nilukuwa natafuta hiyo documentary ya enron nimeikosa ila nimepata kitabu, kiko bomba sana
Thanx kwa apology !!! ni uungwana kubadilishana mawazo bila kukwaruzana , that's great!
Mkuu kuna tofauti ndogo sana kati (thin line between ) ya documentary na conspiracy, ingawa zinafafana sana namna ya kuleta ujumbe.,nadhani hata uienda wikipedia wamefafanua!. lengo la documentary ni kuleta uelewa wa wewe unayesikiliza au kuangalia kipindi hicho, ulike conspiracy lengo lake ni kukuchagulia upande wewe msikilizaji kwa kukupa taarifa za upande fulani, ndio maana nikakwambia kuwa mara nyingi huwa haziwi aired kwa kuwa contents zake ni uchochezi dhidi ya serikali au kikundi fulani.
Umekuwa ukirudia kuwa umeangalia documentary nyingi ,mi nasema nimeziona za kutosha !! naepuka kukwambia nimeziona ngapi sababu sikumbuki na wingi unaosemea siujui unatumia kipimo gani.katika list yako, smart guys (Enron) ni moja ya documentary ,ile ya farenheit 9/11 ni conspiracy.
Kifo cha rais JFK ni moja vifo vyenye conspiracy nyingi sana , kina husishwa na mafia , kuna wenye kuhusisha na russia's KGB , inner cycle haters , womenising habits za JFK .n.k, nimeangalia filamu za kutosha kuhusiana na kifo cha rais huyo ,mind you siku kennedy anauwawa body guard alikua Clinton Hill, maelezo yake ukisikiliza utagundua kifo kilichotokana na just one hatter.
next time chunguza unachoangalia !! ukiona narrator anaelemea upande fulani na wachangiaji wako upande wa msimuliaji jua umenasa kwenye mtego wa conspiracy, It's a bit tricky kufahamu hilo, kwa kuwa nao ni maexpert wa kufanya idea zao kuwa karibu na ukweli,
qMkuu naona we have to agree to disagree kwani inaonekana tuna uelewa tofauti, anyway it was great discussion, I really enjoyed it. Tuendelee kuelimishana kupitia jukwaa letu la JF.
Thanx too! nami nimenjoy pia
thanks mkuu. lakini nimependa sana kitabu. mi sio mtu niliyesoma biashara hivyo nafurahi kujifunza vitu kama liabilities, equity, poisonous pills, golden parachute na ishu kibao kuhusu biashara.Oh pole!! lakini hutakiwi kuikosa !!
Fanya hivi , kwenye search bar type "smartest guys in the room" nina asume kuwa unatumia torrents as your downloading means , hakikisha kwenye list yako ya search engines ipo bitsnoop, pirate bay , kickass ,vector etc.. Mkuu unlike movies or music ,documentaries hazipatikani kila search engines.
kama unatapendelea kusikiliza nenda bbcpodcast/documentary zipo nyingi sana pale hadi za miaka ya nyuma .unaweza ku downloads na ku save as mp3,
kama ni mpenzi wa documentaries share ulizoangalia pamoja nasi. itapendeza ukitueleza kidogo inahusu nini. mimi naanza na darwins niightmares. hii imetengenezewa mwanza tanzania na inazungumzia jjinsi samaki wasivyo nufaisha wenyeji..
wewe umeona zipi?
Kumbe JF pia kuna wapenzi wa documentaries. Huu mimi ni ugonjwa wangu, napenda zaidi Documentaries kuliko hata movies. Kali nilizoziona mpaka sasa ni :
1.Bowling for Columbine (Kuhusu wanafunzi wa Columbine high school, huko Colorado USA walivyowaua wenzao na gun culture huko
Marekani kwa ujumla)
2.Inside Job (Kuhusu nani hasa walihusika kusababisha global financial crisis mwaka 2008)
3.AIDS Inc. (Kuhusu jinsi ambavyo tatizo la Ukimwi limegeuzwa kuwa la kisiasa na si la kiafya)
4.Fahrenheit 911 (Kuhusu jinsi wamarekani walivyoongopewa na serikali yao mpaka wakakubali kuvamia Iraq baada ya matukio ya 9/11)
5.The smartest guys in the room (Kuhusu jinsi Kampuni kubwa ya nishati ya ENRON ilivyoporomoka)
6.Capitalism - a love story (Hii ni kama Inside Job hapo juu)
7.Religulous (Bill Maher ana-exprole imani za dini mbalimbali kubwa duniani)
8.Sicko (Inahusu jinsi gani mfumo wa huduma za afya nchini Marekani ulivyokuwa mbovu)
9.How to get rich selling drugs (Hii inajieleza yenyewe, utakutana na wataalamu wa shughuli hizo)
10.Inside the American Mob (Part 1-6) (Kwa wale wanaopenda kujua kuhusu historia ya American Mafia hizi zitawafaa)
11.The Grizzly Man ( Timothy treadwell aliwapenda sana Grizzly Bears wa huko Alaska, akaenda kuishi sehemu wanazoishi ili kufuatilia
maisha ya na "kuwalinda". Akaja kuuawa, na Bears hao hao aliokuwa anawalinda!)
12.Documentaries zoote kuhusu Tupac
13.Something from nothing: The art of Rap ( Hii inahusu history ya muziki wa rap)
14.Welcome to Deathrow ( Historia ya mojawapo ya hip hop record label zilizopata umaarufu mkubwa)
15.Beef (Part 1-4) (Huhusu historia ya beef (malumbano) kwenye muziki wa rap)
16.Chasing Maddoff (Whisleblowers waliokuwa wakimfuatilia tapeli Bernard Maddoff)
17.The Carter Documentary (Maisha ya Lil Wayne)
18.Living with Michael Jackson ( Mwandishi wa habari Martin Bashir alipewa nafasi ya kuishi na Michael Jackson kwa miezi 6)
19.Backstage (Roc-a-fella, Ruff Ryders Hardknock Life Tour)
20.Street is watching ( Documentary ya kwanza ya Jay Z)
21.Fade to black ( Pia ya Jay Z)
Na nyingine nyingi siwezi kutaja zote.
nijaribu kuitafuta torrent.eu. unaintall kwanza program yake. ukipata mtu wa kuelekeza kwa vitendo ndiyo utaelewa fresh.
ila hata ushahidi uweje uwepo wa samaki wattu ni hekaya tu.
sure mkuu. niliandika vile sababu ninajua wanachoita samaki mtu ni samaki aina ya nguva.Mkuu kwani nini kazi ya ushahidi...nielewavyo mimi kazi ya ushahidi ni kuprove any fact..
Sasa kama wewe huna ushahidi unaopinga ushahidi unatolewa na watafiti..au unabisha tu kwa kuwa hutaki kukubali...
Napenda documentaries because huwa zinatoa unknown/hidden facts au zinakupa invented/discovered facts mwisho nakufanya huwe na mawazo ambayo hajajifunga..you thinking outside the box
Mkuu hatubishani tunaeleweshana!! Ndio thamani halisi ya jamvi hili , kuna tofauti kati ya documentary na conspiracy theories japo zote huonekana kama zinafanana , documentary ni factual story zilizowahi kutokea kunakuwa na msimuliaji ambaye anakuunganisha na wahusika wa stori kwa kuwahoji au kuchukua mawazo yao, mara zote ,yeye huwa hayuko upande wowote wa story .nia na madhumuni ni kukupa wewe msikilizaji uelewa wa jambo linalozungumziwa bila kukuchagulia upande..
conspiracy theories nazo huwa ni fact zilizowahi kutokea , tofauti ni kuwa msimuliaji huwa ana upande anaoelemea na wahusika wanaohojiwa au kutoa maoni huwa wahusika kamili wa tukio, ambao hutoa maoni ya kushabihiana na mawazo ya msimuliaji ,malengo hasa ni kukuaminisha mambo ambayo mtengenezaji au msimuliaji anadhani yako hivyo.
mkuu mara nyingi documentary sources zake huwa ni news tv channels science findings and the likes , bbc cnn discovery nat geo history chanell e.tc na unaweza kutrace mpaka siku zilipokuwa aired kwa mara ya kwanza ,conspiracy mara nyingi hutokea kwa kikundi au mtu fulani ambaye anaopingana na serikali yake kwa sababu kadhaa, nyingi ya theories zinakufikia kwa namna ya dvd ,kwa sababu sources zake sio reliable,mfano michael moore ni maarufu sana amerika kwa upande wa conspirancy.
Kuna moja inautwa "THE SHRUB OF TURIN RESEACH" Hii inahusu Vatican walivyokubali kutoa kipande cha msalaba alichigongewa YESU na kuweza kufanya carbon 14 dating, if Is true that up to the present the shrub JESUS crucified aged 2000 years!
mimwenyewe napenda sana za mainjinia. nilicheki moja wanaonyesha uujenzi wa hongkong international airport ni nzuri sana. kuna nyingine walikuwa wana design reli kukatisha bahari ya antlantic nayo nzuri sana. natafuta zinazohusu ujenzi wa hoover na 3 gorge dams.Mi napenda sana za kijasusi!!! Juzi nimemaliza moja inayoongelea shirika la kijasusi la israel yaani MOSSAD...ya CIA ndo nimeimaliza!!!
Kuna hizi za hawa ma injinia wanavyoendesha ma project makubwa duniani!!! Hizi zinanivutia sana hasa jinsi jamaa wanavyofanya kazi!!!