki kuimba na kufurahi kwa Mungu kwa mujibu wa Biblia: 2 Samweli 6:5
[5]Daudi na nyumba yote ya Israeli wakacheza mbele za BWANA kwa nguvu zao zote, kwa nyimbo, na kwa vinubi, na kwa vinanda, na kwa matari, na kwa kayamba, na kwa matoazi.
And David and all the house of Israel played before the LORD on all manner of instruments made of fir wood, even on harps, and on psalteries, and on timbrels, and on cornets, and on cymbals.
1 Mambo ya Nyakati 16:42
[42]na pamoja nao Hemani na Yeduthuni wenye baragumu na matoazi, kwa hao watakaovumisha sauti, na vinanda kwa ajili ya hizo nyimbo za Mungu; na hao wana wa Yeduthuni wawepo mlangoni.
And with them Heman and Jeduthun with trumpets and cymbals for those that should make a sound, and with musical instruments of God. And the sons of Jeduthun were porters.
Hakuishia hapo kumbe kuna na nyimbo za harusi Zaburi 78:63
[63]Moto ukawala vijana wao,
Wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,
The fire consumed their young men; and their maidens were not given to marriage.
Pia alihoji hadithi ya Bi Harusi kutokupambwa lilitoka andiko gani Kwa Mujibu wa Bblia Luka alifananisha Yerusalemu mpya Kama Bi harusi aliepambwa ka ajili ya Mumewe..
Wapendwa Take your Time lete majibu yenye msingi na toka kwenye Biblia mtu huyu anaijua biblia nje ndani jitahidi majibu yawe yamenyooka na yalingane na Mungu wa upendo anaehubiriwa na yesu kwenye Agano la Biblia sio yule wenu na mafarisayo wa Sheria,
Sabato njema
Ukihisi hujakua kihisia, au huwezi kushkilia Mihemko, au re avaluate mapokeo yako Logically tafadhali pita nimelileta kwenu kwasababu binafsi limenishinda!!
Nimekuwa na mwanafunzi wa Bible kwa muda sasa karibu miaka mitano au sita, na nimtu mkubwa sana kwenye ulimwengu wa uslam duniani, sitawatajia yeye ni nan wala sitapost voice notes zake kwa sababu lugha tunayozungumza mm na yeye ina weza isiwe rafiki sana kwa baadhi ya watu,hasa wafuasi wa Elen G white, Kwa Mujibu wa Wake Elen G. White ni muandishi tu na yale ni maoni yake na sio Ufunuo wa Roho (Nabii wa Uongo)
1. Unabii Usiotimia - Alitabiri Yesu atarudi kabla ya 1851(Early Writings, uk. 58), lakini haikutokea. Roho wa Mungu anakosea?
2. Alisema Jerusalemu haitajengwa tena (Early Writings, uk. 75), lakini leo iko hai.
3.Mafundisho Yanayopingana na Biblia
- Damu ya Yesu haitoshi kwa msamaha(Early Writings, uk. 260) ↔ Luka 16:19-31
Yesu alishindwa na mawazo ya Shetani (Spiritual Gifts, Vol. 1, uk. 25) ↔ Yohana 16:33
4.Kudai Ufunuo Mpya Baada ya Biblia
- Alisema Mungu alimpa ujumbe wa mwisho (Testimonies, Vol. 5, uk. 67), ↔
Ufunuo 22:18-19 inakataza kuongeza Neno la Mungu.
Jitahidi sana utakapo leta majibu ya maswali ya leo usilete na mihemko yako, mapokeo, nk jitahidi majibu yako yawe strict Biblical na yawe based on English Bible au Arabic maana ndio lugha anazojua, pia jitahidi sana majibu yako yawe na ushahidi kibiblia na sio vinginevyo,
Sijui wenzangu kama dini ya utajiti ni dhambi bado waumini ila mm nimeasi huko kitambo, so mwarabu kaniishu an open challenge ya maswali matano na a reward ya 10 million Kuwait Dinar roughly hizi ni zaidi ya Billion 70,
Long story shot: Last month alitamani kubatizwa na Alifly kwenda sijui wapi ila waligoma kumbatiza kwa kigezo cha hawamjui na wake zake wanne wandoa alionao, alihoji yafuatayo:
1. Mwanzo mpaka ufunuo ni wapi Mungu aliagiza awena mke mmoja? 2 Samweli 12:8
[8]nami nikakupa nyumba ya bwana wako, na wake za bwana wako kifuani mwako; nikakupa nyumba ya Israeli na ya Yuda; na kama hayo yangalikuwa machache, ningalikuongezea mambo kadha wa kadha.
And I gave thee thy master's house, and thy master's wives into thy bosom, and gave thee the house of Israel and of Judah; and if that had been too little, I would moreover have given unto thee such and such things.
Hadithi ya Ibrahim na sara, na Hagai wote tunaijua, Hadithi ya Israel(Yakobo) sio hadithi ngeni pia maskioni kwa wengi wetu pia?
Anaelewa kuwa maaskofu na mashemasi ndio wanaoagizwa kuwa na mke mmoja1 Timotheo 3:2
[2]Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
A bishop then must be blameless, the husband of one wife, vigilant, sober, of good behaviour, given to hospitality, apt to teach; yeye hawazi kuwa na hataki kuwa, So andiko la yeye kuwa lazima awe na mke mmoja Mungu aliagiza wapi?
2 Mungu anachukia kuachana
Malaki 2:16
[16]Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
For the LORD, the God of Israel, saith that he hateth putting away: for one covereth violence with his garment, saith the LORD of hosts: therefore take heed to your spirit, that ye deal not treacherously.
(Vipi kuhusu wake atrlekeze na watoto na familia zake?)
3.The guy anakunywa Wine na baraza husika walimkondem kuwa mlevi!!
SO Swali lake ni:biblia ina mafungu 208 ya kuhusu wine na hakuna moja la marufuku, Kwa mujibu wa biblia Yesu pia alitengeneza na kunywa Wine Luka 7:34
[34]Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi.
The Son of man is come eating and drinking; and ye say, Behold a gluttonous man, and a winebibber, a friend of publicans and sinners!
Turudi harusini Kana Yohana 2:9
[9]Naye mkuu wa meza alipoyaonja yale maji yaliyopata kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini watumishi walijua, wale walioyateka yale maji), yule mkuu wa meza alimwita bwana arusi,
When the ruler of the feast had tasted the water that was made wine, and knew not whence it was: (but the servants which drew the water knew😉 the governor of the feast called the bridegroom,
Habari ya Paul akimwambia Timotheo 1 Timotheo 5:23
[23]Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Drink no longer water, but use a little wine for thy stomach's sake and thine often infirmities.
(Japo Mswahili mmoja alitudanganya hii inayozungumzwa ni dawa kitu ambacho ni tofauti sana na hoja ya matendo ya mitume:Matendo ya Mitume 2:13
[13]Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.
Others mocking said, These men are full of new wine. (Technically Hulewi dawa) Mwanzo 19, na 27 A blessing Mwanzo 27:28
[28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu,
Na ya manono ya nchi,
Na wingi wa nafaka na mvinyo.
Therefore God give thee of the dew of heaven, and the fatness of the earth, and plenty of corn and wine: zitakuwa support kuwa hoja ya mvinyo ni dawa Sio kweli)
3.Habari ya pete na Jewelries za wake zake
Biblia ina usahidi mwingi wa habari ya watu kuvishana pete Tuanzie kwenye ndoa ya Isaka kwa Rebecca : Mwanzo 24:22
[22]Ikawa, ngamia walipokwisha kunywa, yule mtu akatwaa pete ya dhahabu, uzani wake ulikuwa nusu shekeli, na vikuku viwili kwa mikono yake, uzani wake ulikuwa shekeli kumi za dhahabu,
And it came to pass, as the camels had done drinking, that the man took a golden earring of half a shekel weight, and two bracelets for her hands of ten shekels weight of gold;
Hereni: Kutoka 32:3
[3]Watu wote wakazivunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao, wakamletea Haruni.
And all the people brake off the golden earrings which were in their ears, and brought them unto Aaron.
Ezekieli 16:12
[12]Nikatia hazama puani mwako, na pete masikioni mwako, na taji nzuri juu ya kichwa chako.
And I put a jewel on thy forehead, and earrings in thine ears, and a beautiful crown upon thine head.
The list grows Luka 15 mwana mpotevu we both know the story, na hata mfano wa maonyo thidi ya upendeleo Yakobo 2:2
[2]Maana akiingia katika sinagogi lenu mtu mwenye pete ya dhahabu na mavazi mazuri; kisha akiingia na maskini, mwenye mavazi mabovu;
For if there come unto your assembly a man with a gold ring, in goodly apparel, and there come in also a poor man in vile raiment;
Habari ya mikufu mwanzo 16 na Ezekiel 41 inaweza eleza hichi.
Swali la msingi Andiko la mtu asivike pete mkewe au Mchumba harusini na asivae jewels zake Mungu alikataza kitabu gani?
Lastly ni hoja ya Muziki kuimba na kufurahi kwa Mungu kwa mujibu wa Biblia: 2 Samweli 6:5
[5]Daudi na nyumba yote ya Israeli wakacheza mbele za BWANA kwa nguvu zao zote, kwa nyimbo, na kwa vinubi, na kwa vinanda, na kwa matari, na kwa kayamba, na kwa matoazi.
And David and all the house of Israel played before the LORD on all manner of instruments made of fir wood, even on harps, and on psalteries, and on timbrels, and on cornets, and on cymbals.
1 Mambo ya Nyakati 16:42
[42]na pamoja nao Hemani na Yeduthuni wenye baragumu na matoazi, kwa hao watakaovumisha sauti, na vinanda kwa ajili ya hizo nyimbo za Mungu; na hao wana wa Yeduthuni wawepo mlangoni.
And with them Heman and Jeduthun with trumpets and cymbals for those that should make a sound, and with musical instruments of God. And the sons of Jeduthun were porters.
Hakuishia hapo kumbe kuna na nyimbo za harusi Zaburi 78:63
[63]Moto ukawala vijana wao,
Wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,
The fire consumed their young men; and their maidens were not given to marriage.
Pia alihoji hadithi ya Bi Harusi kutokupambwa lilitoka andiko gani Kwa Mujibu wa Bblia Luka alifananisha Yerusalemu mpya Kama Bi harusi aliepambwa ka ajili ya Mumewe..
Wapendwa Take your Time lete majibu yenye msingi na toka kwenye Biblia mtu huyu anaijua biblia nje ndani jitahidi majibu yawe yamenyooka na yalingane na Mungu wa upendo anaehubiriwa na yesu kwenye Agano la Biblia sio yule wenu na mafarisayo wa Sheria,
Sabato njema