Hahahaah mia mbili imenasa kwa kiti jamani uwiiii
Haaaaa haaaa alikuwa anapunga upepo au ni nini![]()
😀😀😀Itakuwa zilivutwa na gravitation force....ndo mana naipenda sayansi maana inaweka kila kitu wazi......
Huyu jamaa awe mkweli...pu.mbu alizichomeka huko makusudi..
Ahahaha ahahahssaa!Sasa huyo jamaa na mkasi anataka kufanya nn hapo?





nasi hatujajitaja jinsia zetu, usikipga mkwara lazima watu wajiulize kunani huko?
![]()
![]()
![]()
Hapo itakua kuna abiria wawili walikua wanasafiri kwenda safari ya mbali, lakini ghafla siti ikazidiwa uzito.
Hivi umesoma mwongozo vizuri "HUU UZI NI KWA WANAUME TU"
Itakuwa alikuwa anagegedaSasa najaribu kuvuta picha, nikitafakari na kujiuliza bila kupata majibu. Ilikuwaje hadi kufikia hapo? Maan sio kawaida!!?
nasi hatujajitaja jinsia zetu, usikipga mkwara lazima watu wajiulize kunani huko?
