mie nimempenda mtoa mada,i will do a lot of mischief na najua nitasemehewa......:target:kuwa mpole ila sio sana,kuwa firm kidogo,kwa kifupi sijui uweje lol:doh:
We Junya hujafa tu?
wanawake ni viumbe dhaifu tuishi nao kwa akili usikubali mwanamke akatawala akili yako au akugombanishe na wazazi wako, ndugu yako au rafiki, wanawake wengi hawawazi juu ya maisha ya mbeleni wanawaza kuvaa na kula tuwachunge tuishi nao kwa akili.
koma!!!
Nikomeshe