athante Lizzy unajua inaumaaeh!!!!Aiseee...sasa kama mtu ndivyo unavyomtafsiri hivyo unakua nae wa kazi gani?!
Nwy poleni wababa!
athante Lizzy unajua inaumaaeh!!!!
la azizi je?
naomba maana ya namba saba tafadhali...
Je akupendae (mumeo/mchumba/mvulana) anakuitaje???
Nimepata hii sms nikaona ngoja niirushe hapa maana imenichekesha kidogo:
1. Honey= Kimeo
2. Dear = Wakuzugia
3. Sweet = Mshamba
4. My Love= Zezeta
5. Baby=Jinga
6. Mpenzi = Malaya
7. Darling = *****
8. Wife = Kahaba
Kuna ka ukweli hapo kwenye namba 2, na 5 kwa upande wangu
Je akupendae (mumeo/mchumba/mvulana) anakuitaje???
Nimepata hii sms nikaona ngoja niirushe hapa maana imenichekesha kidogo:
1. Honey= Kimeo
2. Dear = Wakuzugia
3. Sweet = Mshamba
4. My Love= Zezeta
5. Baby=Jinga
6. Mpenzi = Malaya
7. Darling = *****
8. Wife = Kahaba
Kuna ka ukweli hapo kwenye namba 2, na 5 kwa upande wangu
Je akupendae (mumeo/mchumba/mvulana) anakuitaje???
Nimepata hii sms nikaona ngoja niirushe hapa maana imenichekesha kidogo:
1. Honey= Kimeo
2. Dear = Wakuzugia
3. Sweet = Mshamba
4. My Love= Zezeta
5. Baby=Jinga
6. Mpenzi = Malaya
7. Darling = *****
8. Wife = Kahaba
Kuna ka ukweli hapo kwenye namba 2, na 5 kwa upande wangu
Ahsante sana kwa kunijulisha haya thats why I like this jf manake hii no 2 na 5 ndi unapendaga sana kuniita kumbe huwa unamaanisha hivieeh?! Inshaalwa natafuta mke mwingine kuanzia sasa!
Je akupendae (mumeo/mchumba/mvulana) anakuitaje???
Nimepata hii sms nikaona ngoja niirushe hapa maana imenichekesha kidogo:
1. Honey= Kimeo
2. Dear = Wakuzugia
3. Sweet = Mshamba
4. My Love= Zezeta
5. Baby=Jinga
6. Mpenzi = Malaya
7. Darling = *****
8. Wife = Kahaba
Kuna ka ukweli hapo kwenye namba 2, na 5 kwa upande wangu