Money Maker
Senior Member
- Jul 11, 2011
- 146
- 31
Wakuu kuna hii tabia ya wanaume kupenda kuchungulia/kuangalia hasa mwanamke anapokaa vibaya(uchi) na sehemu ya ndani ikaonekana, inaonyesha wengi huvutiwa kuangalia hadi wakati mwingine unaweza kuwaita na jamaa wengine waje kupiga chabo! tabia hii inachangiwa na nini zaidi? ni vipi mtu anaweza kuiacha? mie ni mwanachama wa club hiyo.