yani hadi alivyomkunjua kunjua ... mmoja akasema eti hadi alimtoa kinyesi jamani kama unampasi mwenzio siiwe siri yako loh....
ha ha ha so your proud of using it?
ni kweli ila sasa asilimia kubwa wnaume mnaongoza lohhii mambo ni kote kote, kuna wadada nao wanatangaza vile vile, kuna mdada niliwahi kumsikia anajisifia eti hadi sasa ameishatembea na wanaume 40 akiwemo na ali kiba. Mwingine naye niliwahi kumsikia anaji-proud eti katembea na fulani na fulani (akiwataja wale wanaume wa maana). So ni sifa kama zilivyo sifa nyingine za kijinga! na inategemea unamsimulia nani!! mara nyingi ni kutaka aonekane yuko juu kuliko nyie (anawasimulia)
Hivi dida naye si alitangaza kunaniliii na zito!!! au nimepoteza network
imekaa vibaya
Kusimullia inakuwa poa inasaidia kushare ma expirience
Wewe ni mwanamke? Hii avatar alikua anatumia englibertm au amebadilisha ID??
Mie naomba nimjibie mme wangu!!!
mambo rafiki
kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:
kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu.....huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi....
- ni ufahari/ushindi?
- starehe?
- unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
wanaume fungukeni tupate kuelewa..
Mkuu kwanza habari za siku.
Umesema kweli ni kutojiamini na kutojitambua naweza kusema hivyo, lakini tatizo hilo lipo sana hasa siku hizi na hapa JF wapo wengi tu wanapeana uzoefu kupitia PM......
miss chaga usitegemee majibu sahihi ya swali lako hapa kila mtu atajifanya yeye atangazagi kwa masela
nikuhakikishie ni vigumu kidume kumgonga demu alafu asiseme kabisa ni VIGUMU mno
many of you mnafanya bwana mbona kila mtu anakataaI don't think so,we do respect women as our friends and cant say such a silly words
Nakumbuka nimeshatoka na wadada watatu tofauti wawili wameolowa na watu tunaofahamiana na mmoja ni girl friend wa rafiki lakini this is my secret to my grave.
Huyu demu mwanzoni alikuwa hajiamini lakini sasa hivi ana uhakika sijamueleza lolote mtu wake kuhusu our past.
Kwa kifupi hao ni malimbukeni tu wajinga flani.
many of you mnafanya bwana mbona kila mtu anakataa
miss chagga sichezi mbali kwa maana nami najiuliza sana ..utotot unawasumbua or