Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

Miss Chagga unfortunately hata madada wengine wana tabia ya kujitangazia hivyo hivyo. Umeshawahi nini sababu ya wadada marafiki kuchukuliana mabwana? JIBU:Wanataka kutest yaliyomo yamo?!

Aiseee kumbe siwez kutiwa nikaadithia hata siku moja kwanza naona aibu
 
miss chagga , unataka kuniambia wanawake hamfanyi hivyo? Naapa kudate na Madada wa humu kesho utakuta bango lenye maudhui ya Faragha yenu, mmh sijui anyw way baada ya hii madada nanyi mtujibu MankaM Mamndenyi.

Sawa tutawajibu basi na nyie mtujibu kwa nini mwafanya hivi? Kwa nini kutunyima raha?
 
Last edited by a moderator:
ili upate papuchi ambayo sio ya kununua inahitaji kubembeleza ambapo inaaambatana na maringo,kama kidume kimesumbukia kupata papuchi kali mbele ya macho ya watu basi atajiskia furaha kutangaza kuwa amegegeda,ila kama kama hakuisumbuukia kuipata imejiweka yenyewe wala hutasikia kutangaziwa,na kwa tulio oa mke hatangazwi kwa sababu papuchi unayo kila siku
 

point yako ww umesema huwezi kutangaza unaona kama ni upuuzi.
Lakn wakat huo umesahau kuwa umetuambia umbedate na wanawake wawili tofauti. Sasa hapo unatofauti gani na anayetangaza?
Kwan kulikuwa na ulazma gani wa kuesema wanawake uliogegeda?
 
asante ....!

Miss Chaga hakuna mwanaume ataekubali hapa... as a men frm. My experience weng sana wanazungumza ila wengne wanakuwa kama stor tu "yule dem nshapiga hamna kitu". Kuna wengne n kujisifu tu.. na mwanaume yeyote akishakufunua jua kujiamini kunaongezeka kiasi flani kwako kwa sababu lengo kubwa la kumtongoza mwanamke ni kumfunua
 

Ha ha ha kwa hiyo michepuko ndiyo unaitangaza
 

Sawa mkuuu nitawaambia wazifunike wasifunue hata iweje labda wakupe hela nyingi
 
Sawa mkuuu nitawaambia wazifunike wasifunue hata iweje labda wakupe hela nyingi

Kipind niko field nlifanya ofis moja kubwa tu... yaan jamaa wanasimuliana madem walowapiga tu.. wazee, vjana stor ndo izo ila ukimwona iv katulia huwez amin
 
mi haijawahi kunikuta kutangazwa achilia mbali kuliwa ila hayo matukio yapo
Jirani wakati mtu anapojisifia kwa wengine kwamba kakula hauwezi jua ndiyo maana ya kuuliza wewe umejuaje kama hapa wapo, anyway ni kweli yapo hivyo basi kama lipo wenda ipo siku litakutokea haha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…