Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

na mwanajf? sijawahi

Kwani huyo anaekula uroda wewe una uhakika gani kama siyo Mwana JF.

Mimi baba yangu yuko over 60 na anaingia JF ila sina uhakika tu kama ni member, kuna siku alinipa smartphone nimrekebishie app nikagunduwa anaingia humu na JF app ipo kwenye simu yake.
 
tanzania unafiki hautaisha,hayo mambo ni asili ya wanaume,nashangaa hawa wanaoponda wkt ndo walewale
 

basi hata kama mwanajf hatujakutana jf hicho ninachomaanisha
 
Kuanza mapenzi ukubwani..ndo shida kubwa..yaani kila mtu akipewa papuchi anaona ni zali kwake..utaskia mwanangu nimepata zali..ikimuuliza lipi..? Miss chaga kanipa mambo nimemsukumia nyama jana usiku..!!!!
 
ukiona hivi ujue hakutegemea kumpata huyo dada kama kweli katembea nae....na kama hana jeuri ya kumpata anajifariji tu kwa kuongea ili hali moyoni mwake anajua anajidanganya
 

Ni kweli mkuu jana tu nilkuwa napiga chabo maongezi ya mama mmoja hv tena ni mtu mzima anamuadithia mwenzio idadi ya askari magereza aliotembea nao......nilichoka aiseeee kwahiyo hiz mambo bana sio kwa me tu hadi ke vilevile wanazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…