kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,824
Habari za wakati huu,
naomba kwa dhati tuzungumzie suala hili,wote wanaume kwa wanawake...kwa nini wanawake wanatoka nje ya ndoa,?sisemi kuwa wanaume hawatoki nje ya ndoa,ila hata ukiangalia thread nyingi za humu jamvini,nyingi ni za wanaume wanaokuwa na uhusiano na wanawake walio kwenye ndoa,..kwa vyovyote vile kuna tatizo hapo.,na ndipo nataka tuongelee,hivi wanaume walio kwenye ndoa wana matatizo gani,au hao wanawake wanamatatizo gani mpaka watoke nje ya ndoa.?
mimi nawajua wadada watano walioolewa na wana mahusiano nje ya ndoa..na najua humu jamvini mko wengi wenye mifano,
na tujadili.
naomba kwa dhati tuzungumzie suala hili,wote wanaume kwa wanawake...kwa nini wanawake wanatoka nje ya ndoa,?sisemi kuwa wanaume hawatoki nje ya ndoa,ila hata ukiangalia thread nyingi za humu jamvini,nyingi ni za wanaume wanaokuwa na uhusiano na wanawake walio kwenye ndoa,..kwa vyovyote vile kuna tatizo hapo.,na ndipo nataka tuongelee,hivi wanaume walio kwenye ndoa wana matatizo gani,au hao wanawake wanamatatizo gani mpaka watoke nje ya ndoa.?
mimi nawajua wadada watano walioolewa na wana mahusiano nje ya ndoa..na najua humu jamvini mko wengi wenye mifano,
na tujadili.