Kwa Wanaume Tu

Wote hapo ina moja unaweza kumsotea mura mrefu ukaja mpata ukitia tiny kunako nanihui unajuta kupoteza muda wako,mwingine anakuzungusha pembeni anagawa,ukajampata maharage ya mbeya akakupelekesha mpka ukatangaza ndoa,mapenzi sanaa.
 
mie sitaki bughudha...namba 5. waweza tumia muda mwingi alafu demu mwenyewe sio bikra
 

kwnye nyekundu umeshatagaza ndoa kwa wadada wangapi mpaka sasa?
 
Namba5 inanihusu sana maana sina muda wa kufatilia mambo hayo na piaaaavbado nipo nipo sana.
 
Yaani ukatongoze mwenyewe na balaa lako kisha usingizie bint ndio anakufanya uwe mzinzi!!!!
Maajabu haya
 
Mimi kwa sasa namba 5 ni poa ...Meku pita huku Mentor
 
Last edited by a moderator:
Hawa viumbe hawatabiriki aisee, waweza fukuzia mtu 3yrs siku anaingia kwenye 18. Unaweza mwacha hapo ukasepa zako, nguo zinaficha mengi.
 
Jipe moyo hiyo sio guarantee unajua ni kwanini alikuwa anakuzingua na unajua kwanini amekubali baada ya muda mrefu sababu ni nyingi kuliko ujuavyo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…