Kwa wanaume tu.

Kwa wanaume tu.

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,244
Wanaume wenzangu oyee! Shwari?
Naomba wanaume wenzangu mtambue tabia za dada zetu, wake zetu na mama zetu.
Katika kila siku tatu mpaka tano katika mwezi dada zetu, wake zetu na mama zetu huwa wanapatwa na uchizi. Kwa hiyo siyo kila jibu baya litokalo kwao likuumize na pengine likufanya uchukie na kumdhuru. Tuwe na huruma kwa sababu mungu ndio alivyo umba.
Wanaume oyee!
Onyesha mfano katika jamii ya kuwaheshimu wanawake.
Jukumu letu ni kuwapenda sana wake zetu
Asanteni
 
Halafu kuna ile kazi ya kuwa Mkurugenzi kwa miezi 9...
Hapo ndio balaa kweli kweli. Upo njiani unapigiwa simu niletee mchemsho wa kuku. Ukimletea sasa ohh aina sijui nini kula mwenyewe mchemsho gani huu Aloo!!
 
Wanaume wenzangu oyee! Shwari?
Naomba wanaume wenzangu mtambue tabia za dada zetu, wake zetu na mama zetu.
Katika kila siku tatu mpaka tano katika mwezi dada zetu, wake zetu na mama zetu huwa wanapatwa na uchizi. Kwa hiyo siyo kila jibu baya litokalo kwao likuumize na pengine likufanya uchukie na kumdhuru. Tuwe na huruma kwa sababu mungu ndio alivyo umba.
Wanaume oyee!
Onyesha mfano katika jamii ya kuwaheshimu wanawake.
Jukumu letu ni kuwapenda sana wake zetu
Asanteni

shosti, lara 1 kuja huku
 
Last edited by a moderator:
Tena huwa nakutafuta sana nikunyanyase weye...hapa nishakuundia zengwe, shem lazima uhame pale nyumbani.
watu8 mi mwenyewe namtafuta katoroka nyumbani. Husninyo ukipitiliza leo hujarudi home ujue yunakukana mazima
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hacha tu. From no where unapata jibu ambalo ukutegemea.
Mfano wanaume wakitoka mbele wewe utatoka. Au anakuambia wewe mwanaume suruali tu.
Nivyema tuwafahamu na kuwapenda

utakua baba mwenye hekima na
mfano bora kwa wanao!hongera
kwa kulitambua hilo!uanamke kazi atiiiii!

 
aisee ndio maana shemeji yenu hua ana geuka chatu gafla kumba mambo ndo yako hivi!!

vidume oyeeee
 
Back
Top Bottom