Kwa wapenzi wa documentaries

kuna nyingine nimecheki karibuni inaitwa the act of killing. inahusu jinsi serikali ya indonesia ilikuwa inaua wa communist. sijaipenda sana japo ilikuwacnominated kwenye oscar.

Niliiona hii, jamaa walikua wanauana brutally kwel. Kunyonga mtu na waya ilikua kawaida 2
 
jana nimeicheki fahreinht 911. ni documentary nzuri sana. ni highest grossing documentary of all time!.
 
pia karibuni nimecheki the great serengeti ambayo inahusu kuhusu kuhamahama kwa nyumbu, ni nzuri sana.
 
jana nimeicheki fahreinht 911. ni documentary nzuri sana. ni highest grossing documentary of all time!.

Mkuu kama umeipenda hiyo nakushauri pia utafute Bowling for Columbine, Sicko na Capitalism, a love story ambazo zote ni za Michael Moore.
 

Mkuu mi pia mpenz sana wa documentaries ila huwa sizipati kwa sana,,km hizo ulizotaja unazo kwenye compyuta na uko Dar na hutojali bac naomba nije kuzibeba na flash
Tafadhali..
 
Mkuu kama umeipenda hiyo nakushauri pia utafute Bowling for Columbine, Sicko na Capitalism, a love story ambazo zote ni za Michael Moore.
bowling fo columbine niliwahi kuiona, nilikuwa sijui kama michael yuko fiti namna hii. ntafuta na hizo zingine.
 

Sure!!! Mi huwa nikipitia huu uzi napata documentary ambazo sijaziona , then kwa kasi ya ajabu naenda torrent kuzidownload!!!! Maisha yanaendelea.
 
Sure!!! Mi huwa nikipitia huu uzi napata documentary ambazo sijaziona , then kwa kasi ya ajabu naenda torrent kuzidownload!!!! Maisha yanaendelea.
mi mwenyewe nimepata nyingi sana. leo nimecheki moja inaitwa cuban missile crisis three men go to war. ni documentary nzuri sana. bila busara na subira za kennedy leo dunia ingekuwa na historia nyingine kabisa.
 
kuna hii inaitwa auschwitz; nazi's final solution inahusu jinsi wanazi walivyokuwa wanaua wayahudi, wasoviet, waromani na wapoland. inasisimua na kuhuzunisha sana. mbaya zaidi wanajeshi walikuwa wanaamini wanafanya kitu sahihi kwaajili ya nchi yao naa waliua hadi watoto. wanasema jamaa waliua watu 14m. walivyoona kuua kwa bunduki kunawaletea nightmares ndio wakaanza kutumia gesi Bulldog niliona sehemu unasema unapenda documentaries. share nasi.
 
Last edited by a moderator:

Nahisi nimeshawahi kuona kitu kama hiko kupitia youtube
 
niilidownload kitabu sun-tsu. kipo kwa mfumo wa higlight kama kitabu cha methali kwenye bible sikukipenda sana. juzi nemecheki documentary yake ya history channel, aisee ni nzuri sana napanga nikisome tena. wanasema the god father is the sum of all wisdom, no sun-tsu is.
 
hivi karibuni nimecheki documentary moja inaitwa food inc. inazungumzia jinsi makampuni makubwa yalivyomonopolize biashara ya chakula na athari zake kwa wakulima na walaji. jinsi azam anavyojitanua na sisi itakuja sasa hivi. si mbaya kujitanua ila documentary kama hizi zinaatakiwa kutusaidia kuweka taratibu kuepuka maafa yawapatao wenzetu. ni documentary nzuri sana
 
.Bravo two zero
.the longest police shootout (hollywood)
.Aircrash investigation
.Seal team six (raid on Osama bin Laden)
.Sniper bulletproof
.Apocalypse The second world war
.Comando frontline
.Inside 11.9
.Desert Storm
.Airbus A380 the giant of skies
.Boeing 787 the dreamliner
.Missing Malaysia plane MH370
.battle station Apachehelicopter
.A night on earth
.Mighty ship ema maersk
...
.....
......
...........
......
ziko nyingi sana zingine mpaka nifungue computer ndo ntazikumbuka
 
.

.Airbus A380 the giant of skies
.Boeing 787 the dreamliner
.Missing Malaysia plane MH370
.battle station Apachehelicopter

ziko nyingi sana zingine mpaka nifungue computer ndo ntazikumbuka
hizi ntazitafuta hasa ya ema nasikia ndio largest container ship?
 
Naona watu manchanganya Documentary and action or thriller movies. Documentary ni true story isipokuwa imetengenezewa movie mfano.
Megastructure ya Hong kong Airport
Sky City in Japan hii iko kwenye plan ila ukiangalia demo yake tu unachoka
Raid in Entebbe 1977
The Palm Island, Dubai UAE au megastructure Development
 
meltdown ma hippies 'watoto wa mjini' wa Wall Street na the City London financial hub walivyowazidi akili
maginjwi na usanii wao wakangusha uchumi wa dunia..yani kama utani vile..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…