Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

Da_Hustler

Member
Joined
Jun 24, 2025
Posts
7
Reaction score
7
Wapenda katika bwana salam kwa jina la bwana wetu yesu kristo!!

Ukihisi hujakua kihisia, au huwezi kushkilia Mihemko, au re avaluate mapokeo yako Logically tafadhali pita nimelileta kwenu kwasababu binafsi limenishinda!!

Nimekuwa na mwanafunzi wa Bible kwa muda sasa karibu miaka mitano au sita, na nimtu mkubwa sana kwenye ulimwengu wa uslam duniani, sitawatajia yeye ni nan wala sitapost voice notes zake kwa sababu lugha tunayozungumza mm na yeye ina weza isiwe rafiki sana kwa baadhi ya watu,hasa wafuasi wa Elen G white, Kwa Mujibu wa Wake Elen G. White ni muandishi tu na yale ni maoni yake na sio Ufunuo wa Roho (Nabii wa Uongo)
1. Unabii Usiotimia - Alitabiri Yesu atarudi kabla ya 1851(Early Writings, uk. 58), lakini haikutokea. Roho wa Mungu anakosea?
2. Alisema Jerusalemu haitajengwa tena (Early Writings, uk. 75), lakini leo iko hai.

3.Mafundisho Yanayopingana na Biblia
- Damu ya Yesu haitoshi kwa msamaha(Early Writings, uk. 260) ↔ Luka 16:19-31
Yesu alishindwa na mawazo ya Shetani (Spiritual Gifts, Vol. 1, uk. 25) ↔ Yohana 16:33

4.Kudai Ufunuo Mpya Baada ya Biblia
- Alisema Mungu alimpa ujumbe wa mwisho (Testimonies, Vol. 5, uk. 67), ↔
Ufunuo 22:18-19 inakataza kuongeza Neno la Mungu.

Jitahidi sana utakapo leta majibu ya maswali ya leo usilete na mihemko yako, mapokeo, nk jitahidi majibu yako yawe strict Biblical na yawe based on English Bible au Arabic maana ndio lugha anazojua, pia jitahidi sana majibu yako yawe na ushahidi kibiblia na sio vinginevyo,

Sijui wenzangu kama dini ya utajiti ni dhambi bado waumini ila mm nimeasi huko kitambo, so mwarabu kaniishu an open challenge ya maswali matano na a reward ya 10 million Kuwait Dinar roughly hizi ni zaidi ya Billion 70,

Long story shot: Last month alitamani kubatizwa na Alifly kwenda sijui wapi ila waligoma kumbatiza kwa kigezo cha hawamjui na wake zake wanne wandoa alionao, alihoji yafuatayo:
1. Mwanzo mpaka ufunuo ni wapi Mungu aliagiza awena mke mmoja? 2 Samweli 12:8
[8]nami nikakupa nyumba ya bwana wako, na wake za bwana wako kifuani mwako; nikakupa nyumba ya Israeli na ya Yuda; na kama hayo yangalikuwa machache, ningalikuongezea mambo kadha wa kadha.
And I gave thee thy master's house, and thy master's wives into thy bosom, and gave thee the house of Israel and of Judah; and if that had been too little, I would moreover have given unto thee such and such things.
Hadithi ya Ibrahim na sara, na Hagai wote tunaijua, Hadithi ya Israel(Yakobo) sio hadithi ngeni pia maskioni kwa wengi wetu pia?
Anaelewa kuwa maaskofu na mashemasi ndio wanaoagizwa kuwa na mke mmoja1 Timotheo 3:2
[2]Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
A bishop then must be blameless, the husband of one wife, vigilant, sober, of good behaviour, given to hospitality, apt to teach; yeye hawazi kuwa na hataki kuwa, So andiko la yeye kuwa lazima awe na mke mmoja Mungu aliagiza wapi?
2 Mungu anachukia kuachana
Malaki 2:16
[16]Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
For the LORD, the God of Israel, saith that he hateth putting away: for one covereth violence with his garment, saith the LORD of hosts: therefore take heed to your spirit, that ye deal not treacherously.
(Vipi kuhusu wake atrlekeze na watoto na familia zake?)
3.The guy anakunywa Wine na baraza husika walimkondem kuwa mlevi!!
SO Swali lake ni:biblia ina mafungu 208 ya kuhusu wine na hakuna moja la marufuku, Kwa mujibu wa biblia Yesu pia alitengeneza na kunywa Wine Luka 7:34
[34]Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi.
The Son of man is come eating and drinking; and ye say, Behold a gluttonous man, and a winebibber, a friend of publicans and sinners!
Turudi harusini Kana Yohana 2:9
[9]Naye mkuu wa meza alipoyaonja yale maji yaliyopata kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini watumishi walijua, wale walioyateka yale maji), yule mkuu wa meza alimwita bwana arusi,
When the ruler of the feast had tasted the water that was made wine, and knew not whence it was: (but the servants which drew the water knew😉 the governor of the feast called the bridegroom,
Habari ya Paul akimwambia Timotheo 1 Timotheo 5:23
[23]Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Drink no longer water, but use a little wine for thy stomach's sake and thine often infirmities.
(Japo Mswahili mmoja alitudanganya hii inayozungumzwa ni dawa kitu ambacho ni tofauti sana na hoja ya matendo ya mitume:Matendo ya Mitume 2:13
[13]Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.
Others mocking said, These men are full of new wine. (Technically Hulewi dawa) Mwanzo 19, na 27 A blessing Mwanzo 27:28
[28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu,
Na ya manono ya nchi,
Na wingi wa nafaka na mvinyo.
Therefore God give thee of the dew of heaven, and the fatness of the earth, and plenty of corn and wine: zitakuwa support kuwa hoja ya mvinyo ni dawa Sio kweli)

3.Habari ya pete na Jewelries za wake zake
Biblia ina usahidi mwingi wa habari ya watu kuvishana pete Tuanzie kwenye ndoa ya Isaka kwa Rebecca : Mwanzo 24:22
[22]Ikawa, ngamia walipokwisha kunywa, yule mtu akatwaa pete ya dhahabu, uzani wake ulikuwa nusu shekeli, na vikuku viwili kwa mikono yake, uzani wake ulikuwa shekeli kumi za dhahabu,
And it came to pass, as the camels had done drinking, that the man took a golden earring of half a shekel weight, and two bracelets for her hands of ten shekels weight of gold;
Hereni: Kutoka 32:3
[3]Watu wote wakazivunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao, wakamletea Haruni.
And all the people brake off the golden earrings which were in their ears, and brought them unto Aaron.
Ezekieli 16:12
[12]Nikatia hazama puani mwako, na pete masikioni mwako, na taji nzuri juu ya kichwa chako.
And I put a jewel on thy forehead, and earrings in thine ears, and a beautiful crown upon thine head.
The list grows Luka 15 mwana mpotevu we both know the story, na hata mfano wa maonyo thidi ya upendeleo Yakobo 2:2
[2]Maana akiingia katika sinagogi lenu mtu mwenye pete ya dhahabu na mavazi mazuri; kisha akiingia na maskini, mwenye mavazi mabovu;
For if there come unto your assembly a man with a gold ring, in goodly apparel, and there come in also a poor man in vile raiment;
Habari ya mikufu mwanzo 16 na Ezekiel 41 inaweza eleza hichi.
Swali la msingi Andiko la mtu asivike pete mkewe au Mchumba harusini na asivae jewels zake Mungu alikataza kitabu gani?

Lastly ni hoja ya Muziki kuimba na kufurahi kwa Mungu kwa mujibu wa Biblia: 2 Samweli 6:5
[5]Daudi na nyumba yote ya Israeli wakacheza mbele za BWANA kwa nguvu zao zote, kwa nyimbo, na kwa vinubi, na kwa vinanda, na kwa matari, na kwa kayamba, na kwa matoazi.
And David and all the house of Israel played before the LORD on all manner of instruments made of fir wood, even on harps, and on psalteries, and on timbrels, and on cornets, and on cymbals.
1 Mambo ya Nyakati 16:42
[42]na pamoja nao Hemani na Yeduthuni wenye baragumu na matoazi, kwa hao watakaovumisha sauti, na vinanda kwa ajili ya hizo nyimbo za Mungu; na hao wana wa Yeduthuni wawepo mlangoni.
And with them Heman and Jeduthun with trumpets and cymbals for those that should make a sound, and with musical instruments of God. And the sons of Jeduthun were porters.
Hakuishia hapo kumbe kuna na nyimbo za harusi Zaburi 78:63
[63]Moto ukawala vijana wao,
Wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,
The fire consumed their young men; and their maidens were not given to marriage.
Pia alihoji hadithi ya Bi Harusi kutokupambwa lilitoka andiko gani Kwa Mujibu wa Bblia Luka alifananisha Yerusalemu mpya Kama Bi harusi aliepambwa ka ajili ya Mumewe..

Wapendwa Take your Time lete majibu yenye msingi na toka kwenye Biblia mtu huyu anaijua biblia nje ndani jitahidi majibu yawe yamenyooka na yalingane na Mungu wa upendo anaehubiriwa na yesu kwenye Agano la Biblia sio yule wenu na mafarisayo wa Sheria,
Sabato njema
 
Wapenda katika bwana salam kwa jina la bwana wetu yesu kristo!!

Ukihisi hujakua kihisia, au huwezi kushkilia Mihemko, au re avaluate mapokeo yako Logically tafadhali pita nimelileta kwenu kwasababu binafsi limenishinda!!

Nimekuwa na mwanafunzi wa Bible kwa muda sasa karibu miaka mitano au sita, na nimtu mkubwa sana kwenye ulimwengu wa uslam duniani, sitawatajia yeye ni nan wala sitapost voice notes zake kwa sababu lugha tunayozungumza mm na yeye ina weza isiwe rafiki sana kwa baadhi ya watu,hasa wafuasi wa Elen G white, Kwa Mujibu wa Wake Elen G. White ni muandishi tu na yale ni maoni yake na sio Ufunuo wa Roho (Nabii wa Uongo)
1. Unabii Usiotimia - Alitabiri Yesu atarudi kabla ya 1851(Early Writings, uk. 58), lakini haikutokea. Roho wa Mungu anakosea?
2. Alisema Jerusalemu haitajengwa tena (Early Writings, uk. 75), lakini leo iko hai.

3.Mafundisho Yanayopingana na Biblia
- Damu ya Yesu haitoshi kwa msamaha(Early Writings, uk. 260) ↔ Luka 16:19-31
Yesu alishindwa na mawazo ya Shetani (Spiritual Gifts, Vol. 1, uk. 25) ↔ Yohana 16:33

4.Kudai Ufunuo Mpya Baada ya Biblia
- Alisema Mungu alimpa ujumbe wa mwisho (Testimonies, Vol. 5, uk. 67), ↔
Ufunuo 22:18-19 inakataza kuongeza Neno la Mungu.

Jitahidi sana utakapo leta majibu ya maswali ya leo usilete na mihemko yako, mapokeo, nk jitahidi majibu yako yawe strict Biblical na yawe based on English Bible au Arabic maana ndio lugha anazojua, pia jitahidi sana majibu yako yawe na ushahidi kibiblia na sio vinginevyo,

Sijui wenzangu kama dini ya utajiti ni dhambi bado waumini ila mm nimeasi huko kitambo, so mwarabu kaniishu an open challenge ya maswali matano na a reward ya 10 million Kuwait Dinar roughly hizi ni zaidi ya Billion 70,

Long story shot: Last month alitamani kubatizwa na Alifly kwenda sijui wapi ila waligoma kumbatiza kwa kigezo cha hawamjui na wake zake wanne wandoa alionao, alihoji yafuatayo:
1. Mwanzo mpaka ufunuo ni wapi Mungu aliagiza awena mke mmoja? 2 Samweli 12:8
[8]nami nikakupa nyumba ya bwana wako, na wake za bwana wako kifuani mwako; nikakupa nyumba ya Israeli na ya Yuda; na kama hayo yangalikuwa machache, ningalikuongezea mambo kadha wa kadha.
And I gave thee thy master's house, and thy master's wives into thy bosom, and gave thee the house of Israel and of Judah; and if that had been too little, I would moreover have given unto thee such and such things.
Hadithi ya Ibrahim na sara, na Hagai wote tunaijua, Hadithi ya Israel(Yakobo) sio hadithi ngeni pia maskioni kwa wengi wetu pia?
Anaelewa kuwa maaskofu na mashemasi ndio wanaoagizwa kuwa na mke mmoja1 Timotheo 3:2
[2]Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
A bishop then must be blameless, the husband of one wife, vigilant, sober, of good behaviour, given to hospitality, apt to teach; yeye hawazi kuwa na hataki kuwa, So andiko la yeye kuwa lazima awe na mke mmoja Mungu aliagiza wapi?
2 Mungu anachukia kuachana
Malaki 2:16
[16]Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
For the LORD, the God of Israel, saith that he hateth putting away: for one covereth violence with his garment, saith the LORD of hosts: therefore take heed to your spirit, that ye deal not treacherously.
(Vipi kuhusu wake atrlekeze na watoto na familia zake?)
3.The guy anakunywa Wine na baraza husika walimkondem kuwa mlevi!!
SO Swali lake ni:biblia ina mafungu 208 ya kuhusu wine na hakuna moja la marufuku, Kwa mujibu wa biblia Yesu pia alitengeneza na kunywa Wine Luka 7:34
[34]Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi.
The Son of man is come eating and drinking; and ye say, Behold a gluttonous man, and a winebibber, a friend of publicans and sinners!
Turudi harusini Kana Yohana 2:9
[9]Naye mkuu wa meza alipoyaonja yale maji yaliyopata kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini watumishi walijua, wale walioyateka yale maji), yule mkuu wa meza alimwita bwana arusi,
When the ruler of the feast had tasted the water that was made wine, and knew not whence it was: (but the servants which drew the water knew😉 the governor of the feast called the bridegroom,
Habari ya Paul akimwambia Timotheo 1 Timotheo 5:23
[23]Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Drink no longer water, but use a little wine for thy stomach's sake and thine often infirmities.
(Japo Mswahili mmoja alitudanganya hii inayozungumzwa ni dawa kitu ambacho ni tofauti sana na hoja ya matendo ya mitume:Matendo ya Mitume 2:13
[13]Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.
Others mocking said, These men are full of new wine. (Technically Hulewi dawa) Mwanzo 19, na 27 A blessing Mwanzo 27:28
[28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu,
Na ya manono ya nchi,
Na wingi wa nafaka na mvinyo.
Therefore God give thee of the dew of heaven, and the fatness of the earth, and plenty of corn and wine: zitakuwa support kuwa hoja ya mvinyo ni dawa Sio kweli)

3.Habari ya pete na Jewelries za wake zake
Biblia ina usahidi mwingi wa habari ya watu kuvishana pete Tuanzie kwenye ndoa ya Isaka kwa Rebecca : Mwanzo 24:22
[22]Ikawa, ngamia walipokwisha kunywa, yule mtu akatwaa pete ya dhahabu, uzani wake ulikuwa nusu shekeli, na vikuku viwili kwa mikono yake, uzani wake ulikuwa shekeli kumi za dhahabu,
And it came to pass, as the camels had done drinking, that the man took a golden earring of half a shekel weight, and two bracelets for her hands of ten shekels weight of gold;
Hereni: Kutoka 32:3
[3]Watu wote wakazivunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao, wakamletea Haruni.
And all the people brake off the golden earrings which were in their ears, and brought them unto Aaron.
Ezekieli 16:12
[12]Nikatia hazama puani mwako, na pete masikioni mwako, na taji nzuri juu ya kichwa chako.
And I put a jewel on thy forehead, and earrings in thine ears, and a beautiful crown upon thine head.
The list grows Luka 15 mwana mpotevu we both know the story, na hata mfano wa maonyo thidi ya upendeleo Yakobo 2:2
[2]Maana akiingia katika sinagogi lenu mtu mwenye pete ya dhahabu na mavazi mazuri; kisha akiingia na maskini, mwenye mavazi mabovu;
For if there come unto your assembly a man with a gold ring, in goodly apparel, and there come in also a poor man in vile raiment;
Habari ya mikufu mwanzo 16 na Ezekiel 41 inaweza eleza hichi.
Swali la msingi Andiko la mtu asivike pete mkewe au Mchumba harusini na asivae jewels zake Mungu alikataza kitabu gani?

Lastly ni hoja ya Muziki kuimba na kufurahi kwa Mungu kwa mujibu wa Biblia: 2 Samweli 6:5
[5]Daudi na nyumba yote ya Israeli wakacheza mbele za BWANA kwa nguvu zao zote, kwa nyimbo, na kwa vinubi, na kwa vinanda, na kwa matari, na kwa kayamba, na kwa matoazi.
And David and all the house of Israel played before the LORD on all manner of instruments made of fir wood, even on harps, and on psalteries, and on timbrels, and on cornets, and on cymbals.
1 Mambo ya Nyakati 16:42
[42]na pamoja nao Hemani na Yeduthuni wenye baragumu na matoazi, kwa hao watakaovumisha sauti, na vinanda kwa ajili ya hizo nyimbo za Mungu; na hao wana wa Yeduthuni wawepo mlangoni.
And with them Heman and Jeduthun with trumpets and cymbals for those that should make a sound, and with musical instruments of God. And the sons of Jeduthun were porters.
Hakuishia hapo kumbe kuna na nyimbo za harusi Zaburi 78:63
[63]Moto ukawala vijana wao,
Wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,
The fire consumed their young men; and their maidens were not given to marriage.
Pia alihoji hadithi ya Bi Harusi kutokupambwa lilitoka andiko gani Kwa Mujibu wa Bblia Luka alifananisha Yerusalemu mpya Kama Bi harusi aliepambwa ka ajili ya Mumewe..

Wapendwa Take your Time lete majibu yenye msingi na toka kwenye Biblia mtu huyu anaijua biblia nje ndani jitahidi majibu yawe yamenyooka na yalingane na Mungu wa upendo anaehubiriwa na yesu kwenye Agano la Biblia sio yule wenu na mafarisayo wa Sheria,
Sabato njema
Fupisha kidogo mkuu.
Hata kama una hasira nao.
Reeeefu andiko lako.
 
Mungu yuko Afrika
Kwa jina jipya, Olumba Olumba Obu.
Kwa nini usije ujionee mwenyewe?
Acha, acha kuwasikiliza watu, njoo ujionee mwenyewe, njoo Cross River, Calabar, Mtaa wa 34 Ambo, na uone kama yale wanayokuambia kuhusu Olumba Olumba Obu na Kristo wake ni kweli. Njoo kwenye makao makuu yetu katika Mtaa wa 34 Ambo, na umwone Mungu uso kwa uso. Ubarikiwe.
 

Attachments

  • FB_IMG_1756408442551.jpg
    FB_IMG_1756408442551.jpg
    29.7 KB · Views: 33
Wapenda katika bwana salam kwa jina la bwana wetu yesu kristo!!

Ukihisi hujakua kihisia, au huwezi kushkilia Mihemko, au re avaluate mapokeo yako Logically tafadhali pita nimelileta kwenu kwasababu binafsi limenishinda!!

Nimekuwa na mwanafunzi wa Bible kwa muda sasa karibu miaka mitano au sita, na nimtu mkubwa sana kwenye ulimwengu wa uslam duniani, sitawatajia yeye ni nan wala sitapost voice notes zake kwa sababu lugha tunayozungumza mm na yeye ina weza isiwe rafiki sana kwa baadhi ya watu,hasa wafuasi wa Elen G white, Kwa Mujibu wa Wake Elen G. White ni muandishi tu na yale ni maoni yake na sio Ufunuo wa Roho (Nabii wa Uongo)
1. Unabii Usiotimia - Alitabiri Yesu atarudi kabla ya 1851(Early Writings, uk. 58), lakini haikutokea. Roho wa Mungu anakosea?
2. Alisema Jerusalemu haitajengwa tena (Early Writings, uk. 75), lakini leo iko hai.

3.Mafundisho Yanayopingana na Biblia
- Damu ya Yesu haitoshi kwa msamaha(Early Writings, uk. 260) ↔ Luka 16:19-31
Yesu alishindwa na mawazo ya Shetani (Spiritual Gifts, Vol. 1, uk. 25) ↔ Yohana 16:33

4.Kudai Ufunuo Mpya Baada ya Biblia
- Alisema Mungu alimpa ujumbe wa mwisho (Testimonies, Vol. 5, uk. 67), ↔
Ufunuo 22:18-19 inakataza kuongeza Neno la Mungu.

Jitahidi sana utakapo leta majibu ya maswali ya leo usilete na mihemko yako, mapokeo, nk jitahidi majibu yako yawe strict Biblical na yawe based on English Bible au Arabic maana ndio lugha anazojua, pia jitahidi sana majibu yako yawe na ushahidi kibiblia na sio vinginevyo,

Sijui wenzangu kama dini ya utajiti ni dhambi bado waumini ila mm nimeasi huko kitambo, so mwarabu kaniishu an open challenge ya maswali matano na a reward ya 10 million Kuwait Dinar roughly hizi ni zaidi ya Billion 70,

Long story shot: Last month alitamani kubatizwa na Alifly kwenda sijui wapi ila waligoma kumbatiza kwa kigezo cha hawamjui na wake zake wanne wandoa alionao, alihoji yafuatayo:
1. Mwanzo mpaka ufunuo ni wapi Mungu aliagiza awena mke mmoja? 2 Samweli 12:8
[8]nami nikakupa nyumba ya bwana wako, na wake za bwana wako kifuani mwako; nikakupa nyumba ya Israeli na ya Yuda; na kama hayo yangalikuwa machache, ningalikuongezea mambo kadha wa kadha.
And I gave thee thy master's house, and thy master's wives into thy bosom, and gave thee the house of Israel and of Judah; and if that had been too little, I would moreover have given unto thee such and such things.
Hadithi ya Ibrahim na sara, na Hagai wote tunaijua, Hadithi ya Israel(Yakobo) sio hadithi ngeni pia maskioni kwa wengi wetu pia?
Anaelewa kuwa maaskofu na mashemasi ndio wanaoagizwa kuwa na mke mmoja1 Timotheo 3:2
[2]Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
A bishop then must be blameless, the husband of one wife, vigilant, sober, of good behaviour, given to hospitality, apt to teach; yeye hawazi kuwa na hataki kuwa, So andiko la yeye kuwa lazima awe na mke mmoja Mungu aliagiza wapi?
2 Mungu anachukia kuachana
Malaki 2:16
[16]Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
For the LORD, the God of Israel, saith that he hateth putting away: for one covereth violence with his garment, saith the LORD of hosts: therefore take heed to your spirit, that ye deal not treacherously.
(Vipi kuhusu wake atrlekeze na watoto na familia zake?)
3.The guy anakunywa Wine na baraza husika walimkondem kuwa mlevi!!
SO Swali lake ni:biblia ina mafungu 208 ya kuhusu wine na hakuna moja la marufuku, Kwa mujibu wa biblia Yesu pia alitengeneza na kunywa Wine Luka 7:34
[34]Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi.
The Son of man is come eating and drinking; and ye say, Behold a gluttonous man, and a winebibber, a friend of publicans and sinners!
Turudi harusini Kana Yohana 2:9
[9]Naye mkuu wa meza alipoyaonja yale maji yaliyopata kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini watumishi walijua, wale walioyateka yale maji), yule mkuu wa meza alimwita bwana arusi,
When the ruler of the feast had tasted the water that was made wine, and knew not whence it was: (but the servants which drew the water knew😉 the governor of the feast called the bridegroom,
Habari ya Paul akimwambia Timotheo 1 Timotheo 5:23
[23]Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Drink no longer water, but use a little wine for thy stomach's sake and thine often infirmities.
(Japo Mswahili mmoja alitudanganya hii inayozungumzwa ni dawa kitu ambacho ni tofauti sana na hoja ya matendo ya mitume:Matendo ya Mitume 2:13
[13]Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.
Others mocking said, These men are full of new wine. (Technically Hulewi dawa) Mwanzo 19, na 27 A blessing Mwanzo 27:28
[28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu,
Na ya manono ya nchi,
Na wingi wa nafaka na mvinyo.
Therefore God give thee of the dew of heaven, and the fatness of the earth, and plenty of corn and wine: zitakuwa support kuwa hoja ya mvinyo ni dawa Sio kweli)

3.Habari ya pete na Jewelries za wake zake
Biblia ina usahidi mwingi wa habari ya watu kuvishana pete Tuanzie kwenye ndoa ya Isaka kwa Rebecca : Mwanzo 24:22
[22]Ikawa, ngamia walipokwisha kunywa, yule mtu akatwaa pete ya dhahabu, uzani wake ulikuwa nusu shekeli, na vikuku viwili kwa mikono yake, uzani wake ulikuwa shekeli kumi za dhahabu,
And it came to pass, as the camels had done drinking, that the man took a golden earring of half a shekel weight, and two bracelets for her hands of ten shekels weight of gold;
Hereni: Kutoka 32:3
[3]Watu wote wakazivunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao, wakamletea Haruni.
And all the people brake off the golden earrings which were in their ears, and brought them unto Aaron.
Ezekieli 16:12
[12]Nikatia hazama puani mwako, na pete masikioni mwako, na taji nzuri juu ya kichwa chako.
And I put a jewel on thy forehead, and earrings in thine ears, and a beautiful crown upon thine head.
The list grows Luka 15 mwana mpotevu we both know the story, na hata mfano wa maonyo thidi ya upendeleo Yakobo 2:2
[2]Maana akiingia katika sinagogi lenu mtu mwenye pete ya dhahabu na mavazi mazuri; kisha akiingia na maskini, mwenye mavazi mabovu;
For if there come unto your assembly a man with a gold ring, in goodly apparel, and there come in also a poor man in vile raiment;
Habari ya mikufu mwanzo 16 na Ezekiel 41 inaweza eleza hichi.
Swali la msingi Andiko la mtu asivike pete mkewe au Mchumba harusini na asivae jewels zake Mungu alikataza kitabu gani?

Lastly ni hoja ya Muziki kuimba na kufurahi kwa Mungu kwa mujibu wa Biblia: 2 Samweli 6:5
[5]Daudi na nyumba yote ya Israeli wakacheza mbele za BWANA kwa nguvu zao zote, kwa nyimbo, na kwa vinubi, na kwa vinanda, na kwa matari, na kwa kayamba, na kwa matoazi.
And David and all the house of Israel played before the LORD on all manner of instruments made of fir wood, even on harps, and on psalteries, and on timbrels, and on cornets, and on cymbals.
1 Mambo ya Nyakati 16:42
[42]na pamoja nao Hemani na Yeduthuni wenye baragumu na matoazi, kwa hao watakaovumisha sauti, na vinanda kwa ajili ya hizo nyimbo za Mungu; na hao wana wa Yeduthuni wawepo mlangoni.
And with them Heman and Jeduthun with trumpets and cymbals for those that should make a sound, and with musical instruments of God. And the sons of Jeduthun were porters.
Hakuishia hapo kumbe kuna na nyimbo za harusi Zaburi 78:63
[63]Moto ukawala vijana wao,
Wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,
The fire consumed their young men; and their maidens were not given to marriage.
Pia alihoji hadithi ya Bi Harusi kutokupambwa lilitoka andiko gani Kwa Mujibu wa Bblia Luka alifananisha Yerusalemu mpya Kama Bi harusi aliepambwa ka ajili ya Mumewe..

Wapendwa Take your Time lete majibu yenye msingi na toka kwenye Biblia mtu huyu anaijua biblia nje ndani jitahidi majibu yawe yamenyooka na yalingane na Mungu wa upendo anaehubiriwa na yesu kwenye Agano la Biblia sio yule wenu na mafarisayo wa Sheria,
Sabato njema
Fafanua moja.

Unahitaji wasabato, au watu wenye fikra huru? Kwasababu hao ni watu wa aina mbili tofauti
 
Wapenda katika bwana salam kwa jina la bwana wetu yesu kristo!!

Ukihisi hujakua kihisia, au huwezi kushkilia Mihemko, au re avaluate mapokeo yako Logically tafadhali pita nimelileta kwenu kwasababu binafsi limenishinda!!

Nimekuwa na mwanafunzi wa Bible kwa muda sasa karibu miaka mitano au sita, na nimtu mkubwa sana kwenye ulimwengu wa uslam duniani, sitawatajia yeye ni nan wala sitapost voice notes zake kwa sababu lugha tunayozungumza mm na yeye ina weza isiwe rafiki sana kwa baadhi ya watu,hasa wafuasi wa Elen G white, Kwa Mujibu wa Wake Elen G. White ni muandishi tu na yale ni maoni yake na sio Ufunuo wa Roho (Nabii wa Uongo)
1. Unabii Usiotimia - Alitabiri Yesu atarudi kabla ya 1851(Early Writings, uk. 58), lakini haikutokea. Roho wa Mungu anakosea?
2. Alisema Jerusalemu haitajengwa tena (Early Writings, uk. 75), lakini leo iko hai.

3.Mafundisho Yanayopingana na Biblia
- Damu ya Yesu haitoshi kwa msamaha(Early Writings, uk. 260) ↔ Luka 16:19-31
Yesu alishindwa na mawazo ya Shetani (Spiritual Gifts, Vol. 1, uk. 25) ↔ Yohana 16:33

4.Kudai Ufunuo Mpya Baada ya Biblia
- Alisema Mungu alimpa ujumbe wa mwisho (Testimonies, Vol. 5, uk. 67), ↔
Ufunuo 22:18-19 inakataza kuongeza Neno la Mungu.

Jitahidi sana utakapo leta majibu ya maswali ya leo usilete na mihemko yako, mapokeo, nk jitahidi majibu yako yawe strict Biblical na yawe based on English Bible au Arabic maana ndio lugha anazojua, pia jitahidi sana majibu yako yawe na ushahidi kibiblia na sio vinginevyo,

Sijui wenzangu kama dini ya utajiti ni dhambi bado waumini ila mm nimeasi huko kitambo, so mwarabu kaniishu an open challenge ya maswali matano na a reward ya 10 million Kuwait Dinar roughly hizi ni zaidi ya Billion 70,

Long story shot: Last month alitamani kubatizwa na Alifly kwenda sijui wapi ila waligoma kumbatiza kwa kigezo cha hawamjui na wake zake wanne wandoa alionao, alihoji yafuatayo:
1. Mwanzo mpaka ufunuo ni wapi Mungu aliagiza awena mke mmoja? 2 Samweli 12:8
[8]nami nikakupa nyumba ya bwana wako, na wake za bwana wako kifuani mwako; nikakupa nyumba ya Israeli na ya Yuda; na kama hayo yangalikuwa machache, ningalikuongezea mambo kadha wa kadha.
And I gave thee thy master's house, and thy master's wives into thy bosom, and gave thee the house of Israel and of Judah; and if that had been too little, I would moreover have given unto thee such and such things.
Hadithi ya Ibrahim na sara, na Hagai wote tunaijua, Hadithi ya Israel(Yakobo) sio hadithi ngeni pia maskioni kwa wengi wetu pia?
Anaelewa kuwa maaskofu na mashemasi ndio wanaoagizwa kuwa na mke mmoja1 Timotheo 3:2
[2]Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
A bishop then must be blameless, the husband of one wife, vigilant, sober, of good behaviour, given to hospitality, apt to teach; yeye hawazi kuwa na hataki kuwa, So andiko la yeye kuwa lazima awe na mke mmoja Mungu aliagiza wapi?
2 Mungu anachukia kuachana
Malaki 2:16
[16]Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
For the LORD, the God of Israel, saith that he hateth putting away: for one covereth violence with his garment, saith the LORD of hosts: therefore take heed to your spirit, that ye deal not treacherously.
(Vipi kuhusu wake atrlekeze na watoto na familia zake?)
3.The guy anakunywa Wine na baraza husika walimkondem kuwa mlevi!!
SO Swali lake ni:biblia ina mafungu 208 ya kuhusu wine na hakuna moja la marufuku, Kwa mujibu wa biblia Yesu pia alitengeneza na kunywa Wine Luka 7:34
[34]Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi.
The Son of man is come eating and drinking; and ye say, Behold a gluttonous man, and a winebibber, a friend of publicans and sinners!
Turudi harusini Kana Yohana 2:9
[9]Naye mkuu wa meza alipoyaonja yale maji yaliyopata kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini watumishi walijua, wale walioyateka yale maji), yule mkuu wa meza alimwita bwana arusi,
When the ruler of the feast had tasted the water that was made wine, and knew not whence it was: (but the servants which drew the water knew😉 the governor of the feast called the bridegroom,
Habari ya Paul akimwambia Timotheo 1 Timotheo 5:23
[23]Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Drink no longer water, but use a little wine for thy stomach's sake and thine often infirmities.
(Japo Mswahili mmoja alitudanganya hii inayozungumzwa ni dawa kitu ambacho ni tofauti sana na hoja ya matendo ya mitume:Matendo ya Mitume 2:13
[13]Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.
Others mocking said, These men are full of new wine. (Technically Hulewi dawa) Mwanzo 19, na 27 A blessing Mwanzo 27:28
[28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu,
Na ya manono ya nchi,
Na wingi wa nafaka na mvinyo.
Therefore God give thee of the dew of heaven, and the fatness of the earth, and plenty of corn and wine: zitakuwa support kuwa hoja ya mvinyo ni dawa Sio kweli)

3.Habari ya pete na Jewelries za wake zake
Biblia ina usahidi mwingi wa habari ya watu kuvishana pete Tuanzie kwenye ndoa ya Isaka kwa Rebecca : Mwanzo 24:22
[22]Ikawa, ngamia walipokwisha kunywa, yule mtu akatwaa pete ya dhahabu, uzani wake ulikuwa nusu shekeli, na vikuku viwili kwa mikono yake, uzani wake ulikuwa shekeli kumi za dhahabu,
And it came to pass, as the camels had done drinking, that the man took a golden earring of half a shekel weight, and two bracelets for her hands of ten shekels weight of gold;
Hereni: Kutoka 32:3
[3]Watu wote wakazivunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao, wakamletea Haruni.
And all the people brake off the golden earrings which were in their ears, and brought them unto Aaron.
Ezekieli 16:12
[12]Nikatia hazama puani mwako, na pete masikioni mwako, na taji nzuri juu ya kichwa chako.
And I put a jewel on thy forehead, and earrings in thine ears, and a beautiful crown upon thine head.
The list grows Luka 15 mwana mpotevu we both know the story, na hata mfano wa maonyo thidi ya upendeleo Yakobo 2:2
[2]Maana akiingia katika sinagogi lenu mtu mwenye pete ya dhahabu na mavazi mazuri; kisha akiingia na maskini, mwenye mavazi mabovu;
For if there come unto your assembly a man with a gold ring, in goodly apparel, and there come in also a poor man in vile raiment;
Habari ya mikufu mwanzo 16 na Ezekiel 41 inaweza eleza hichi.
Swali la msingi Andiko la mtu asivike pete mkewe au Mchumba harusini na asivae jewels zake Mungu alikataza kitabu gani?

Lastly ni hoja ya Muziki kuimba na kufurahi kwa Mungu kwa mujibu wa Biblia: 2 Samweli 6:5
[5]Daudi na nyumba yote ya Israeli wakacheza mbele za BWANA kwa nguvu zao zote, kwa nyimbo, na kwa vinubi, na kwa vinanda, na kwa matari, na kwa kayamba, na kwa matoazi.
And David and all the house of Israel played before the LORD on all manner of instruments made of fir wood, even on harps, and on psalteries, and on timbrels, and on cornets, and on cymbals.
1 Mambo ya Nyakati 16:42
[42]na pamoja nao Hemani na Yeduthuni wenye baragumu na matoazi, kwa hao watakaovumisha sauti, na vinanda kwa ajili ya hizo nyimbo za Mungu; na hao wana wa Yeduthuni wawepo mlangoni.
And with them Heman and Jeduthun with trumpets and cymbals for those that should make a sound, and with musical instruments of God. And the sons of Jeduthun were porters.
Hakuishia hapo kumbe kuna na nyimbo za harusi Zaburi 78:63
[63]Moto ukawala vijana wao,
Wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,
The fire consumed their young men; and their maidens were not given to marriage.
Pia alihoji hadithi ya Bi Harusi kutokupambwa lilitoka andiko gani Kwa Mujibu wa Bblia Luka alifananisha Yerusalemu mpya Kama Bi harusi aliepambwa ka ajili ya Mumewe..

Wapendwa Take your Time lete majibu yenye msingi na toka kwenye Biblia mtu huyu anaijua biblia nje ndani jitahidi majibu yawe yamenyooka na yalingane na Mungu wa upendo anaehubiriwa na yesu kwenye Agano la Biblia sio yule wenu na mafarisayo wa Sheria,
Sabato njema
HIVI UONGO KWENU NI SIFA KUU?

Nianze na huu uzushi ,kuhusu Unabii wa Kurudi kwa Yesu kabla ya 1851


Nukuu uliyoleta ni hii 👇
“Alitabiri Yesu atarudi kabla ya 1851 (Early Writings, uk. 58)”


Huu ULIOFANYA ni UZUSHI ,nukuu halisia ni hii 👇
“The time is not yet, but we are to watch and be ready at all times.” (Early Writings, p. 58)

Muktadha ni kwamba EGW hakuwa akitabiri tarehe kamili ya kurudi kwa Yesu, bali alihimiza wafuasi kuwa macho na tayari kiroho. Biblia pia inathibitisha hilo
“But of that day and hour no one knows, not even the angels of heaven, nor the Son, but the Father alone.” (Matthew 24:36)

Uzushi wa pili uliyoleta ,unasema alisema Jerusalem haitajengwa tena

Nukuu uliyoleta wewe ,hapa Tena umefanya Uzushi

“Alisema Jerusalemu haitajengwa tena (Early Writings, uk. 75)”​


nukuu halisia ni hii👇👇
“Jerusalem as a city of God’s people spiritually is to be established in righteousness.” (Early Writings, p. 75)

EGW alikuwa akionyesha ufunuo wa kiroho wa Kanisa na watu wa Mungu, si mji wa kihistoria.,Alizungumzia Yerusalemu mpya ya mbinguni ya Kiroho, sio hiyo ya Netanyau,

Biblia pia inathibitisha👇

“But you have come to Mount Zion, to the city of the living God, the heavenly Jerusalem.” (Hebrews 12:22)


Hoja nyingine uliyoibua ya uzushi ni unasema anafundisha Damu ya Yesu na Ushindi wa Kristo kuwa haitoshi



Nukuu uliyoleta 👇
“Damu ya Yesu haitoshi kwa msamaha (Early Writings, uk. 260). Yesu alishindwa na mawazo ya Shetani (Spiritual Gifts, Vol. 1, uk. 25)”

UONGO na UPOTOSHAJI mwingine huu,, nukuu halisia ni hii👇👇

“Though tempted, He overcame, and His victory becomes ours.” (Spiritual Gifts, Vol. 1, p. 25)

EGW anathibitisha ushindi wa Yesu juu ya Shetani, si kushindwa kama ulivyoongopa .

Biblia pia inasema👇
“I have told you these things, that in me you may have peace. In the world you will have tribulation. But take heart; I have overcome the world.” (John 16:33)

Uzushi mwingine unasema ,alijitangazia ,Ufunuo Mpya Baada ya Biblia



Nukuu ulizoleta 👇👇
“Alisema Mungu alimpa ujumbe wa mwisho (Testimonies, Vol. 5, uk. 67)”

Acha UPOTOSHAJI, nukuu halisia ni hii👇👇

“The testimonies I give are not of myself, but reveal the light of God’s word to our times.” (Testimonies, Vol. 5, p. 67)

EGW hakutengeneza maandiko mapya, bali alieleza ufasiri wa Biblia kwa zama zake.

Biblia inathibitisha hilo👇👇
“All Scripture is God-breathed and is useful for teaching, rebuking, correcting and training in righteousness.” (2 Timothy 3:16-17)


Halafu mwisho ukaibua hoja ya Sabato


Sabato hajaleta EGW ,Watunza Sabato wapo toka edeni, Watunza Sabato wa AWALI kabisa wapo Soma historia acha kula nguruwe tu,

Nenda hapo historia ,penye Ukristo wa awali ulioletwa na Mtume Mathayo na Philipo ,kajifunze

EGW alisema 👇 👇
“The seventh day is God’s holy rest, and the Lord has sanctified it for man’s benefit.” (Testimonies for the Church, Vol. 6)


Ndivyo na maandiko yanafundisha hivo

  • Yesu na Mitume wote walitunza Sabato (Luke 4:16, Acts 13:14).
  • Yesu alionyesha Sabato itakuwepo hata kizazi cha mwisho kwenye sekeseke la mpinga kristo, alizungumzia tukio la mbele 70 AD kuvunjwa kwa Hekalu na siku za mwisho (Matthew 12:11-12).
JE YESU HAKUJUA KUWA SABATO IMEFUTWA HADI AWAPE TAHADHARI WAYAHUDI KUWA 70AD au miaka 40 mbele na mwisho wa siku zetu ,tuombe kukimbia kwetu kusiwe wakati wa baridi au SIKU YA SABATO


JE YESU HAKUJUA ? Ukija ujibu hili swali
  • Nukuu ya EGW inalingana na Biblia, Sabato ni siku ya Mungu, ya mapumziko na rehema.


Umegusia pia kukataza ,Mvinyo, furaha, nyimbo na pete

Umenukuu👇
: “The guy anakunywa Wine na baraza husika walimkondem kuwa mlevi!!”
“Hoja ya mziki kuimba na kufurahi ni ufinyu wake wa elimu”

Acha UPOTOSHAJI, nukuu halisia ni hii
  • Kuhusu divai. “Wine used in moderation is wholesome and not sinful.” (Counsels on Diet and Foods, p. 365)
  • Kuhusu muziki: “Music is to be employed in worship and praise, to elevate the heart to God.” (Education, p. 160)

Muktadha halisi

  • Biblia haipigi marufuku divai,Bali inakataza pombe au divai iliyochachwa , (Luke 7:34, John 2:9, 1 Timothy 5:23).
  • Nyimbo na furaha kwa Mungu ni kuinua moyo, si kucheza sebene (2 Sam 6:5, 1 Chronicles 16:42).kajifunze kwa wayahudi ambao wametunza Hadi kesho jinsi ibada zinavyoendeshwa kwa nyimbo ,wewe unadhani ni hizi SEBENE ,NA SINGELI MNAZOFANYA MAKANISANI 🤣
  • Pete na mikufu zilikuwa zinavaliwa na wapagani, leta andiko tuvae hivo vitu, Mimi Nina maandiko yanayoonesha ni vya wapagani
 
HIVI UONGO KWENU NI SIFA KUU?

Nianze na huu uzushi ,kuhusu Unabii wa Kurudi kwa Yesu kabla ya 1851


Nukuu uliyoleta ni hii 👇



Huu ULIOFANYA ni UZUSHI ,nukuu halisia ni hii 👇


Muktadha ni kwamba EGW hakuwa akitabiri tarehe kamili ya kurudi kwa Yesu, bali alihimiza wafuasi kuwa macho na tayari kiroho. Biblia pia inathibitisha hilo

Uzushi wa pili uliyoleta ,unasema alisema Jerusalem haitajengwa tena

Nukuu uliyoleta wewe ,hapa Tena umefanya Uzushi

“Alisema Jerusalemu haitajengwa tena (Early Writings, uk. 75)”​


nukuu halisia ni hii👇👇


EGW alikuwa akionyesha ufunuo wa kiroho wa Kanisa na watu wa Mungu, si mji wa kihistoria.,Alizungumzia Yerusalemu mpya ya mbinguni ya Kiroho, sio hiyo ya Netanyau,

Biblia pia inathibitisha👇




Hoja nyingine uliyoibua ya uzushi ni unasema anafundisha Damu ya Yesu na Ushindi wa Kristo kuwa haitoshi



Nukuu uliyoleta 👇


UONGO na UPOTOSHAJI mwingine huu,, nukuu halisia ni hii👇👇



EGW anathibitisha ushindi wa Yesu juu ya Shetani, si kushindwa kama ulivyoongopa .

Biblia pia inasema👇


Uzushi mwingine unasema ,alijitangazia ,Ufunuo Mpya Baada ya Biblia



Nukuu ulizoleta 👇👇


Acha UPOTOSHAJI, nukuu halisia ni hii👇👇



EGW hakutengeneza maandiko mapya, bali alieleza ufasiri wa Biblia kwa zama zake.

Biblia inathibitisha hilo👇👇



Halafu mwisho ukaibua hoja ya Sabato


Sabato hajaleta EGW ,Watunza Sabato wapo toka edeni, Watunza Sabato wa AWALI kabisa wapo Soma historia acha kula nguruwe tu,

Nenda hapo historia ,penye Ukristo wa awali ulioletwa na Mtume Mathayo na Philipo ,kajifunze

EGW alisema 👇 👇



Ndivyo na maandiko yanafundisha hivo

  • Yesu na Mitume wote walitunza Sabato (Luke 4:16, Acts 13:14).
  • Yesu alionyesha Sabato itakuwepo hata kizazi cha mwisho kwenye sekeseke la mpinga kristo, alizungumzia tukio la mbele 70 AD kuvunjwa kwa Hekalu na siku za mwisho (Matthew 12:11-12).
JE YESU HAKUJUA KUWA SABATO IMEFUTWA HADI AWAPE TAHADHARI WAYAHUDI KUWA 70AD au miaka 40 mbele na mwisho wa siku zetu ,tuombe kukimbia kwetu kusiwe wakati wa baridi au SIKU YA SABATO


JE YESU HAKUJUA ? Ukija ujibu hili swali
  • Nukuu ya EGW inalingana na Biblia, Sabato ni siku ya Mungu, ya mapumziko na rehema.


Umegusia pia kukataza ,Mvinyo, furaha, nyimbo na pete

Umenukuu👇


Acha UPOTOSHAJI, nukuu halisia ni hii
  • Kuhusu divai. “Wine used in moderation is wholesome and not sinful.” (Counsels on Diet and Foods, p. 365)
  • Kuhusu muziki: “Music is to be employed in worship and praise, to elevate the heart to God.” (Education, p. 160)

Muktadha halisi

  • Biblia haipigi marufuku divai,Bali inakataza pombe au divai iliyochachwa , (Luke 7:34, John 2:9, 1 Timothy 5:23).
  • Nyimbo na furaha kwa Mungu ni kuinua moyo, si kucheza sebene (2 Sam 6:5, 1 Chronicles 16:42).kajifunze kwa wayahudi ambao wametunza Hadi kesho jinsi ibada zinavyoendeshwa kwa nyimbo ,wewe unadhani ni hizi SEBENE ,NA SINGELI MNAZOFANYA MAKANISANI 🤣
  • Pete na mikufu zilikuwa zinavaliwa na wapagani, leta andiko tuvae hivo vitu, Mimi Nina maandiko yanayoonesha ni vya wapagani
Barikiwa sana
 
HIVI UONGO KWENU NI SIFA KUU?

Nianze na huu uzushi ,kuhusu Unabii wa Kurudi kwa Yesu kabla ya 1851


Nukuu uliyoleta ni hii 👇



Huu ULIOFANYA ni UZUSHI ,nukuu halisia ni hii 👇


Muktadha ni kwamba EGW hakuwa akitabiri tarehe kamili ya kurudi kwa Yesu, bali alihimiza wafuasi kuwa macho na tayari kiroho. Biblia pia inathibitisha hilo

Uzushi wa pili uliyoleta ,unasema alisema Jerusalem haitajengwa tena

Nukuu uliyoleta wewe ,hapa Tena umefanya Uzushi

“Alisema Jerusalemu haitajengwa tena (Early Writings, uk. 75)”​


nukuu halisia ni hii👇👇


EGW alikuwa akionyesha ufunuo wa kiroho wa Kanisa na watu wa Mungu, si mji wa kihistoria.,Alizungumzia Yerusalemu mpya ya mbinguni ya Kiroho, sio hiyo ya Netanyau,

Biblia pia inathibitisha👇




Hoja nyingine uliyoibua ya uzushi ni unasema anafundisha Damu ya Yesu na Ushindi wa Kristo kuwa haitoshi



Nukuu uliyoleta 👇


UONGO na UPOTOSHAJI mwingine huu,, nukuu halisia ni hii👇👇



EGW anathibitisha ushindi wa Yesu juu ya Shetani, si kushindwa kama ulivyoongopa .

Biblia pia inasema👇


Uzushi mwingine unasema ,alijitangazia ,Ufunuo Mpya Baada ya Biblia



Nukuu ulizoleta 👇👇


Acha UPOTOSHAJI, nukuu halisia ni hii👇👇



EGW hakutengeneza maandiko mapya, bali alieleza ufasiri wa Biblia kwa zama zake.

Biblia inathibitisha hilo👇👇



Halafu mwisho ukaibua hoja ya Sabato


Sabato hajaleta EGW ,Watunza Sabato wapo toka edeni, Watunza Sabato wa AWALI kabisa wapo Soma historia acha kula nguruwe tu,

Nenda hapo historia ,penye Ukristo wa awali ulioletwa na Mtume Mathayo na Philipo ,kajifunze

EGW alisema 👇 👇



Ndivyo na maandiko yanafundisha hivo

  • Yesu na Mitume wote walitunza Sabato (Luke 4:16, Acts 13:14).
  • Yesu alionyesha Sabato itakuwepo hata kizazi cha mwisho kwenye sekeseke la mpinga kristo, alizungumzia tukio la mbele 70 AD kuvunjwa kwa Hekalu na siku za mwisho (Matthew 12:11-12).
JE YESU HAKUJUA KUWA SABATO IMEFUTWA HADI AWAPE TAHADHARI WAYAHUDI KUWA 70AD au miaka 40 mbele na mwisho wa siku zetu ,tuombe kukimbia kwetu kusiwe wakati wa baridi au SIKU YA SABATO


JE YESU HAKUJUA ? Ukija ujibu hili swali
  • Nukuu ya EGW inalingana na Biblia, Sabato ni siku ya Mungu, ya mapumziko na rehema.


Umegusia pia kukataza ,Mvinyo, furaha, nyimbo na pete

Umenukuu👇


Acha UPOTOSHAJI, nukuu halisia ni hii
  • Kuhusu divai. “Wine used in moderation is wholesome and not sinful.” (Counsels on Diet and Foods, p. 365)
  • Kuhusu muziki: “Music is to be employed in worship and praise, to elevate the heart to God.” (Education, p. 160)

Muktadha halisi

  • Biblia haipigi marufuku divai,Bali inakataza pombe au divai iliyochachwa , (Luke 7:34, John 2:9, 1 Timothy 5:23).
  • Nyimbo na furaha kwa Mungu ni kuinua moyo, si kucheza sebene (2 Sam 6:5, 1 Chronicles 16:42).kajifunze kwa wayahudi ambao wametunza Hadi kesho jinsi ibada zinavyoendeshwa kwa nyimbo ,wewe unadhani ni hizi SEBENE ,NA SINGELI MNAZOFANYA MAKANISANI 🤣
  • Pete na mikufu zilikuwa zinavaliwa na wapagani, leta andiko tuvae hivo vitu, Mimi Nina maandiko yanayoonesha ni vya wapagani
Binafsi nlileta hii kwangu ilinishinda na nnavyohitaji hela a 70+ Biln(Dinar 10M) sio makalio na mpaka naileta nimefanya due deligenge yangu to kufikia Kusurender mzee una Biblical proof ya huyu mtu ni nabii wa kweli lete tukapate hela!!
Logical ground moja ya Mwarabu na mm mwenyewe kuwa na mashaka na huyu nabii wenu ni hii 1. Unabii: Baadhi ya Waliokuwapo kwenye Mkutano wa 1856 Wangeishi Hadi Kurudi kwa Kristo
Nukuu:
“Nilipewa kuona kundi lililokuwapo kwenye mkutano. Malaika akasema: ‘Wengine chakula cha minyoo, wengine wataathirika na mapigo saba ya mwisho, wengine watakuwa hai na kubaki duniani ili kubadilishwa wakati wa kuja kwa Yesu.’”
(Testimonies for the Church, Kitabu cha 1, uk. 131-132, kilichochapishwa 1868)
Muktadha: Unabii huu ulitolewa baada ya maono wakati wa mkutano wa 1856 huko Battle Creek, Michigan, uliohudhuriwa na Waadventista wa Sabato wa mapema. Maono ya White yalidokeza kuwa baadhi ya waliokuwapo wangeishi hadi waone “mapigo saba ya mwisho” (kurejelea Ufunuo 16) au wangekuwa hai wakati wa kurudi kwa Kristo, ikionyesha kurudi kwake kilikuwa karibu ndani ya maisha yao.

2. Unabii: Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe vya Marekani Vingefanya Utawala wa Utumwa Udumu na Kuhusisha Uingereza
Nukuu:
“Taifa hili bado litadhalilishwa hadi mavumbini. Uingereza inasoma ikiwa ni bora kuchukua fursa ya hali dhaifu ya taifa letu sasa hivi… Uingereza itakapokubali vita, mataifa yote yatakuwa na masilahi yao ya kujihudumia, na kutakuwa na vita vya jumla, machafuko ya jumla… Vita sio vya kuondoa utumwa, bali ni vya kuuhifadhi.”
(Testimonies for the Church, Kitabu cha 1, uk. 258, kilichoandikwa 1863)
Muktadha: Nukuu hii ilitolewa wakati wa Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe vya Marekani (1861-1865), ambapo White alitabiri kuwa vita hiyo haingeondoa utumwa bali ingeuimarisha, na kwamba Uingereza ingeingilia vita, ikisababisha mzozo wa kimataifa. Aliona hili kama sehemu ya hukumu ya Mungu kwa taifa.
3. Unabii: Yerusalemu ya Kale Haitawahi Kujengwa Upya
Nukuu:
“Pia nilisema kwamba Yerusalemu ya Kale haitawahi kujengwa upya; na kwamba Bwana alikuwa amenionyesha kuwa Yerusalemu haitawahi kujengwa tena.”
(Early Writings, uk. 75, kilichoandikwa 1851)
Muktadha: Nukuu hii ilitoka kwa maono ya mapema ambapo White alifakari unabii wa Kibiblia na mustakabali wa Yerusalemu. Alitafsiri hili kama ufunuo wa kimungu kwamba “Yerusalemu ya Kale” (mji wa kihistoria tofauti na “Yerusalemu Mpya” ya kiroho katika Ufunuo 21) ungedumu katika kuporomoka.

Kiwango cha Kunakili: Wakosoaji wanakadiria kuwa 80-90% ya baadhi ya kazi za White, hasa za kihistoria na za afya, zilinakiliwa kutoka kwa waandishi wa zama zake. Rea anasema hadi 80% ya The Great Controversy na sehemu kubwa za Desire of Ages zilinakiliwa bila kutaja vyanzo. (Ufunuo wa Roho mtakatifu ulihitaji ku kukopy mawazo ya wengine bila acknowledgement?) Orodha ya Vitabu na Sehemu Zilizokopiwa
Hapa chini ni orodha ya vitabu vikuu vya Ellen G. White ambapo kunakili kumethibitishwa, sehemu zilizokopiwa au mada, na vyanzo vyake vya asili, pamoja na nukuu za moja kwa moja ambapo zinapatikana.
1. The Great Controversy (1888, iliyorekebishwa 1911)
Maudhui Yaliyokopiwa: Simulizi za kihistoria, hasa kuhusu Marekebisho ya Kidini, Mapinduzi ya Ufaransa, na historia ya Kiprotestanti.
Vyanzo na Sehemu:
James A. Wylie’s History of Protestantism (1876):
Maelezo ya White kuhusu maisha ya Martin Luther na Marekebisho ya Kidini yanafanana sana na maneno ya Wylie. Kwa mfano, White anaandika katika The Great Controversy (uk. 120):
“Luther alitawazwa kuwa kasisi, na aliitwa kutoka kwenye monasteri hadi kwenye kiti cha profesa katika Chuo Kikuu cha Wittenberg.” Wylie anaandika katika History of Protestantism (Kitabu cha 1, uk. 245): “Luther alitawazwa kuwa kasisi, na muda mfupi baadaye aliitwa kwenye kiti cha profesa huko Wittenberg.” Wakosoaji wanaona maneno karibu sawa katika sura nyingi, huku Rea akikadiria 50-80% ya sehemu za Marekebisho zilinakiliwa kutoka kwa Wylie.
J.H. Merle D’Aubigné’s History of the Reformation (1846):
Maelezo ya White kuhusu maendeleo ya Marekebisho, kama jukumu la Zwingli na Calvin, yanakopa muundo na maneno. Kwa mfano, White anaandika kuhusu Zwingli (uk. 171):
“Zwingli alikuwa amefikia uelewa wa wazi zaidi wa kweli zake, na alikuwa amezipokea zaidi imani ya marekebisho moyoni mwake.” D’Aubigné anaandika (Kitabu cha 2, uk. 112): “Zwingli alikuwa amepata ufahamu wa wazi zaidi wa kweli za Injili, na moyo wake ulikuwa umejaa zaidi imani ya marekebisho.” Rea anabainisha mifano mingi kama hiyo katika kitabu chote, mara nyingi bila kuta ja chanzo. Kuna utitiri wa vitabu ambavyo huyu mtu ali kopy so kuniambia huyu mtu alioewa maono mapya na vitabu vingi kuliko hata manabii wa biblia Hainingii akilini huyu mtu wenu atabaki mwandishi na ile ni mihemko yake na mawazo yake sio Roho wa Mungu!!

Bro tuachane na Mihemiko yesu alipoondoka alitulituletea Roho mtakatifu yeye alikuja almost karibu miaka zaidi ya 1000 tangu Kristo lets be Logic na lete biblical proof Tukachukue Hela kwasababu ukiondoa mafundisho ya huyu nabii wa mchongo dini ya sheria ya wasabato na sio Upendo(Wa biblia haina mashiko tena) Hakuna Anaibishia sabato Kutoka 20:8 states clear "Ikumbuke siku ya sabato na Uitakase..." clear Usizini, usiibe Mambo ya Walawi clear habari ya tule nn Why out ya mafungu 208 ya wine hakuna hata moja la usinywe zaidi ya mafundisho ya ufunuo wa huyu nabii wenu?
 
HIVI UONGO KWENU NI SIFA KUU?

Nianze na huu uzushi ,kuhusu Unabii wa Kurudi kwa Yesu kabla ya 1851


Nukuu uliyoleta ni hii 👇



Huu ULIOFANYA ni UZUSHI ,nukuu halisia ni hii 👇


Muktadha ni kwamba EGW hakuwa akitabiri tarehe kamili ya kurudi kwa Yesu, bali alihimiza wafuasi kuwa macho na tayari kiroho. Biblia pia inathibitisha hilo

Uzushi wa pili uliyoleta ,unasema alisema Jerusalem haitajengwa tena

Nukuu uliyoleta wewe ,hapa Tena umefanya Uzushi

“Alisema Jerusalemu haitajengwa tena (Early Writings, uk. 75)”​


nukuu halisia ni hii👇👇


EGW alikuwa akionyesha ufunuo wa kiroho wa Kanisa na watu wa Mungu, si mji wa kihistoria.,Alizungumzia Yerusalemu mpya ya mbinguni ya Kiroho, sio hiyo ya Netanyau,

Biblia pia inathibitisha👇




Hoja nyingine uliyoibua ya uzushi ni unasema anafundisha Damu ya Yesu na Ushindi wa Kristo kuwa haitoshi



Nukuu uliyoleta 👇


UONGO na UPOTOSHAJI mwingine huu,, nukuu halisia ni hii👇👇



EGW anathibitisha ushindi wa Yesu juu ya Shetani, si kushindwa kama ulivyoongopa .

Biblia pia inasema👇


Uzushi mwingine unasema ,alijitangazia ,Ufunuo Mpya Baada ya Biblia



Nukuu ulizoleta 👇👇


Acha UPOTOSHAJI, nukuu halisia ni hii👇👇



EGW hakutengeneza maandiko mapya, bali alieleza ufasiri wa Biblia kwa zama zake.

Biblia inathibitisha hilo👇👇



Halafu mwisho ukaibua hoja ya Sabato


Sabato hajaleta EGW ,Watunza Sabato wapo toka edeni, Watunza Sabato wa AWALI kabisa wapo Soma historia acha kula nguruwe tu,

Nenda hapo historia ,penye Ukristo wa awali ulioletwa na Mtume Mathayo na Philipo ,kajifunze

EGW alisema 👇 👇



Ndivyo na maandiko yanafundisha hivo

  • Yesu na Mitume wote walitunza Sabato (Luke 4:16, Acts 13:14).
  • Yesu alionyesha Sabato itakuwepo hata kizazi cha mwisho kwenye sekeseke la mpinga kristo, alizungumzia tukio la mbele 70 AD kuvunjwa kwa Hekalu na siku za mwisho (Matthew 12:11-12).
JE YESU HAKUJUA KUWA SABATO IMEFUTWA HADI AWAPE TAHADHARI WAYAHUDI KUWA 70AD au miaka 40 mbele na mwisho wa siku zetu ,tuombe kukimbia kwetu kusiwe wakati wa baridi au SIKU YA SABATO


JE YESU HAKUJUA ? Ukija ujibu hili swali
  • Nukuu ya EGW inalingana na Biblia, Sabato ni siku ya Mungu, ya mapumziko na rehema.


Umegusia pia kukataza ,Mvinyo, furaha, nyimbo na pete

Umenukuu👇


Acha UPOTOSHAJI, nukuu halisia ni hii
  • Kuhusu divai. “Wine used in moderation is wholesome and not sinful.” (Counsels on Diet and Foods, p. 365)
  • Kuhusu muziki: “Music is to be employed in worship and praise, to elevate the heart to God.” (Education, p. 160)

Muktadha halisi

  • Biblia haipigi marufuku divai,Bali inakataza pombe au divai iliyochachwa , (Luke 7:34, John 2:9, 1 Timothy 5:23).
  • Nyimbo na furaha kwa Mungu ni kuinua moyo, si kucheza sebene (2 Sam 6:5, 1 Chronicles 16:42).kajifunze kwa wayahudi ambao wametunza Hadi kesho jinsi ibada zinavyoendeshwa kwa nyimbo ,wewe unadhani ni hizi SEBENE ,NA SINGELI MNAZOFANYA MAKANISANI 🤣
  • Pete na mikufu zilikuwa zinavaliwa na wapagani, leta andiko tuvae hivo vitu, Mimi Nina maandiko yanayoonesha ni vya wapagani
Soma kuelewa sio kujibu statements zote zina Biblical quotes embu soma huo waraka tena!! Alieleta hii ni Mwarabu Muislam swala 5!!
HIVI UONGO KWENU NI SIFA KUU?

Nianze na huu uzushi ,kuhusu Unabii wa Kurudi kwa Yesu kabla ya 1851


Nukuu uliyoleta ni hii 👇



Huu ULIOFANYA ni UZUSHI ,nukuu halisia ni hii 👇


Muktadha ni kwamba EGW hakuwa akitabiri tarehe kamili ya kurudi kwa Yesu, bali alihimiza wafuasi kuwa macho na tayari kiroho. Biblia pia inathibitisha hilo

Uzushi wa pili uliyoleta ,unasema alisema Jerusalem haitajengwa tena

Nukuu uliyoleta wewe ,hapa Tena umefanya Uzushi

“Alisema Jerusalemu haitajengwa tena (Early Writings, uk. 75)”​


nukuu halisia ni hii👇👇


EGW alikuwa akionyesha ufunuo wa kiroho wa Kanisa na watu wa Mungu, si mji wa kihistoria.,Alizungumzia Yerusalemu mpya ya mbinguni ya Kiroho, sio hiyo ya Netanyau,

Biblia pia inathibitisha👇




Hoja nyingine uliyoibua ya uzushi ni unasema anafundisha Damu ya Yesu na Ushindi wa Kristo kuwa haitoshi



Nukuu uliyoleta 👇


UONGO na UPOTOSHAJI mwingine huu,, nukuu halisia ni hii👇👇



EGW anathibitisha ushindi wa Yesu juu ya Shetani, si kushindwa kama ulivyoongopa .

Biblia pia inasema👇


Uzushi mwingine unasema ,alijitangazia ,Ufunuo Mpya Baada ya Biblia



Nukuu ulizoleta 👇👇


Acha UPOTOSHAJI, nukuu halisia ni hii👇👇



EGW hakutengeneza maandiko mapya, bali alieleza ufasiri wa Biblia kwa zama zake.

Biblia inathibitisha hilo👇👇



Halafu mwisho ukaibua hoja ya Sabato


Sabato hajaleta EGW ,Watunza Sabato wapo toka edeni, Watunza Sabato wa AWALI kabisa wapo Soma historia acha kula nguruwe tu,

Nenda hapo historia ,penye Ukristo wa awali ulioletwa na Mtume Mathayo na Philipo ,kajifunze

EGW alisema 👇 👇



Ndivyo na maandiko yanafundisha hivo

  • Yesu na Mitume wote walitunza Sabato (Luke 4:16, Acts 13:14).
  • Yesu alionyesha Sabato itakuwepo hata kizazi cha mwisho kwenye sekeseke la mpinga kristo, alizungumzia tukio la mbele 70 AD kuvunjwa kwa Hekalu na siku za mwisho (Matthew 12:11-12).
JE YESU HAKUJUA KUWA SABATO IMEFUTWA HADI AWAPE TAHADHARI WAYAHUDI KUWA 70AD au miaka 40 mbele na mwisho wa siku zetu ,tuombe kukimbia kwetu kusiwe wakati wa baridi au SIKU YA SABATO


JE YESU HAKUJUA ? Ukija ujibu hili swali
  • Nukuu ya EGW inalingana na Biblia, Sabato ni siku ya Mungu, ya mapumziko na rehema.


Umegusia pia kukataza ,Mvinyo, furaha, nyimbo na pete

Umenukuu👇


Acha UPOTOSHAJI, nukuu halisia ni hii
  • Kuhusu divai. “Wine used in moderation is wholesome and not sinful.” (Counsels on Diet and Foods, p. 365)
  • Kuhusu muziki: “Music is to be employed in worship and praise, to elevate the heart to God.” (Education, p. 160)

Muktadha halisi

  • Biblia haipigi marufuku divai,Bali inakataza pombe au divai iliyochachwa , (Luke 7:34, John 2:9, 1 Timothy 5:23).
  • Nyimbo na furaha kwa Mungu ni kuinua moyo, si kucheza sebene (2 Sam 6:5, 1 Chronicles 16:42).kajifunze kwa wayahudi ambao wametunza Hadi kesho jinsi ibada zinavyoendeshwa kwa nyimbo ,wewe unadhani ni hizi SEBENE ,NA SINGELI MNAZOFANYA MAKANISANI 🤣
  • Pete na mikufu zilikuwa zinavaliwa na wapagani, leta andiko tuvae hivo vitu, Mimi Nina maandiko yanayoonesha ni vya wapagani
Soma Kuelewa sio kujibu tu!! Hakuna aliebishia sabato ndio maana the guy alitaka kubatizwa, na Alieleta hii ni Muslim Alhaj swala 5, Hajui sebene wala Singeli na alileta question based on Biblical quotes kila Argument yake ina quote ya Biblia soma huo waraka lete Biblical quotes sio mihemko.. Tuambie wapagani based on.......
 
Binafsi nlileta hii kwangu ilinishinda na nnavyohitaji hela a 70+ Biln(Dinar 10M) sio makalio na mpaka naileta nimefanya due deligenge yangu to kufikia Kusurender mzee una Biblical proof ya huyu mtu ni nabii wa kweli lete tukapate hela!!
Logical ground moja ya Mwarabu na mm mwenyewe kuwa na mashaka na huyu nabii wenu ni hii 1. Unabii: Baadhi ya Waliokuwapo kwenye Mkutano wa 1856 Wangeishi Hadi Kurudi kwa Kristo
Nukuu:
“Nilipewa kuona kundi lililokuwapo kwenye mkutano. Malaika akasema: ‘Wengine chakula cha minyoo, wengine wataathirika na mapigo saba ya mwisho, wengine watakuwa hai na kubaki duniani ili kubadilishwa wakati wa kuja kwa Yesu.’”
(Testimonies for the Church, Kitabu cha 1, uk. 131-132, kilichochapishwa 1868)
Muktadha: Unabii huu ulitolewa baada ya maono wakati wa mkutano wa 1856 huko Battle Creek, Michigan, uliohudhuriwa na Waadventista wa Sabato wa mapema. Maono ya White yalidokeza kuwa baadhi ya waliokuwapo wangeishi hadi waone “mapigo saba ya mwisho” (kurejelea Ufunuo 16) au wangekuwa hai wakati wa kurudi kwa Kristo, ikionyesha kurudi kwake kilikuwa karibu ndani ya maisha yao.

2. Unabii: Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe vya Marekani Vingefanya Utawala wa Utumwa Udumu na Kuhusisha Uingereza
Nukuu:
“Taifa hili bado litadhalilishwa hadi mavumbini. Uingereza inasoma ikiwa ni bora kuchukua fursa ya hali dhaifu ya taifa letu sasa hivi… Uingereza itakapokubali vita, mataifa yote yatakuwa na masilahi yao ya kujihudumia, na kutakuwa na vita vya jumla, machafuko ya jumla… Vita sio vya kuondoa utumwa, bali ni vya kuuhifadhi.”
(Testimonies for the Church, Kitabu cha 1, uk. 258, kilichoandikwa 1863)
Muktadha: Nukuu hii ilitolewa wakati wa Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe vya Marekani (1861-1865), ambapo White alitabiri kuwa vita hiyo haingeondoa utumwa bali ingeuimarisha, na kwamba Uingereza ingeingilia vita, ikisababisha mzozo wa kimataifa. Aliona hili kama sehemu ya hukumu ya Mungu kwa taifa.
3. Unabii: Yerusalemu ya Kale Haitawahi Kujengwa Upya
Nukuu:
“Pia nilisema kwamba Yerusalemu ya Kale haitawahi kujengwa upya; na kwamba Bwana alikuwa amenionyesha kuwa Yerusalemu haitawahi kujengwa tena.”
(Early Writings, uk. 75, kilichoandikwa 1851)
Muktadha: Nukuu hii ilitoka kwa maono ya mapema ambapo White alifakari unabii wa Kibiblia na mustakabali wa Yerusalemu. Alitafsiri hili kama ufunuo wa kimungu kwamba “Yerusalemu ya Kale” (mji wa kihistoria tofauti na “Yerusalemu Mpya” ya kiroho katika Ufunuo 21) ungedumu katika kuporomoka.

Kiwango cha Kunakili: Wakosoaji wanakadiria kuwa 80-90% ya baadhi ya kazi za White, hasa za kihistoria na za afya, zilinakiliwa kutoka kwa waandishi wa zama zake. Rea anasema hadi 80% ya The Great Controversy na sehemu kubwa za Desire of Ages zilinakiliwa bila kutaja vyanzo. (Ufunuo wa Roho mtakatifu ulihitaji ku kukopy mawazo ya wengine bila acknowledgement?) Orodha ya Vitabu na Sehemu Zilizokopiwa
Hapa chini ni orodha ya vitabu vikuu vya Ellen G. White ambapo kunakili kumethibitishwa, sehemu zilizokopiwa au mada, na vyanzo vyake vya asili, pamoja na nukuu za moja kwa moja ambapo zinapatikana.
1. The Great Controversy (1888, iliyorekebishwa 1911)
Maudhui Yaliyokopiwa: Simulizi za kihistoria, hasa kuhusu Marekebisho ya Kidini, Mapinduzi ya Ufaransa, na historia ya Kiprotestanti.
Vyanzo na Sehemu:
James A. Wylie’s History of Protestantism (1876):
Maelezo ya White kuhusu maisha ya Martin Luther na Marekebisho ya Kidini yanafanana sana na maneno ya Wylie. Kwa mfano, White anaandika katika The Great Controversy (uk. 120):
“Luther alitawazwa kuwa kasisi, na aliitwa kutoka kwenye monasteri hadi kwenye kiti cha profesa katika Chuo Kikuu cha Wittenberg.” Wylie anaandika katika History of Protestantism (Kitabu cha 1, uk. 245): “Luther alitawazwa kuwa kasisi, na muda mfupi baadaye aliitwa kwenye kiti cha profesa huko Wittenberg.” Wakosoaji wanaona maneno karibu sawa katika sura nyingi, huku Rea akikadiria 50-80% ya sehemu za Marekebisho zilinakiliwa kutoka kwa Wylie.
J.H. Merle D’Aubigné’s History of the Reformation (1846):
Maelezo ya White kuhusu maendeleo ya Marekebisho, kama jukumu la Zwingli na Calvin, yanakopa muundo na maneno. Kwa mfano, White anaandika kuhusu Zwingli (uk. 171):
“Zwingli alikuwa amefikia uelewa wa wazi zaidi wa kweli zake, na alikuwa amezipokea zaidi imani ya marekebisho moyoni mwake.” D’Aubigné anaandika (Kitabu cha 2, uk. 112): “Zwingli alikuwa amepata ufahamu wa wazi zaidi wa kweli za Injili, na moyo wake ulikuwa umejaa zaidi imani ya marekebisho.” Rea anabainisha mifano mingi kama hiyo katika kitabu chote, mara nyingi bila kuta ja chanzo. Kuna utitiri wa vitabu ambavyo huyu mtu ali kopy so kuniambia huyu mtu alioewa maono mapya na vitabu vingi kuliko hata manabii wa biblia Hainingii akilini huyu mtu wenu atabaki mwandishi na ile ni mihemko yake na mawazo yake sio Roho wa Mungu!!

Bro tuachane na Mihemiko yesu alipoondoka alitulituletea Roho mtakatifu yeye alikuja almost karibu miaka zaidi ya 1000 tangu Kristo lets be Logic na lete biblical proof Tukachukue Hela kwasababu ukiondoa mafundisho ya huyu nabii wa mchongo dini ya sheria ya wasabato na sio Upendo(Wa biblia haina mashiko tena) Hakuna Anaibishia sabato Kutoka 20:8 states clear "Ikumbuke siku ya sabato na Uitakase..." clear Usizini, usiibe Mambo ya Walawi clear habari ya tule nn Why out ya mafungu 208 ya wine hakuna hata moja la usinywe zaidi ya mafundisho ya ufunuo wa huyu nabii wenu?
Mbona nimekujibu lakini umerudia mule mule Tena ? Umekuja kujifunza au umekuja kufanya UBISHI ?

Hoja zako ni hizi 👇 👇
  1. Unabii wa 1856 (kuwa wengine wangeishi hadi kuja kwa Yesu)
  2. Unabii wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe Marekani (utumwa na Uingereza)
  3. Yerusalemu haitajengwa upya
  4. Kukopi vitabu (plagiarism)

Nitapita humo humo Tena ,maana lengo lako ni wazi sio kujifunza Bali kufanya majibizano,

Nitatumia biblia na Nukuu ya vitabu vyake ELLEN G WHITE ,maana Kuna ka mchezo unafanya unapotosha hizo nukuu, kama mnavyofanya kwenye biblia


🔹 Kwanza kabisa kuhusu manabii wa Mungu
Biblia inatufundisha kuwa nabii anapimwa kwa mafundisho na matunda, si kwa tafsiri binafsi ya nukuu zake
  • “Kwa matunda yao mtawatambua” (Mathayo 7:15–20).
  • “Mtu yeyote asiyeyakiri maneno haya ya nabii katika jina langu, neno lile halitatimia, basi usiogope” (Kumbukumbu 18:22).

EGW mwenyewe aliandika:
👉 “Test of a true prophet is not in his person, but in harmony of message with the Word of God” (Selected Messages, bk 2, p. 32).


Kwa hiyo kipimo ni Biblia kwanza, si kuchukua sehemu moja nje ya muktadha.


TUANZE NA HOJA HII👇

Unabii wa 1856 – waliokuwa kwenye mkutano


Unassema EGW alisema baadhi yao wataishi hadi kurudi kwa Kristo → hawapo leo, basi ni uongo.


Kwanza EGW hakusema hakika kwamba Yesu angerudi ndani ya maisha yao. Alitoa maono ya masharti (conditional prophecy), sawa na manabii wa Biblia.
Mfano👇👇

  • Nabii Yona alitabiri Ninawi itaangamizwa baada ya siku 40 (Yona 3:4) – haikutimia kwa sababu watu walitubu.
  • Isaia alimwambia Hezekia ataaga, lakini baada ya maombi, unabii uligeuzwa (Isaya 38:1-5).

Hivyo unabii unaweza kuwa conditional kulingana na mwitikio wa watu. EGW mwenyewe alisema:
👉 “Time after time I was instructed that events shown to me were conditional upon the response of God’s people.” (Selected Messages, bk 1, p. 67).


Kwa hiyo hoja ya 1856 haina uzito wa kuvunja unabii wake.


Hoja ya Vita vya wenyewe kwa wenyewe Marekani


Unadai ,EGW alisema vita havitaondoa utumwa na Uingereza itaingia vitani lakini utumwa uliondoka na Uingereza haikupigana.


Ukweli ni huu,EGW alionyesha kile kilichokuwa kitokee iwapo hali ingeendelea. Nukuu yake haikuwa unabii wa mwisho bali tahadhari.
Katika maono hayo alisema

👉 “If England does take part in the war…” (Testimonies, vol. 1, p. 259).
Neno “if” linaonyesha hali ya masharti, si hakikisho.


Na kuhusu utumwa kweli ulikuwa hatarini kuimarishwa mwanzoni mwa vita, lakini Mungu aliamua vinginevyo. Hivyo tena ni mfano wa unabii wa masharti.


Hoja ya Yerusalemu haitajengwa upya


Hii hoja nilikujibu, sasa sijui husomi maana upo kufanya mabishano,


EGW hakumaanisha mji wa kisiasa tulionao leo, bali Yerusalemu ya kiroho kama kituo cha mpango wa wokovu.
Alisema👇👇

👉 “Jerusalem of old will never be built up again in the sense of being God’s chosen city.” (Early Writings, p. 75).


Muktadha, ilikuwa ni kupinga mafundisho ya wale waliokuwa wakihubiri kuwa wokovu utatokea kwa kurejea katika Yerusalemu ya kale. Kwa hiyo si uongo, maana Biblia yenyewe inasema

  • “Yerusalemu mpya itashuka kutoka mbinguni” (Ufunuo 21:2).
    Hiyo ndiyo maana ya unabii wake.

Hoja nyingine dhaifu, unasema alikopi vitabu (plagiarism)


Kwanza Mungu hajakataza kutumia vyanzo vya kibinadamu kuwasilisha ujumbe. Biblia yenyewe inatumia vyanzo vilivyokuwapo

  • Luka anasema wazi alitumia “waliotutangulia kuandika habari hizo” (Luka 1:1-3).
  • Paulo alinukuu washairi wa Kigiriki (Matendo 17:28).
  • Waebrania 11 inanukuu historia ya kale isiyo kwenye Biblia.
  • Daniel anasema kabisa KWAKUVISOMA VITABU nalitambua unabii wa YEREMIA

EGW mwenyewe alieleza👇

👉 “In my writings, I have presented what the Lord has shown me, using the best words I can find from the sources at hand.” (Selected Messages, bk 3, p. 459).


Wataalamu wa sheria za copyright hata Marekani (Walter Rea na Fred Veltman walipochunguza) walithibitisha kuwa hakuna udanganyifu wa makusudi, bali ilikubalika kwa wakati huo kutumia marejeo kwa ajili ya “kuonyesha ukweli” si kudai chanzo kilikuwa chake.


Unauliza Biblia inathibitisha vipi nabii?


Yesu alisema
  • “Mtu yeyote atendaye mapenzi ya Mungu, atajua kama mafundisho haya ni ya Mungu au ni yangu” (Yohana 7:17).
  • “Roho ya unabii ni ushuhuda wa Yesu” (Ufunuo 19:10).

EGW alinyanyua Biblia juu ya vyote. Nukuu maarufu👇👇

👉 “The Bible and the Bible only is the rule of faith and practice for the Christian.” (The Great Controversy, p. 595).


Na ujumbe wake ulikuwa kusisitiza Sabato (Kutoka 20:8), kumpenda Kristo, na kujiandaa kwa kurudi kwa Yesu matunda yanayolingana na Biblia.

Unabii wa EGW unakubaliana na Biblia, unapotazamwa kwa muktadha sahihi na kanuni ya unabii wa masharti. Na hata kutumia vyanzo vya wanadamu haiondoi uhalali wa kuwa na maono kutoka kwa Mungu Biblia yenyewe imetumia mfano huo.
 
Soma kuelewa sio kujibu statements zote zina Biblical quotes embu soma huo waraka tena!! Alieleta hii ni Mwarabu Muislam swala 5!!

Soma Kuelewa sio kujibu tu!! Hakuna aliebishia sabato ndio maana the guy alitaka kubatizwa, na Alieleta hii ni Muslim Alhaj swala 5, Hajui sebene wala Singeli na alileta question based on Biblical quotes kila Argument yake ina quote ya Biblia soma huo waraka lete Biblical quotes sio mihemko.. Tuambie wapagani based on.......
Nishakujibu ,kwakukuongezea kwakuwa wewe ni mfuasi wa muhamad

Yesu alisema ‘Mtawatambua kwa matunda yao’ (Mathayo 7:16).

Sasa ngoja nikuonyeshe matunda ya Ellen G. White ambayo yamebadilisha dunia nzima siyo mihemko, ni reality ambayo dunia nzima imeikubali, na science imethibitisha:

Afya na Lishe

EGW alihubiri kujizuia pombe, tumbaku, nyama nyingi, kahawa na kushikilia mboga na matunda.

Alisisitiza usafi, maji safi, hewa safi, mazoezi na usingizi wa kutosha (angalia Ministry of Healing, 1905).

Hivi sasa hii ndiyo msingi wa WHO (World Health Organization) na taasisi zote za afya duniani.

Sababu Adventist wanajulikana kuishi maisha marefu zaidi (Loma Linda – USA) inatokana na mafundisho haya ya EGW.


👉 Swali langu, Muhammad aliwahi kufundisha nini juu ya afya ambayo sayansi imekubali leo? Badala yake tunaona hadithi za kunywa mkojo wa ngamia au maziwa yake je, hii sayansi iko wapi? Na VITUKO vingi sana nikiweka hapa hapatatosha

Elimu na Maisha Bora

EGW alianzisha mfumo wa elimu ya holistic , kufundisha akili, mwili na roho.

Leo hii shule na vyuo vya Waadventista viko duniani kote, vinajulikana kwa nidhamu na maadili.


Hospitali na Utabibu

EGW alihimiza kujenga hospitali za madaktari wa afya ya asili na kuunganisha tiba na imani.

Ndiyo maana leo kuna hospitali nyingi kubwa za Adventist duniani, mfano Adventist Health System Marekani, Afrika, Asia.

Kwa hiyo, Ellen White aliweka msingi wa maisha ya afya, elimu na hospitali ambazo zimebadilisha dunia, na hadi sayansi inakubali. Hii ni ‘fruits’ , matunda yanayoonekana.

Sasa linganisha na Muhammad, hajawahi kufundisha chochote kinacholingana na sayansi ya afya leo, zaidi ya desturi za jangwani. Hiyo peke yake inatuonyesha utofauti wa nabii wa kweli wa Mungu, na Nabii wa Uongo Muhamad


HAPA SIJAGUSIA NABII ALIZOTABIRI NA ZIKATIMIA

Wakati muhamad hakuna unabii hata mmoja amewahi kutabiri ukatokea ,
 
Nishakujibu ,kwakukuongezea kwakuwa wewe ni mfuasi wa muhamad

Yesu alisema ‘Mtawatambua kwa matunda yao’ (Mathayo 7:16).

Sasa ngoja nikuonyeshe matunda ya Ellen G. White ambayo yamebadilisha dunia nzima siyo mihemko, ni reality ambayo dunia nzima imeikubali, na science imethibitisha:

Afya na Lishe

EGW alihubiri kujizuia pombe, tumbaku, nyama nyingi, kahawa na kushikilia mboga na matunda.

Alisisitiza usafi, maji safi, hewa safi, mazoezi na usingizi wa kutosha (angalia Ministry of Healing, 1905).

Hivi sasa hii ndiyo msingi wa WHO (World Health Organization) na taasisi zote za afya duniani.

Sababu Adventist wanajulikana kuishi maisha marefu zaidi (Loma Linda – USA) inatokana na mafundisho haya ya EGW.


👉 Swali langu, Muhammad aliwahi kufundisha nini juu ya afya ambayo sayansi imekubali leo? Badala yake tunaona hadithi za kunywa mkojo wa ngamia au maziwa yake je, hii sayansi iko wapi? Na VITUKO vingi sana nikiweka hapa hapatatosha

Elimu na Maisha Bora

EGW alianzisha mfumo wa elimu ya holistic , kufundisha akili, mwili na roho.

Leo hii shule na vyuo vya Waadventista viko duniani kote, vinajulikana kwa nidhamu na maadili.


Hospitali na Utabibu

EGW alihimiza kujenga hospitali za madaktari wa afya ya asili na kuunganisha tiba na imani.

Ndiyo maana leo kuna hospitali nyingi kubwa za Adventist duniani, mfano Adventist Health System Marekani, Afrika, Asia.

Kwa hiyo, Ellen White aliweka msingi wa maisha ya afya, elimu na hospitali ambazo zimebadilisha dunia, na hadi sayansi inakubali. Hii ni ‘fruits’ , matunda yanayoonekana.

Sasa linganisha na Muhammad, hajawahi kufundisha chochote kinacholingana na sayansi ya afya leo, zaidi ya desturi za jangwani. Hiyo peke yake inatuonyesha utofauti wa nabii wa kweli wa Mungu, na Nabii wa Uongo Muhamad


HAPA SIJAGUSIA NABII ALIZOTABIRI NA ZIKATIMIA

Wakati muhamad hakuna unabii hata mmoja amewahi kutabiri ukatokea ,
AKA hamis77, kwenye ujinga wako haujifichi chuki yako kwa uislam
Kwenye usabato wako unajiita jackwillpower , muuza duka anayejifanya kusoma zaidi ya muislam yeyote!
, ukianza kujadili uislam unajiita hamis kujustify islamophobia yako!
 
Nishakujibu ,kwakukuongezea kwakuwa wewe ni mfuasi wa muhamad

Yesu alisema ‘Mtawatambua kwa matunda yao’ (Mathayo 7:16).

Sasa ngoja nikuonyeshe matunda ya Ellen G. White ambayo yamebadilisha dunia nzima siyo mihemko, ni reality ambayo dunia nzima imeikubali, na science imethibitisha:

Afya na Lishe

EGW alihubiri kujizuia pombe, tumbaku, nyama nyingi, kahawa na kushikilia mboga na matunda.

Alisisitiza usafi, maji safi, hewa safi, mazoezi na usingizi wa kutosha (angalia Ministry of Healing, 1905).

Hivi sasa hii ndiyo msingi wa WHO (World Health Organization) na taasisi zote za afya duniani.

Sababu Adventist wanajulikana kuishi maisha marefu zaidi (Loma Linda – USA) inatokana na mafundisho haya ya EGW.


👉 Swali langu, Muhammad aliwahi kufundisha nini juu ya afya ambayo sayansi imekubali leo? Badala yake tunaona hadithi za kunywa mkojo wa ngamia au maziwa yake je, hii sayansi iko wapi? Na VITUKO vingi sana nikiweka hapa hapatatosha

Elimu na Maisha Bora

EGW alianzisha mfumo wa elimu ya holistic , kufundisha akili, mwili na roho.

Leo hii shule na vyuo vya Waadventista viko duniani kote, vinajulikana kwa nidhamu na maadili.


Hospitali na Utabibu

EGW alihimiza kujenga hospitali za madaktari wa afya ya asili na kuunganisha tiba na imani.

Ndiyo maana leo kuna hospitali nyingi kubwa za Adventist duniani, mfano Adventist Health System Marekani, Afrika, Asia.

Kwa hiyo, Ellen White aliweka msingi wa maisha ya afya, elimu na hospitali ambazo zimebadilisha dunia, na hadi sayansi inakubali. Hii ni ‘fruits’ , matunda yanayoonekana.

Sasa linganisha na Muhammad, hajawahi kufundisha chochote kinacholingana na sayansi ya afya leo, zaidi ya desturi za jangwani. Hiyo peke yake inatuonyesha utofauti wa nabii wa kweli wa Mungu, na Nabii wa Uongo Muhamad


HAPA SIJAGUSIA NABII ALIZOTABIRI NA ZIKATIMIA

Wakati muhamad hakuna unabii hata mmoja amewahi kutabiri ukatokea ,
Mbona Mtume Muhammad (s.a w) alitoa mafundisho kuhusu afya na usafi wa mwili ambayo yanaendana sana na kanuni za kisasa za tiba na sayansi ya afya Tibb an-Nabawi (Tiba ya Mtume) baadhi ya mafundisho yake

Usafi wa Mwili (Hygiene)
“Usafi ni nusu ya imani.” (Sahih Muslim)

Mtume alihimiza kunawa mikono kabla na baada ya kula, kuoga mara kwa mara, na kusafisha kinywa kwa mswaki mpaka alifikia kusema "lau nisingelitiliashaka(kuwatia uzito) juu ya umma wangu ningewaamrisha kupiga mswaki kabla ya kila swala".

Lishe na Kula kwa Mpangilio
Alikula kwa kiasi:
“Mwanadamu hajajaza chombo kibaya zaidi kuliko tumbo lake...” (Tirmidhi)
Alisema: "Tumbo lijazwe theluthi ya chakula, theluthi ya maji, na theluthi ya hewa."

Kujikinga na Magonjwa ya Kuambukiza
Mtume alisema
“Ikiwa utasikia juu ya tauni(kipindupindu) katika ardhi, basi usiingie humo. Na ikiwa ipo mahali ulipo, basi usitoke.” (Bukhari na Muslim)
Haya huo siyo msingi wa quarantine (kuzuiliwa kwa wagonjwa).

Alilala mapema na kuamka mapema kanuni inayotambulika leo kwa kuzingatia (circadian rhythm).
na Alipendekeza kulala upande wa kulia.

na kuhusu dawa Alitumia asali, habbatus-sauda (mbegu za mbarika), na maji ya zamzam kama tiba.
“Kwa kweli Habbatus-sauda ni tiba ya maradhi yote isipokuwa mauti.” (Bukhari)


Mtume alihimiza mazoezi kama
Kunyanyua silaha (upiganaji kwa upinde)
Kuogelea
Kukimbia
Kupanda farasi
ili kupata Afya ya Akili na Hisia Alihimiza utulivu, subira, dua na dhikr (kumkumbuka Allah) kama njia ya kutuliza moyo na akili.

marejeo sahihi ya Al‑Tibb al‑Nabawi (Prophetic Medicine) ya Ibn Qayyim al‑Jawziyya, juu ya tiba ya Mtume Muhammad (s.a.w), jinsi ya kuzuia magonjwa na matibabu ya asili. na maelezo ya vitabu vinavyohusiana nayo
kaangalie kitabu kama Zad al‑Maad ambapo sehemu
ya tiba ya Mtume imeingizwa.
 
AKA hamis77, kwenye ujinga wako haujifichi chuki yako kwa uislam
Kwenye usabato wako unajiita jackwillpower , muuza duka anayejifanya kusoma zaidi ya muislam yeyote!
, ukianza kujadili uislam unajiita hamis kujustify islamophobia yako!
Wewe mpumbavu mkubwa sana kila anayepinga ujinga wenu mnasema ni hamis ,shenzi kabisa
 
Mbona Mtume Muhammad (s.a w) alitoa mafundisho kuhusu afya na usafi wa mwili ambayo yanaendana sana na kanuni za kisasa za tiba na sayansi ya afya Tibb an-Nabawi (Tiba ya Mtume) baadhi ya mafundisho yake

Usafi wa Mwili (Hygiene)
“Usafi ni nusu ya imani.” (Sahih Muslim)

Mtume alihimiza kunawa mikono kabla na baada ya kula, kuoga mara kwa mara, na kusafisha kinywa kwa mswaki mpaka alifikia kusema "lau nisingelitiliashaka(kuwatia uzito) juu ya umma wangu ningewaamrisha kupiga mswaki kabla ya kila swala".

Lishe na Kula kwa Mpangilio
Alikula kwa kiasi:
“Mwanadamu hajajaza chombo kibaya zaidi kuliko tumbo lake...” (Tirmidhi)
Alisema: "Tumbo lijazwe theluthi ya chakula, theluthi ya maji, na theluthi ya hewa."

Kujikinga na Magonjwa ya Kuambukiza
Mtume alisema
“Ikiwa utasikia juu ya tauni(kipindupindu) katika ardhi, basi usiingie humo. Na ikiwa ipo mahali ulipo, basi usitoke.” (Bukhari na Muslim)
Haya huo siyo msingi wa quarantine (kuzuiliwa kwa wagonjwa).

Alilala mapema na kuamka mapema kanuni inayotambulika leo kwa kuzingatia (circadian rhythm).
na Alipendekeza kulala upande wa kulia.

na kuhusu dawa Alitumia asali, habbatus-sauda (mbegu za mbarika), na maji ya zamzam kama tiba.
“Kwa kweli Habbatus-sauda ni tiba ya maradhi yote isipokuwa mauti.” (Bukhari)


Mtume alihimiza mazoezi kama
Kunyanyua silaha (upiganaji kwa upinde)
Kuogelea
Kukimbia
Kupanda farasi
ili kupata Afya ya Akili na Hisia Alihimiza utulivu, subira, dua na dhikr (kumkumbuka Allah) kama njia ya kutuliza moyo na akili.

marejeo sahihi ya Al‑Tibb al‑Nabawi (Prophetic Medicine) ya Ibn Qayyim al‑Jawziyya, juu ya tiba ya Mtume Muhammad (s.a.w), jinsi ya kuzuia magonjwa na matibabu ya asili. na maelezo ya vitabu vinavyohusiana nayo
kaangalie kitabu kama Zad al‑Maad ambapo sehemu
ya tiba ya Mtume imeingizwa.
Hizo ulizofaja zilikuwa tiba za jadi kwa jamii ya Kikureshi,

Vituko vingi vipo kwenye hadithi Hadi aibu kuweka hapa ,
Mkojo wa ngamia: Mtume aliwahi kushauri wagonjwa wanywe mkojo na maziwa ya ngamia kama tiba (Bukhari). Kwa mtazamo wa afya, mkojo ni taka za mwili zilizojaa bakteria na vimelea, si tiba salama. Hii haiwezi kuendana na afya ya kweli.

Habbatus-sauda,Hadith inasema “habbatus-sauda ni tiba ya maradhi yote isipokuwa mauti.” (Bukhari). Kisayansi hakuna mbegu inayoweza kutibu magonjwa yote. Inaweza kuwa na faida fulani, lakini si tiba ya jumla ya magonjwa yote.

Maji ya zamzam na asali, Yameelezwa kama tiba ya maradhi mbalimbali. Ukweli ni kwamba maji na asali vina faida, lakini si tiba ya kila ugonjwa.

Mazoezi na usafi,Ni kweli haya ni mazuri, lakini hayakuwa mafundisho mapya. Watu wa kale wengi walikuwa na desturi za kuoga, kupiga mswaki wa miti, kufanya mazoezi ya kupigana, kuendesha farasi nk. Hivyo si Muhammad ndiye aliyegundua misingi hiyo.


Kwa hiyo, ukiangalia kwa upana, mchanganyiko wa mafundisho ya kiafya ndani ya Hadith unaonyesha kuna mambo mazuri, lakini pia kuna mambo ya ovyo kabisa ambayo hayawezi kuendana na afya ya kisasa.
 
AKA hamis77, kwenye ujinga wako haujifichi chuki yako kwa uislam
Kwenye usabato wako unajiita jackwillpower , muuza duka anayejifanya kusoma zaidi ya muislam yeyote!
, ukianza kujadili uislam unajiita hamis kujustify islamophobia yako!
Hivi kwanin kila anayepinga uchafu wa uislamu lazima mnihusishe Mimi

Kule jukwaa la international hivo hivo, mna shida nyie
 
Back
Top Bottom