data JF-Expert Member Apr 9, 2011 26,151 22,726 Jan 15, 2012 Thread starter #21 TUMY said: Pombe ina nafasi kubwa sana katika kuvunja NDOA; hakuna kingine.[/QUOTE aiseeee..... Click to expand...
TUMY said: Pombe ina nafasi kubwa sana katika kuvunja NDOA; hakuna kingine.[/QUOTE aiseeee..... Click to expand...
Keren_Happuch JF-Expert Member Jan 14, 2011 1,874 935 Jan 15, 2012 #22 data said: vp kwa your mate? Click to expand... Nayo haina nafasi kwake pia.
BINTI77 Member Sep 13, 2011 83 11 Jan 15, 2012 #24 pombe ina uwezo wa kuvunja ndoa kwa 99.9%,hivyo haifai hata kidogo.
N Neytemu Member Nov 7, 2010 83 1 Jan 15, 2012 #25 Pombe ikizidi kipimo inahatarisha ndoa,inaharibu amani kabisaaaaaa
N Ninaweza JF-Expert Member Dec 14, 2010 12,025 6,777 Jan 16, 2012 #26 Naona wana wake woote wanaiponda, inamaana nikija kuoa naweza shinikizwa kuacha ndovu enhee! Laki mbona wengine tunashiriki nao kuzikunywa?
Naona wana wake woote wanaiponda, inamaana nikija kuoa naweza shinikizwa kuacha ndovu enhee! Laki mbona wengine tunashiriki nao kuzikunywa?