Kwa wanawake/wasichana wote hapa JF

Kwa wanawake/wasichana wote hapa JF

na mwanamke ukishampea hela na muda umempata haijalishi utakua umeoa au la
Wanawake wengi wana stress wanatafuta bega la kulalia kutoa maumivu yao. Sasa mwanaume mwenye mke huwa kishasoma madhaifu ya wanawake walio umizwa.
 
Na sisi tuliofall kwa wababa walio oa tunacomment hapahapa? 😀😀😀😀


Anyways mi niko single ila wababa wenye ndoa zao aki wanakuga poa sana
Sana mwanzoni ila katikati ndio shughuli huanza
 
Ndio mwisho wasiku unakuta anakuacha unamtoto wake na pale unapomwitaji hayupo unabaki single mother yaani kwa umri huu haifai kabisa walahi.
wewe uko very good upstairs, mwanamke ukishajitambua hakuna wa kukushusha thaman yako na ukishaelewa nafasi yako unaishi fresh bila stress
 
Umesema vyema.

●Wanaume tunachepuka kwa sababu ya tamaa tu tukishasuuza rungu baada ya muda tunakupiga chini tunaendelea na wake zetu au tunatafuta mchepuko mwingine

●Wakumbushe wakiwa wanatoka na waume za watu wafanye juu chini watafute watu wa kuwaoa wasiridhike na waume za watu wakichelewa watajikuta umri umeenda hawajaolewa
 
Afu unakuwa na mume wa mtu bahili piga chini huyo sio mumeo we kula hela na akikuita sehemu muulize una shilingi ngapi leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom