Acheni kufanya wanaume ATM,ndipo mtaona penziKwa iyo wanawake tufanyefe?
huwa mnaombwa si mnatoa wenyewe kuweni real na nyie muone kama hamjapewa helaacheni kufanya wanaume atm,ndipo mtaona penzi
aiseeekupenda hakupo dunia ya leo. Wanawake wapo ki maslah zaidi, na wanaume wapo kingono zaidi.
hv wanaume mnajua kupenda?au mnajua tu kutamani? kwanini kungonoka kunakuwa kitu cha zaidi sana kwenye mapenzi
na kwa nini mnapenda kuachana saana baada ya kungonoka na sio kabla?
na wanafanikiwa kwa ilo sana.maskini wanawakemwanaume ni kiumbe wa ajabu kidogo...inabidi uelewe hilo.. Ameubwa na ka ubinafsi...wakati anakuja kwako anataka umsujudie; anataka wewe upate shida kwa ajili yake; anataka wewe umone yeye ni yeye na hakuna mwingine, anataka wewe daima uwe chini yake hata kama ni malkia..
Lakini yeye hataki hata kimoja cha hapo juu kiwe kwake kwa ajili yako wewe mwanamke..
Mwanaume ni kiumbe wa ajabu kidogo...inabidi uelewe hilo.. ameubwa na ka ubinafsi...wakati anakuja kwako anataka umsujudie; anataka wewe upate shida kwa ajili yake; anataka wewe umone yeye ni yeye na hakuna mwingine, anataka wewe daima uwe chini yake hata kama ni malkia..
Lakini yeye hataki hata kimoja cha hapo juu kiwe kwake kwa ajili yako wewe mwanamke..
Tulizo na huwa tunafanikiwa sana kwa hili na hatujapata upinzani
Ni kweli mkuu..kwani hatukupenda tumeumbwa hivyo na wanawake wengi wanakubali hivyo...ingawa inatia huruma..ila baadhi ya wanawake wanafumbuka macho hasa wale wanao pitia siredi za JF..
Mkuu hiyo ni percent ndogo sana maana bado hata wakienda majumbani mwao wanakuwa chini ya subordinate ambao ni either waume zao au wapenzi wao. Mkuu ukiniletea kiburi cha humu JF si nakutosa natafuta yule ambaye atajua kuwa mimi ni mwanaume
Ha ha ha ha wengine ngangari..watatishia kuwa wataenda kusema nje kuwa huwa unakoroma ukilala au ukinaninii ..halafu mkuu unafyata mkia..au watatishia kukupeleka UMATI..sijui kama bado ipo..
Mkuu kama najijua sikoromi usiku nikilala hapo hata akaseme wapi sitaogopa
Akitaka nitaita shule yote niliyopitia waje waproove kama huwa nakoroma
Mkuu jiamini na najua ukijiamini hata atishie kibiriti atakuja kimejaa
Mkuu kukoroma kunaanza ukubwani hasa huko nyumbani kwani watu tunakula michemsho, nyama choma, halafu hatufanyi mazoezi zaidi ya 6 x 6 ..matokeo yake sayari nyingine inachomoza maeneo ya tumboni ..halafu tunaishia kujisikia kwa hiyo sayari au wanaita kifriji..eti ndio upedeshee..Mkuu ukijiona unakisayari kidogo..kama hufanyi mazoezi.. binti anaweza rekodi movie ukilala na kukoroma akitumia blackberry au Nokia yake..
Hapo kwenye nyekundu, hata tukikuelezea vipi hutaelewa kwa kuwa wewe si mwanaume. Ila kama ungekuwa mwanaume usingeuliza swali hilo. Mfano, kwangu tendo la ndoa au ngono lina nafasi kubwa kuliko hayo malavidavi. Hata kama wewe ni mke wangu wa ndoa, haijalishi ni upendo gani unaweka kwangu, ila bao kwanza mpaka niridhike, then mengine yaendelee.hv wanaume mnajua kupenda?au mnajua tu kutamani? kwanini kungonoka kunakuwa kitu cha zaidi sana kwenye mapenzi na kwa nini mnapenda kuachana saana baada ya kungonoka na sio kabla?