Wanawake ni viumbe dhaifu tuishi nao kwa akili usikubali mwanamke akatawala akili yako au akugombanishe na wazazi wako, ndugu yako au rafiki, wanawake wengi hawawazi juu ya maisha ya mbeleni wanawaza kuvaa na kula tuwachunge tuishi nao kwa akili.
Wanawake Wa Leo sio dhaifu ndo maana ukizubaa kidogo anakupanda mpaka kichwani!
Inferiority at its best
Wanawake ni viumbe dhaifu tuishi nao kwa akili usikubali mwanamke akatawala akili yako au akugombanishe na wazazi wako, ndugu yako au rafiki, wanawake wengi hawawazi juu ya maisha ya mbeleni wanawaza kuvaa na kula tuwachunge tuishi nao kwa akili.
labda uyo mwanamke wako ndo yuko ivo..
Wanawake ni viumbe dhaifu tuishi nao kwa akili usikubali mwanamke akatawala akili yako au akugombanishe na wazazi wako, ndugu yako au rafiki, wanawake wengi hawawazi juu ya maisha ya mbeleni wanawaza kuvaa na kula tuwachunge tuishi nao kwa akili.[/QUOTE
Ndugu, hayo ni yako, to my wife is my first priority. Lakini nisikulaumu sijui educational level ya hao wanawake unaozungumzia?. Educated women ni watamu ajabu!. Jaribu uone. Vipi we unaolea ukoo au ni kwa manufaa yako. Umewadharilisha mama zetu. Kama vipi oa dada zako ndiyo wanakufaa. Unaakili za kukutosha pekeyako.
"Woman are wiser than men, because, they know less and understand more"-James Stephens.