Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 471
lol Maana heading ni WANAWAKE Tu!
Nashangaa Babu Asprin na Scofield wameweka kambi?
lol Maana heading ni WANAWAKE Tu!
Mfano ndo umeanza uhusiano na mWANAUME, siku yakwanza mmenda kwa ajili ya kuNGONOKA mmeingia chumbani HUYO, anatoa HIV rapid test utafanyaje hapo
SEMENI KWELI
Leo ndio nimeamini rasmi kuwa Kongosho ni KE!
mimi nilishawai kubebwa juu juu angaza siriasShosty ofcourse mshtuko ni muhimu maana haukujiandaa kwa zoezi hilo halafu kupima inatakiwa kwa hiari yako. Japo inaonyesha anajali afya zenu ili mfurahie mchezo. Mpime wotee!!
Ila kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa afya yako na unapima mara kwa mara hutashangaa kivile..mimi naona kufanya mapenzi na mtu hujui status yake hata kwa rubber mbili kwa mpigo bado naona hatari...
Vp umeshukizwa nini ''tabasamu'' ?
Pamoja sana mkuu!Mie ke, naomba basi nishinde na binti siku nzima
Kwa Daslam, Iringa, Mbeya, Arusha, Tanga na Mtwara inaongezeka... (usiniulize source tafazali).... huko kwingine "naskia" inapungua. Nna mpango wa kuhama Daslam nikajilie maraha kavukavu mikoani huko.Shem think... think! Hii habari unafikiri wangapi wanaijua ila hawaizingatii? Hivi number ya waathirika inazidi ama inapungua as time goes on?
Uanamke bila ya Mwanaume, HAUWEZEKANI. sOURCE: Babu yake ODM.Nashangaa Babu Asprin na Scofield wameweka kambi?
Njoo! Manyara!Kwa Daslam, Iringa, Mbeya, Arusha, Tanga na Mtwara inaongezeka... (usiniulize source tafazali).... huko kwingine "naskia" inapungua. Nna mpango wa kuhama Daslam nikajilie maraha kavukavu mikoani huko.
Mie ke, naomba basi nishinde na binti siku nzima
kweli sis mipira sio kabisa.ndo raha ya kupima.ndo maana wanawake hawatulii maana hawafaidi kila mahali mipira mipira chukua mmoja pimeni afya mle raha ya dunia khaaaaKusema Kweli ngono salama ipo really straining.. Use of rubber sababu ya malengo ya kuzuia HIV/AIDS ni muhimu saana but inaboa... Kama kweli Kid sis kuna Mwanaume anakua na hicho kipimo, naona it is for the best, mkisha pimana.... No LIMITATIONS.... Raha mwajipa wenyewe! Hivo nitapima Asap on the condition nae pia anapima...:nerd:
anzia katavi,nasikia na pemba kule hakuna ngoma kabisa.kumbe wapemba sio kwa yale mambo eeeh?Kwa Daslam, Iringa, Mbeya, Arusha, Tanga na Mtwara inaongezeka... (usiniulize source tafazali).... huko kwingine "naskia" inapungua. Nna mpango wa kuhama Daslam nikajilie maraha kavukavu mikoani huko.
Pamoja sana mkuu!
Naondoka zangu mwaya kwani nimeenda kwa ajili ya kupimana au...?Mfano ndo umeanza uhusiano na MWANAUME, siku yakwanza mmenda kwa ajili ya KUNGONOKA mmeingia chumbani HUYO, anatoa HIV rapid test utafanyaje hapo
SEMENI KWELI
Whaaaaaaaaat?Ila ukiniachia huyo ke,ukikuta nimemsuka mabutu tusilaumiane badae.
mimi nilishawai kubebwa juu juu angaza sirias
Mfano ndo umeanza uhusiano na mWANAUME, siku yakwanza mmenda kwa ajili ya kuNGONOKA mmeingia chumbani HUYO, anatoa HIV rapid test utafanyaje hapo
SEMENI KWELI
Nashangaa Babu Asprin na Scofield wameweka kambi?
Kwa Daslam, Iringa, Mbeya, Arusha, Tanga na Mtwara inaongezeka... (usiniulize source tafazali).... huko kwingine "naskia" inapungua. Nna mpango wa kuhama Daslam nikajilie maraha kavukavu mikoani huko.
Mfano ndo umeanza uhusiano na mWANAUME, siku yakwanza mmenda kwa ajili ya kuNGONOKA mmeingia chumbani HUYO, anatoa HIV rapid test utafanyaje hapo
SEMENI KWELI