kwa wanaume wanaopenda kuvaa hereni

kwa wanaume wanaopenda kuvaa hereni

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,987
Reaction score
831,554
Ni kawaida sasa na pengine ni fasheni kwa vijana wa kiume kuvaa hereni aidha masikio yote au moja lakini wanajua maana yake kweli?
kwa wanapenda kujua au kufahamu ni kuwa
1:kuvaa hereni sikio la kulia inamaanisha wewe ni shoga
2:kuvaa hereni sikio la kushoto maana yake wewe ni basha
3:kuvaa masikio yote mawili ni kwamba wewe ni basha na unabashiwa
vaa kitu huku ukijua maana yake usije kurusha ngumi watu wakitaka huduma
 
Wabongo kila kitu kuiga hawa jamaa hata wakinisalimia siwaitikii ni laana kabisa.
 
Eti wakitaka huduma tehe teheee! Ila bora uwaambie mama zao wavae heleni,dada zao wavae heleni na wao pia? Jamani wakaka tubadilike kujipamba kwingi kwanin?
Ni kawaida sasa na pengine ni fasheni kwa vijana wa kiume kuvaa hereni aidha masikio yote au moja lakini wanajua maana yake kweli?
kwa wanapenda kujua au kufahamu ni kuwa
1:kuvaa hereni sikio la kulia inamaanisha wewe ni shoga
2:kuvaa hereni sikio la kushoto maana yake wewe ni basha
3:kuvaa masikio yote mawili ni kwamba wewe ni basha na unabashiwa
vaa kitu huku ukijua maana yake usije kurusha ngumi watu wakitaka huduma
 
Ni kawaida sasa na pengine ni fasheni kwa vijana wa kiume kuvaa hereni aidha masikio yote au moja lakini wanajua maana yake kweli?
kwa wanapenda kujua au kufahamu ni kuwa
1:kuvaa hereni sikio la kulia inamaanisha wewe ni shoga
2:kuvaa hereni sikio la kushoto maana yake wewe ni basha
3:kuvaa masikio yote mawili ni kwamba wewe ni basha na unabashiwa
vaa kitu huku ukijua maana yake usije kurusha ngumi watu wakitaka huduma

Hiyo ni tafsiri kulingana na wewe ama utafit gani umetoa conclusion hiyo? Unaweza weka reference?
 
Vp kwa waliotoboa pua, naisi maana yake itakua shoga aliye kubuhu hahahahahaaa
 
Hakuna kitu nachukia kama hiki na wale wasanii mabonge wabana pua!Kama ni kaka sikusalimii ujue...!?
 
Haya mambo ni culture tu watu wanaiga lakini na ni ushamba (napingana na tafsiri ya mtoa post).

Kuna vingi ambavyo tumepokea na kwa vile vimezoeleka tunaona kawaida mf zamani 80's mwanamke kuvaa surual ilikuwa anaitwa 'changudoa' lkn saivi je??

Hiyo ya hereni hata huku majuu bado mtu haonekani kama mstarabu mf kwenda nayo interview, au academic conference.

Likewise kuchora tattoo nayo ni maujinga tu, nadhani sisi kama watz kuna vya kuiga na vingine ni kuachana navyo kbs.

Mfano wa kitu cha kuiga ni "organ donation" sijajua kama home iko well known ila ni kitu poa sana unasign kuwa ukifa na ikiwa sehem ya mwili wako iko poa waitoe wampe mwingine
 
mmh huyu msanii wa nje nampendaga sana ina maana na yeye

anaingia katika hizo maana
images
 
Ni kawaida sasa na pengine ni fasheni kwa vijana wa kiume kuvaa hereni aidha masikio yote au moja lakini wanajua maana yake kweli?
kwa wanapenda kujua au kufahamu ni kuwa
1:kuvaa hereni sikio la kulia inamaanisha wewe ni shoga
2:kuvaa hereni sikio la kushoto maana yake wewe ni basha
3:kuvaa masikio yote mawili ni kwamba wewe ni basha na unabashiwa
vaa kitu huku ukijua maana yake usije kurusha ngumi watu wakitaka huduma
Aiseeh....., bora umewaambia, hii kitu inakera sana. Unakuta kijana amevaa halafu ukimuonya anaona dingi kapitwa na wakati. Hata hii mambo ya kusuka vijana wacheni ni upuuzi.
 
Social constracted meaning......kwamba ati mwanamke ndo anatakiwa avae hereni.
 
Sasa wanaume mnang'ang'ania kabsaa uhalali wa kuvaa hereni duh hatuna wanaume kabsaa these days
 
Back
Top Bottom