kwa wanaume wanaopenda kuvaa hereni

kwa wanaume wanaopenda kuvaa hereni

hereni noma heri hata wale wanaoweka za kubana kuliko kutoboa
 
Vipi kuhusu wanaume wanaovaa cheni?
16.jpg

"Mwanaharakati km Benjamin mkapa shingoni ana cheni ya gold"by fid Q
 
Hereni, tattoo, pini ya pua, mkufu na manukato (perfume) ni vya wanawake. Mwanaume anapaka rollon tu.
 
Hayo mambo ya zamani siku hizi wengi wanavaa kama fashion.

Inabidi ukubali tu, kama haupendi basi usiwatizame au kuwaonea wivu, waache wajifurahie na kutoboa.
 
Haya mambo ni culture tu watu wanaiga lakini na ni ushamba (napingana na tafsiri ya mtoa post).

Kuna vingi ambavyo tumepokea na kwa vile vimezoeleka tunaona kawaida mf zamani 80's mwanamke kuvaa surual ilikuwa anaitwa 'changudoa' lkn saivi je??

Hiyo ya hereni hata huku majuu bado mtu haonekani kama mstarabu mf kwenda nayo interview, au academic conference.

Likewise kuchora tattoo nayo ni maujinga tu, nadhani sisi kama watz kuna vya kuiga na vingine ni kuachana navyo kbs.

Mfano wa kitu cha kuiga ni "organ donation" sijajua kama home iko well known ila ni kitu poa sana unasign kuwa ukifa na ikiwa sehem ya mwili wako iko poa waitoe wampe mwingine

Jerry nilikuwa Mombasa hivi karibuni kuna mashoga wengi sana kule yani katika Afrika mashariki Mombasa inaongoza kule mashoga mabasha na ngangaripoa wanajulikana kwa uvaaji wao wa hereni, wazungu na waarabu wanajisevia kwa raha zao.....hili si utani nikweli na nimeshuhudia kwa macho yangu
 
Jerry nilikuwa Mombasa hivi karibuni kuna mashoga wengi sana kule yani katika Afrika mashariki Mombasa inaongoza kule mashoga mabasha na ngangaripoa wanajulikana kwa uvaaji wao wa hereni, wazungu na waarabu wanajisevia kwa raha zao.....hili si utani nikweli na nimeshuhudia kwa macho yangu

Haya bwana but kwa huku majuu haimaanishi hivyo, ila mi nawachukia sana malimbukeni kuiga mambo ya kizungu na kuleta tz
 
Hayo mambo ya zamani siku hizi wengi wanavaa kama fashion.

Inabidi ukubali tu, kama haupendi basi usiwatizame au kuwaonea wivu, waache wajifurahie na kutoboa.

kama ni fasheni nenda mombasa ukiwa umevaa tena sikio la kulia....halafu ukirudi tuletee mrejesho(halafu nimeipenda username yako)
 
Ni kawaida sasa na pengine ni fasheni kwa vijana wa kiume kuvaa hereni aidha masikio yote au moja lakini wanajua maana yake kweli?
kwa wanapenda kujua au kufahamu ni kuwa
1:kuvaa hereni sikio la kulia inamaanisha wewe ni shoga
2:kuvaa hereni sikio la kushoto maana yake wewe ni basha
3:kuvaa masikio yote mawili ni kwamba wewe ni basha na unabashiwa
vaa kitu huku ukijua maana yake usije kurusha ngumi watu wakitaka huduma

Ongeza kwamba kuvaa suruali kata K mlegezo, means wewe ni unaliwa tigo no doubt, pia kunyoa kiduku kijogoo means wewe ni unawala wenzio tigo
 
ww kama ulikuwa hujui huo ndo ukwel hebu mwangalie Sir Elton John

Mi sijapinga mkuu, nlitaka atoe rejea tu ili hata mimi naweza tetea hoja! Hiyo ya Elton mi sijui but ninaowaona nawajua sio mashoga! Wanavaa kama urembo na kuonekana wako updated, bro ukija ulaya utaona mengi kama hii hapaImageUploadedByJamiiForums1381071829.944300.jpg
 
Mi sijapinga mkuu, nlitaka atoe rejea tu ili hata mimi naweza tetea hoja! Hiyo ya Elton mi sijui but ninaowaona nawajua sio mashoga! Wanavaa kama urembo na kuonekana wako updated, bro ukija ulaya utaona mengi kama hii hapaView attachment 115439

hahaa nikweli kabisa lakini pia ushoga huko majuu uko kwa kiwango cha kutisha yaani ni kama umehalalishwa na ndio maana huko kuna mpaka haki za mashoga
 
Haya mambo ni culture tu watu wanaiga lakini na ni ushamba (napingana na tafsiri ya mtoa post).

Kuna vingi ambavyo tumepokea na kwa vile vimezoeleka tunaona kawaida mf zamani 80's mwanamke kuvaa surual ilikuwa anaitwa 'changudoa' lkn saivi je??

Hiyo ya hereni hata huku majuu bado mtu haonekani kama mstarabu mf kwenda nayo interview, au academic conference.

Likewise kuchora tattoo nayo ni maujinga tu, nadhani sisi kama watz kuna vya kuiga na vingine ni kuachana navyo kbs.

Mfano wa kitu cha kuiga ni "organ donation" sijajua kama home iko well known ila ni kitu poa sana unasign kuwa ukifa na ikiwa sehem ya mwili wako iko poa waitoe wampe mwingine

Sasa hao mashoga waki sign hiyo 'Organ donation' si balaa, unawekewa ngozi ya Tak.o lake halafu unaanza kujifil ki Elton john!
 
Sasa hao mashoga waki sign hiyo 'Organ donation' si balaa, unawekewa ngozi ya Tak.o lake halafu unaanza kujifil ki Elton john!

Not that way bro, organ donation ni njema sana hope itafika tu na kwetu. Ingia google andika hayo maneno!

Vipo vya kuiga ila sio maujinga ka hayo maheleni au hiyo picha hapo nimeweka
 
hahaa nikweli kabisa lakini pia ushoga huko majuu uko kwa kiwango cha kutisha yaani ni kama umehalalishwa na ndio maana huko kuna mpaka haki za mashoga

Kuna malaya wa kiume pia, wako spesho kwa akina mama wasiotosheka au hawana waume, mshiko safi kbs
 
Sasa hao mashoga waki sign hiyo 'Organ donation' si balaa, unawekewa ngozi ya Tak.o lake halafu unaanza kujifil ki Elton john!

hahaaaaa hahaaaaaa Songoro umepinda wewe....
!nakumbuka kisa cha yule jamaa aliyewekewa macho ya panya baada ya kupata ajali mbaya akaulizwa unaona nini akasema anaona panya tuu....
 
Ni kawaida sasa na pengine ni fasheni kwa vijana wa kiume kuvaa hereni aidha masikio yote au moja lakini wanajua maana yake kweli?
kwa wanapenda kujua au kufahamu ni kuwa
1:kuvaa hereni sikio la kulia inamaanisha wewe ni shoga
2:kuvaa hereni sikio la kushoto maana yake wewe ni basha
3:kuvaa masikio yote mawili ni kwamba wewe ni basha na unabashiwa
vaa kitu huku ukijua maana yake usije kurusha ngumi watu wakitaka huduma


Mkuu unayosema ni ya ukweli ila hiki kizazi cha Clouds FM hakifundishiki, yaani ni kizazi kilichopotea. Utakuta mtu kavaa heleni na kupiga kata kun.du eti anaenda kutafuta kazi.
 
Back
Top Bottom