MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,050
Umofia kwenu!
Kuna mavazi ambayo yamezoeleka kuvaliwa misibani au kwenye mikusanyiko yeyote ile iwe harusi au sherehe zingine!
Binafsi nahitaji kuelezwa au kujuzwa kama huwa ni fashion au ni nini!
Kuna wanawake wanavaa madera then nguo ya ndani inakuwa ndefu (namaanisha underskirt, tonja, gagulo) yaani unakuta dera limefika kwenye ankle lakini ile nguo ya ndani inaizidi dera yaani unalikuta inaliburuza! Au wengine hufika mbali kiasi hunyanyua dera anatembea ameshikilia dera!
Hivi ile huwa ni fasheni au ni nini jamani! Binafsi mie sielewi kabisa concept ya uvaaji ule ni kuonyesha zile underskirt za ndani au ni nini!
Ngoja 'matomaso' tuwataftie picha tuiweke.
Karibuni wapenda 'fashoon'!
cc Nalendwa ,Heaven Sent
Kuna mavazi ambayo yamezoeleka kuvaliwa misibani au kwenye mikusanyiko yeyote ile iwe harusi au sherehe zingine!
Binafsi nahitaji kuelezwa au kujuzwa kama huwa ni fashion au ni nini!
Kuna wanawake wanavaa madera then nguo ya ndani inakuwa ndefu (namaanisha underskirt, tonja, gagulo) yaani unakuta dera limefika kwenye ankle lakini ile nguo ya ndani inaizidi dera yaani unalikuta inaliburuza! Au wengine hufika mbali kiasi hunyanyua dera anatembea ameshikilia dera!
Hivi ile huwa ni fasheni au ni nini jamani! Binafsi mie sielewi kabisa concept ya uvaaji ule ni kuonyesha zile underskirt za ndani au ni nini!
Ngoja 'matomaso' tuwataftie picha tuiweke.
Karibuni wapenda 'fashoon'!
cc Nalendwa ,Heaven Sent