Kwa wanawake/wasichana wote hapa JF

Kwa wanawake/wasichana wote hapa JF

Wanawake wengi wana stress wanatafuta bega la kulalia kutoa maumivu yao. Sasa mwanaume mwenye mke huwa kishasoma madhaifu ya wanawake walio umizwa.
a shoulder to cry on isaa dick to ride on !! mtapata hao wachache wasiojitambua
 
Ni kweli huwa tunajali sana ila angekuwa mume wako kuna raha yake zaidi. Vingi tunavyofanyaga ni unafiki ili mtuone tumekufa kwa mchepuko
mimi hilo nalijua japo hua tunajipaga matumaini hakuna cha peke yako lakini ukiangalia kwa undani zaidi mwisho wasiku anayeumia ni mwanamk,amewekeza akili muda na mapenzi sehem isio sahihi
 
Unatakiwa ujipitishe pitishe hapo, uiname iname ujifanye umedondosha kanga 😀 😀
yani mimi nihagaike na ndoano wakat chambo ninacho mkononi, mimi sio wa mitego ni baby nina nyege nataka shoo sipindishi sina kona sina mbambamba kwa nn nimkere mtu starehe yake mpira s utaisha tu
 
Huo mda wa kukumbushan mwenye mume lazma tufanye awe anaumia Aisee!! Nass tunajiunga na wale wahuni wa kataa ndoa kwa ajil ya afya ya akil zetu muhimu tupumue arud asirud atajua yye na misalaba yake
 
Huo mda wa kukumbushan mwenye mume lazma tufanye awe anaumia Aisee!! Nass tunajiunga na wale wahuni wa kataa ndoa kwa ajil ya afya ya akil zetu muhimu tupumue arud asirud atajua yye na misalaba yake
utaamua mwenyewe tunazika au tunasafirisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom