kiukweli
sipendi kabisa urafiki na mume wa mtu sipendi..... sio huyu tu woote
tunaishi nae compound moja ana mke
sina muda nao kabisa kabisa
one day nikatoka kwenda shop akaniomba no maana linaweza kutokea tatizo kama jirani tusaidiane nikampa
from there kila siku ananipigia,ananiuliza kuhusu love affairs zangu,anataka tukae mahali tuongee.
nimechange no kwa ajili ya mpuuzi yule
kiukweli
sipendi kabisa urafiki na mume wa mtu sipendi..... sio huyu tu woote
tulieni na wake zenu tulieni
wkendi njema tulieni na wake zenu. acheni unafiki
tunaishi nae compound moja ana mke
sina muda nao kabisa kabisa
one day nikatoka kwenda shop akaniomba no maana linaweza kutokea tatizo kama jirani tusaidiane nikampa
from there kila siku ananipigia,ananiuliza kuhusu love affairs zangu,anataka tukae mahali tuongee.
nimechange no kwa ajili ya mpuuzi yule
kiukweli
sipendi kabisa urafiki na mume wa mtu sipendi..... sio huyu tu woote
tulieni na wake zenu tulieni
wkendi njema tulieni na wake zenu. acheni unafiki
kanipigia hapa sasa hv ndo maana nikapost nahama na nyumba kabisaasi ungempasha live
au ana id umu jf?
naona km vilemsuto wa klinik umeupeleka benk......TAFAUT....mfate.mpashe.....cha kukuarbia contact yahuu? uchange namba kwa ajili ya gume gume? tel him liveastop ***** akijifanya mbishi we tafuta sahihi mbili tu moja yako moja ya mke wake then mumtoe madarakan..:shut-mouth:
akinipigia tena namwambia mkewe
kanipigia hapa sasa hv ndo maana nikapost nahama na nyumba kabisa
tunaishi nae compound moja ana mke
sina muda nao kabisa kabisa
one day nikatoka kwenda shop akaniomba no maana linaweza kutokea tatizo kama jirani tusaidiane nikampa
from there kila siku ananipigia,ananiuliza kuhusu love affairs zangu,anataka tukae mahali tuongee.
nimechange no kwa ajili ya mpuuzi yule
kiukweli
sipendi kabisa urafiki na mume wa mtu sipendi..... sio huyu tu woote
tulieni na wake zenu tulieni
wkendi njema tulieni na wake zenu. acheni unafiki
navaa sana kwani inamuhusu?
akinipigia tena namwambia mkewe
nahama na nyumba kabisa