Kwa Wanawake tu...................

Dena Amsi

R I P
Aug 17, 2010
13,082
4,262
Je akupendae (mumeo/mchumba/mvulana) anakuitaje???

Nimepata hii sms nikaona ngoja niirushe hapa maana imenichekesha kidogo:

1. Honey= Kimeo
2. Dear = Wakuzugia
3. Sweet = Mshamba
4. My Love= Zezeta
5. Baby=Jinga
6. Mpenzi = Malaya
7. Darling = *****
8. Wife = Kahaba

Kuna ka ukweli hapo kwenye namba 2, na 5 kwa upande wangu
 
hahahahahahah lol
sasa nadhani muda wa ku lala umefika
dahhhh umeniacha hoi sis..
asantee
 
mi demu wangu huwa namwita kicheche, ila samahani kwa kuingia choo cha kike
Kiranja shauri lako,hawakawii hawa kukurusha kichura!
by the way mi wa kwangu huwa namwita kwa ubin wake' Binti Abdallah',nae huitika 'rabeka bwana',sasa hawa wa MMU sijui wanawaitikiaje waume/mabwana zao? ukimwita 'Dena' anaitika 'unataka nini',du e bana eeh shughuli!
 
Mamamaaa, ngoja nifute nibadilishe jina fasta, sjiui hata nimwite nani sasa, yaani kweli my wife kumbe anaiita nanihii kumbe maana yake ndio hiiii. Kha, sorry mbona kama vile nimekosea njia?? Shit sio huku, kwaheri
 
Kiranja shauri lako,hawakawii hawa kukurusha kichura!
by the way mi wa kwangu huwa namwita kwa ubin wake' Binti Abdallah',nae huitika 'rabeka bwana',sasa hawa wa MMU sijui wanawaitikiaje waume/mabwana zao? ukimwita 'Dena' anaitika 'unataka nini',du e bana eeh shughuli!

Mie naitwa Dena hakuna cha honey wala nini. Bishanga wafanya nini huku??
 
Je akupendae (mumeo/mchumba/mvulana) anakuitaje???

Nimepata hii sms nikaona ngoja niirushe hapa maana imenichekesha kidogo:

1. Honey= Kimeo
2. Dear = Wakuzugia
3. Sweet = Mshamba
4. My Love= Zezeta
5. Baby=Jinga
6. Mpenzi = Malaya
7. Darling = *****
8. Wife = Kahaba

Kuna ka ukweli hapo kwenye namba 2, na 5 kwa upande wangu

Dah nimeingiza njia tofauti sahamani
 
mmh..mbona kuntisha!?? nitapitia simu yake leo...ngoja nimpigie tukutane posta nkitoka kazini...oops ts 4:44pm...betta hurry..bye 4 nw!
 
Aiseee...sasa kama mtu ndivyo unavyomtafsiri hivyo unakua nae wa kazi gani?!

Nwy poleni wababa‘!
 
Je akupendae (mumeo/mchumba/mvulana) anakuitaje???

Nimepata hii sms nikaona ngoja niirushe hapa maana imenichekesha kidogo:

1. Honey= Kimeo
2. Dear = Wakuzugia
3. Sweet = Mshamba
4. My Love= Zezeta
5. Baby=Jinga
6. Mpenzi = Malaya
7. Darling = *****
8. Wife = Kahaba

Kuna ka ukweli hapo kwenye namba 2, na 5 kwa upande wangu

Hakuna Husband, safi sana
Napita tu . . . sorry
Bye . . . :car::car:
 
Back
Top Bottom