Jamani,niliwahi kuandika kwa kutaka kujua ni idadi gani ya mabao ambayo standard kwa mwanaume anapokuwa ana-do na mpenzi/mke wake lkn kwa bahati mbaya sijui nili violate taratibu za humu jamvini? Maana sikuweza kupata majibu baada ya kushundwa kufunguka. Sasa kwa uzi huu naomba tena mnijuze ni idadi gani inafaa,2,3,4 au ngapi?Iisije ikawa najiona normal kumbe ni mgonjwa wa kufa kesho ktk hiyo context(kama hufaham kitu usidanganye,just leave it)