sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,896
- 5,302
Hello wanajamvi, wapenzi wa Movie na Series, kama umeshawahi kuona series inaitwa Strike Back tayari SEASON 3 ipo hewani kama hujawahi kuiona kabisa basi itafute inafaa kuangalia hasa ukichukulia tangu 24 hrs iishe hapajawa na series yenye gumzo so nadhani hii kama unapenda kuangalia fujo, bunduki na kila aina mapigano basi itakufaa ila usitazame na watoto coz kuna mtu anapenda ngono humo ndani ni hatari.
Kwa ufupi ni kwamba ndani ya jeshi la Uingereza kuna kikosi kinaita SECTION 20 kinafanya kazi za upepelezi hasa magaidi na this time wameanzia Nchi jirani kabisa Kenya na Somalia na katika hii Season 3 wameweka base yao South Africa japo wanahama hama kulingana na lilipo tukio......kazi kwenu.
Kwa ufupi ni kwamba ndani ya jeshi la Uingereza kuna kikosi kinaita SECTION 20 kinafanya kazi za upepelezi hasa magaidi na this time wameanzia Nchi jirani kabisa Kenya na Somalia na katika hii Season 3 wameweka base yao South Africa japo wanahama hama kulingana na lilipo tukio......kazi kwenu.